Kuitwa Training TAESA

Kuitwa Training TAESA

Wakuu miezi kadhaa iliyopita nilipeleka CV yangu na taarifa zangu za kitaaluma TAESA kama Taasisi ya serikali inayoshughulika na ajira yani (Tanzania Employment Services Agency)...
Vipi mkuu ulienda ukajua nini kinaendelea?
 
Panda gari za kwenda Postal/kivukoni omba kushukia CBE (nimesahau kituo kinaiwaje). Ukishuka vuka upande wa pili kisha uliza TAESA au Labour court(mahakama ya kazi) basi TAESA na hiyo labour court zimefuatana. Japo kwa nje ofisi ya TAESA inatia huruma kidogo.
Unapoenda kujisajiri mara ya kwanza hakikisha unabeba vyeti vyako ORIGINAL vya kitaaluma.
Mkuu hii inawahusu level zote ,nikimaanisha certificate,diploma na degree?
 
Umejibu empty
Oooh! Nadhani kulitokea tatizo, anyway, kipindi hicho nawafuata TAESA sikubahatika kukutana na mtu aliyekua na elimu level ya certificate (hii ni kwa wale niliofanikiwa ku'connect nao) ila wale wa diploma niliingia nao hadi kwenye internship. Kikubwa kama una certificate we beba vyeti vyako original fika pale. Ukikataliwa basi mapambano yaendelee
 
Mimi wamenipigia simu wiki iliyoisha wakanambie niende mwenye interview niliwah kufanya mtihani wao mwaka 2019 mwezi wa tisa .
 
Kuna jamaa waliikuwa chini ya Taesa baadae wakapewa mkataba na waliikuwa wanalipwa 150,000/= kwa mwezi Ila Sasa wameajiriwa kwa hyo we komaa tu mkuu kuwa mvumilivu na uwe na nidhamu ya kazi utakapopangiwa mungu si athuman wanasema

Hao TAESA wanachukua hata waliomaliza chuo miaka 2 na waliosoma Engineering ?????
 
Utakuwa ulishindwa interview

Hawatabiriki mimi nilifanyaga interview mwaka jana December mpaka leo sijawahigi kuitwa for intern so inategemea na bahati yako si unajua corona iliingilia kati hpo so vingi vilikwama si ajabu ndo mana wengne hatukuitwa and transcript pia ni muhimu nenda nayo
 
Hao TAESA wanachukua hata waliomaliza chuo miaka 2 na waliosoma Engineering ?????
Sijajua ulivyosema 'miaka miwili' ulimaanisha nini hasa. Ila ninachofahamu ni kuwa wao wanadeal na wahitimu tu(diplomas, bachelors, masters, etc) na ndio maana ukifika pale cha kwanza utatakiwa uoneshe vyeti vyako original.
 
Hapana, hawana hiyo huduma kwa sasa. Wanasajiri manually pale ofisini kwao


SAWA hebu nipe maelezo kesho naenda.


Ukifika pale unawaambiaje ?

na lazima niwe na barakoa ?
 
Back
Top Bottom