Kuishi na mwanaume mlevi ni mzigo

Kuishi na mwanaume mlevi ni mzigo

Mimi sitaacha pombe,maana haijawahi kunikosea.Mimi hunywa ijumaa jioni na jumamosi tu.

Jumapili hupumzika na familia baada ya kutoka kanisani. Ninywapo hujisikia raha sana. Sigombani,situkani. Bali huchekesha sana wenzangu.

Maendeleo nyumbani naleta.nasomesha watoto vizuri,kazini najituma,hata kitandani pia.

Kwa kweli nikiacha pombe,nahisi maisha yangu yatabadilika sana.Nitakuwa na stress za kufa mtu.

Sasa hivi yenyewe nimetoka kunywa Shots za Jack Daniels...Pombe sikuachi labda uniache wewe mpenzi.Amina

Obviously wewe sio mlevi,ni mnywaji kitu ambacho si kibaya! Ulevi ndio tatizo
 
Nimeingia home hapa,naoga, napiga mswaki fresh,nisimkwaze mwenzangu.

Na mwezangu huniambia Nokia's nimekunywa responsibly huwa nakuwa mtamu.Macho yangu hulegea kwa mahaba.Jamani Mimi siachi pombe.
 
Mkuu nilipokuwa 17 ningeweza vuta na kunywa sababu ya ujana, sasa hivi ni mzeee najielewa naanzaje anzaje onja kitu uzeeni?
Sina rafiki mlevi, siendi Bar, sijihusishi na mambo ya usiku eti nitakunywa bia, siendi club wala harusi yenye bia....
Am at a safe zone



Tuko wawili tu duniani mtoto wa kazi gani?

Unaishi maisha ya mateso sana. Utakufa siku sio zako. Jichanganye na raia. Kunywa pombe so haramu kama inavyotafsiriwa hapa, mradi unywe kwa kiasi. Sas mtu kama wew what do u do for fun? Maisha ni hapa duniani. Ukishindwa ku enjoy ujue imekula kwako
 
Mimi sitaacha pombe,maana haijawahi kunikosea.Mimi hunywa ijumaa jioni na jumamosi tu.

Jumapili hupumzika na familia baada ya kutoka kanisani. Ninywapo hujisikia raha sana. Sigombani,situkani. Bali huchekesha sana wenzangu.

Maendeleo nyumbani naleta.nasomesha watoto vizuri,kazini najituma,hata kitandani pia.

Kwa kweli nikiacha pombe,nahisi maisha yangu yatabadilika sana.Nitakuwa na stress za kufa mtu.

Sasa hivi yenyewe nimetoka kunywa Shots za Jack Daniels...Pombe sikuachi labda uniache wewe mpenzi.Amina

Wewe ni mnywaji na sio mlevi. Anayeongelewa hapa ni huyo cha pombe ambaye anakunywa hadi anajisahau yeye ni nani. Kuna watu wazima wanalewa hadi kujikojolea ptuuuu, nyumbani haachi hata thumni Ila full kuweka heshima bar... akiwa anarudi ni matusi ya ukoo uzima mmmh Mungu atuepushie.

Ila kama unakunywa responsibly, hulewi hovyo, unajitambua na still unatimiza majukumu yako kama baba wa familia, then Sidhani kama kutakuwa na shida
 
Namna hiyo. Mwanaume utakunywaje maziwa kama mtoto. Kunywa pombe upate akili. Deals nyingi zinapatikana kwenye pombe.

Sio unakaa home unanyang'anyana remote control ya TV na watoto.


nadhani mwanaume kamili ni yule anayepoteza muda "quality time " na watoto wake baada ya pirika pirika za wiki nzima...

 
Mimi sijawahi tumia na siwezi kuwa na urafiki na mlevi, kuoa mlevi ndo kabisaaa haitatokea hata kama tumebaki wawili duniani bora nioe sabuni

Hebu rudia sikusikia vizuri hapo mkuu, looh!
 
Siku nyingine omba dereva asimamishe gari huyo mzee ashuke, hapa inabidi at least nusu abiria mkubaliane. Imewahi nitokea kuwa kwa bus na abiria wa namna hiyo na tulishinikiza hadi akashushwa

Wabongo tunapenda Kuweka vichwa chini bila kuchukua hatua, hata bus ikiwa inaenda mwendo kasi mnaweza fanya dereva apunguze mwendo sio mkishapata ajali ndio mnaanza kulalamika
 
Mzigo haswa...tena zigo la misumari. ..hata ifanyaje itakuchoma tu
 



nadhani mwanaume kamili ni yule anayepoteza muda "quality time " na watoto wake baada ya pirika pirika za wiki nzima...


Ewaaa.... pombe hapo haina uhusika wowote.

Mwanaume hutambulika kwa utimizaji wa majukumu yake. Baaas.
 
Nalileta hili ili wanaume mjitathimini.

Nilikuwa sehemu fulani kijijini mkoa wa pwani, wakati narudi jioni hii njiani alipanda baba mmoja alikuwa kanywa pombe ila siamini kama kalewa, ambae kwa maelezo yake anakaa sinza, wakati tumeenda umbali mrefu karibu masaa mawili ghafla simu yake ikaita, akapokea ile simu neno aliloanza nalo ni "kwa nini muda wote hujanitafuta?? unanitafuta saa hizi wakati jua linaaga, mngese .............. sana wewe mwanamke, nimekuwekea charge hadi kwenye.........................(papuchi) yaani yakamtoka matusi yote then akakata sim, yaani gari zima turiboreka hakuna hata aliyemsemesha, kaona hiyo haitoshi kaanza kumsema mkewe madhaifu yake yote ndani ya gari, yaani anatoa maneno mazito mazito, kwa kweli wanawake wote tulinywea kama tumemwagiwa maji, baada ya hapo dada mmoja aakamwambia baba kwanini unashindwa kumsitiri mwanamke unaeishi nae??????? ndio kama aliwasha moto, mzee akasema yoteeeee yaliyomo na yasiyokuwemo loh!!, jamani mzee alizaliwa 1942 lakini, maneno aliyokuwa anatukana mmmh!!!!!!!! kweli nikaamini mwanaume mlevi ni mzigo, haraka nikamtathimini nikagundua:


  • kwanza ni mwanaume mchafu mchafu hadi basi.
  • Ni aina ya wanaume wanyanyasaji ambao anaweza kumsimanga mwanamke hata kwa chakula.
  • wababa wa aina hii ndio chanzo cha wanaume kuwa wa sasa kurithi unyanyasaji.


Bora mi sionji pombe mweh!
 
kama unaichukia pombe na kero zake ni vyema ukapata mtu asiyekunywa..

Ukitaka asiyekunywa, zaa wako umlee kwny mazingira mazuri akuoe akikua. Unajua nini kama mwanaume hanywi pombe kabisa inawezekana, ila lazima ana ulevi wake sasa usiombe ukute ulevi wake ni mkali kuliko ulevi wa pombe, utajuta
 
Back
Top Bottom