Kuitwa Kazini TPDC

Kuitwa Kazini TPDC

Mimi cjui izo nafas za tpdc zinatangazwaje maana utaskia tu mara watu wapo kwenye usaili ebu mnijuze wangwana
 
kuna yetote kaitwa kwa hii post "electrical/instrunentation technician"? interview ya May/4 maweeee nafwa mie
 
si unaambiwa watu washaanza pigiwa simu. kwnn wewe useme bado.

ana haki ya kusema hapana kwa mujibu wao waliwaambia wasailiwa majina wataweka kwenye website ya shirika,na kwanini aitwe mtu mmoja tu wakati post zilikuwa nyingi na watu walikuwa wengi kwenye usaili
 
ni bora waweke wazi majina ya waliofaulu usail then waseme kila mtu ataitwa kivyake
 
Yaweza kuwa ni kweli walishaanza kuita, maana hata mie nimepata taarifa za huyo jamaa research officer (chemical & process) kuitwa na tar 20 atasign contract then tar 26 ni siku ya kuanza kazi. So yaweza kuwa washaita watu kwa ile intervw ya may, ila hii ya hiv karibuni inaonekana bado.
 
upande wa technichal wameshaita so kama hujapigiwa simu ndo umekosa, kazi jumatatu ijayo inaanzaa. Hongereni wote mliopata.
 
dah. kudadeki. huu mwaka tasa. why always me?
 
Yaweza kuwa ni kweli walishaanza kuita, maana hata mie nimepata taarifa za huyo jamaa research officer (chemical & process) kuitwa na tar 20 atasign contract then tar 26 ni siku ya kuanza kazi. So yaweza kuwa washaita watu kwa ile intervw ya may, ila hii ya hiv karibuni inaonekana bado.

hivi 20 ku sign then 26 kuanza kazi duuu,kwani jamaa hawatoi muda wa kutoa notice 28days? na kuwa na utata na hii tarifa
 
Back
Top Bottom