Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
mkuu kwa hili nadhani unaweza kujiepusha mwenyewe
Kiaje labda?
mkuu kwa hili nadhani unaweza kujiepusha mwenyewe
Nitaamini utakaponiambia ulijuaje kazaliwa mwaka 1942.....
Baaaas....
kama unaichukia pombe na kero zake ni vyema ukapata mtu asiyekunywa..Kiaje labda?
kweli nikaamini mwanaume mlevi ni mzigo
Sio peke yako,tuliokuwemo ndani ya gari ile walifurahia kile kitendo.Hata na mm hakunifurahisha nilitamani nimwambie dereva amshushe ila nilimuheshimu umri wake.
Nilichogundua.
Mzee ana stress sana za maisha.
Inawezekana keshakatamaa na maisha.
Hahahaa...mwombe Mungu akuepushe wengine wanaanziaga ndowaniMkuu nilipokuwa 17 ningeweza vuta na kunywa sababu ya ujana, sasa hivi ni mzeee najielewa naanzaje anzaje onja kitu uzeeni?
Sina rafiki mlevi, siendi Bar, sijihusishi na mambo ya usiku eti nitakunywa bia, siendi club wala harusi yenye bia....
Am at a safe zone
Tuko wawili tu duniani mtoto wa kazi gani?
kama unaichukia pombe na kero zake ni vyema ukapata mtu asiyekunywa..
Kwa lafudhi yake unahisi anatokea mkoa gani? maana kuna sehemu inaitw Rombo inatoa kizazi cha walevi
duuu...kwamba unafall kwa mlevi ukiamini utambadilisha ama?Ni kwa neema tu za Mungu naweza jikuta nimefall kwa mlevi na nisiweze kujinasua
yey mwenyewe kasema anamezaliwa 1942 hvyo hawez kubabaishwa na mwanamke mwenye miaka 55.
Kwa lafudhi yake unahisi anatokea mkoa gani? maana kuna sehemu inaitw Rombo inatoa kizazi cha walevi
Ni kwa neema tu za Mungu naweza jikuta nimefall kwa mlevi na nisiweze kujinasua
Hahahaha unazidi kunifumbua macho tu.......
Hahahahaha hebu niambie umefumbukaje na kugundua nini?
Asa uliamini ni pombe ndo imemfanya awe kichaa? Wote wanaokunywa wanafanya hivyo? Wote wasiokunywa hawafanyi hivyo??
Jitu la hivo ni la kuchanganyia mkojo kwenye pombe lilewe wiki nzima
Mimi sitaacha pombe,maana haijawahi kunikosea.Mimi hunywa ijumaa jioni na jumamosi tu.
Jumapili hupumzika na familia baada ya kutoka kanisani. Ninywapo hujisikia raha sana. Sigombani,situkani. Bali huchekesha sana wenzangu.
Maendeleo nyumbani naleta.nasomesha watoto vizuri,kazini najituma,hata kitandani pia.
Kwa kweli nikiacha pombe,nahisi maisha yangu yatabadilika sana.Nitakuwa na stress za kufa mtu.
Sasa hivi yenyewe nimetoka kunywa Shots za Jack Daniels...Pombe sikuachi labda uniache wewe mpenzi.Amina
Sipendi pombe na namuomba Mungu aniepushie mnywaji wa pombe