The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Duh!! Nisalimie Catherine mwambie mbona kanitosa au anataka nije na Ferrari lolKhaaa
alijaribu kupaa
Lakini hakufika mbali
mabawa yali halalishwa na radi...
ajili ya madharau..
Duh!! Nisalimie Catherine mwambie mbona kanitosa au anataka nije na Ferrari lolKhaaa
alijaribu kupaa
Lakini hakufika mbali
mabawa yali halalishwa na radi...
ajili ya madharau..
" wanaume wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja" kwa maana karibia wote tabia zao zinafanana.
ngoja hembu tusikie watakavyosema!! wasije nitoa macho bureeee!!!!
Hehe miaka 7 yote alafu siku ya siku nae anakwambia 'huyu mwanamke sijui nilimwoa wa nini'!Hopefully watafika mwisho wa safariHao ambao huwa wanasema ningejua nisingeoa/olewa huwa nawaangalia tu,kuna rafiki yangu amekaa na GF kwa muda wa miaka 7 mwaka huu ndio wanaona na kuna rafiki yangu mwingine alikuwa na GF tokea first year walipokuwa chuo hadi wote wamemaliza na mwanaume akapata kazi baada ya hapo mwanamke akapata kazi wako kwenye mahusihano miaka 7 nao.
I will make you the only girl in the worldHata kwa google nimekosa Madam!
I will make you the only girl in the world
Hata kwa google nimekosa Madam!
</p>Labda ndoa ianze kuwa kama watawa wa Kikatoliki na nadhiri zao. Wana ndoa wasiweke viapo vya kudumu kwanza bali viapo vya muda (nadhiri za muda). Kwa hiyo siku ya harusi mnakula kiapo cha miaka 3 tu ya uaminifu na blabla bla. Ikifika miaka mitatu mnaangalia kama mnataka kuendelea kuwa pamoja au vipi. Mkiona vipi mnaachana kwa amani lakini mkitaka zaidi mnakubaliana tena kwa miaka mitatu. </p>
<p> </p>
<p>Ikishapita miaka sita na bado mnafikiri mna mapenzi ya kweli na kwamba mko tayari kuweka "pingu ya maisha" basi hapo ndio inafanyika ile harusi kabambe sasa ya "Nadhiri za Milele". Mtu yeyote kati yetu akicheat wakati huo anafilisiwa mali zake zote na kunnyang'anywa hata haki za watoto.
Tatizo kizazi chetu hakitaki kukabiliana na challenges. Na watu wengi kwa sasa hasa ambao hawapo kwenye ndoa wamekuwa na tabia ya kukatisha tamaa waliomo kwenye ndoa au wale wanaotaka kuolewa. Nashangaa kwa nini wanachukulia ugomvi wa wenye ndoa kama ni big deal, mbona tumekuwa tunagombana na kaka, dada zetu kwenye familia sembuse mtu mliejuana ukubwani na wote mmelelewa mazingira tofauti. There are lots of bennefit of getting married than costs. Jaribu kuangalia maisha ya single parents yalivyo na challenges. Ukiwa na mwenza hata kama hana kipato lakini mawazo ya wawili si sawa na ya mmoja hasa kama kuna tatizo.
Watu wengi wakisikia wamama (maana ndo wanaonekana victims) wakilalamika mara mume wangu mzinzi, bahili etc wanaona basi ndoa ni ndoano. But am telling you even those who are complaining still have good side of the story but they only share their dark sides since they feel like that is what people would like to hear. Maana ukimsifu mumeo utajijengea maadui kwani watu wataanza kukuombea matatizo yakukute ukome.
</p>King'asti, ndoa ya wiki moja moja tena? ..
<p></p>
<p> </p>
naongelea contract ya ndoa,i mean renewal.yaani perfectly ingekuwa renewal every morning,ila coz kuna kuwahi foleni ingefanyika kila j2 aftr analysis ya wknd.kama mtu ame-change mind partner ajue immediately,lol