Tulia kijana long way to go mradi wa pipelines na Gas processing plants haujakamilika bado, mchakato wa kutafuta rasilimali watu umeanza mapema sana possibly mnaweza kuitwa kuanza ajira kati november mpaka january 2015 na wengine wataanza ajira march na april 2015
Tulia kijana long way to go mradi wa pipelines na Gas processing plants haujakamilika bado, mchakato wa kutafuta rasilimali watu umeanza mapema sana possibly mnaweza kuitwa kuanza ajira kati november mpaka january 2015 na wengine wataanza ajira march na april 2015
si kweli
Well ukiangalia interview zao they didnt care anything about experience, Means kutakua na training first kabla ya kuanza kazi, so lazima itakua mapema kabla ya hiyo sept i guess
In this world nothing is certain than Tax and Death.
si kweli