Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Leta contacts zake nitakusaidia kudai....unakata ngapi kwenye hio kilo 2?

Mkuu una kadigrii kakudai nini? anywei nimeshapata mkakati mzuri wa kuzipata hizo fedha, nitakutumia 20%
 
kauli za kishamba hizo tena zimeshapitwa na wakati.
huyo inawezekana kaja mwaka jana twn tena kwa lori la machungwa au ngo'mbe.
 
Pole saanna ndugu laki mbili ni pesa nyingi sana mie naweza kukusaidia kwa ushauri na tumia njia hii!! andika ujumbe wa simu au text messeji hivi
Rafiki ni muda mrefu tokea nimekuazima pesa yangu shilingi 200000 namie ninazihitaji kwa ajili ya mambo yangu
najua pesa ni ngumu kupata na wewe huna kwa sasa kama ambavyo umekua unaniambia tokea tarehe ya ......... nilipo
kuazima na ukasema utanirudishia!! naomba tu uniambie ni lini nitegemee utanipatia pesa yangu??
wako........
NOTE kuandika text kama hio ni kumvuta ili uweke ushahidi hata ukimfikisha kwenye vyombo vya usalama kua unamdai sasa akikujibu messeji yako taitumia kama ushahidi!!!jaribu hio njia

huu ushauri umenivutia sana ipo siku,nitaufanyia kazi...
 
dawa yake hii hapa.
1. Mvuate popote alipo mjazie inzi, yaani watu kibao.
2. Mpeleke police wana mitego yao yakudai mtu.
3. Jisevie mpenzi wake kulipa kisasa
 
dawa yake hii hapa.
1. Mvuate popote alipo mjazie inzi, yaani watu kibao.
2. Mpeleke police wana mitego yao yakudai mtu.
3. Jisevie mpenzi wake kulipa kisasa



Sasa mkuu,iyo no3,ni equivalent na laki2?
 
kauli za kishamba hizo tena zimeshapitwa na wakati.
huyo inawezekana kaja mwaka jana twn tena kwa lori la machungwa au ngo'mbe.


Mkuu haupo mbali na ukweli jamaa alifika Dar kitambo kidogo,lakini ni baada ya kuombewa lift kwenye gari lililokuwa linasafirisha marehemu aliyekuwa mtumishi wa serikali kupelekwa Kibaha/pwani.Hii ni kutokana na ukata uliokuwepo na hakuweza kujigharamia nauli
Mzee aliyemuombea lift yumo humu JF,nategemea akisoma uzi huu atakumbuka hili.
 
Mie nimezaliwa na kukulia Dar lakini sijaona ujanja wowote wa vijana wa Dar zaidi ya umarioo tu na ushamba ushamba, wachache sana ni wa janja na wengi katika hao wachache hawajazaliwa wala kukulia hapa wametoka Arusha, Mbeya na Mwanza wengi wao ni wachakarikaji sana umemipataa eeh hamy-d ?

Kama ni hivyo, basi utakuwa umekulia mbezi ya kimara, kimara, gongo la mboto, mbagala na huko tegeta. Lakini kama umekulia kinondoni, sinza, ubungo, ilala, tabata ya hapo relini, kariakoo, buguruni na upanga, kijitonyama kwa wanyama, kigogo, magomeni, keko na mabibo, lazima huwe mjanja na michakato ya town, kula bata, kutafuta doe na kugonga bitches (uroda daily) yote haya utayajua, unlike those who were born and raised in Mwanza and Arusha sijui Mbeya. Wanazi tu hao hawajui kitu, wakija town huwa wanahema hema tu wanavyotuona wakongwe wa jiji tunavyo kimbizana na muda.
 
Kama ni hivyo, basi utakuwa umekulia mbezi ya kimara, kimara, gongo la mboto, mbagala na huko tegeta. Lakini kama umekulia kinondoni, sinza, ubungo, ilala, tabata ya hapo relini, kariakoo, buguruni na upanga, lazima huwe mjanja na michakato ya town, kula bata, kutafuta doe na kugonga bitches (uroda daily) yote haya utayajua, unlike those who are born and raised in Mwanza and Arusha sijui Mbeya. Wanazi tu hao.


Baada ya kuwatenga/kuwabagua watu mnaowaita wa mikoani, mmeanze kutengana ninyi wenyewe watoto wa Dar.
 
Si dharau ID,najua kuna wanawake wanamshiko wa kutosha,lakini sio ww suzie,kama ni kweli ulisamehe 9m,basi umefiliska na hauna kitu tena, kiongozi kitu gani ata mwenyekiti wa mtaa ni kiongozi.

Uko kama shekhe Yakhaya ni kweli nilifilisika "NILI"

Kazi yangu ya uwenyekiti wa mtaa inanitoa maana madili mengi mjini yanaanzia hapa au hujui kama ukifungua ac bank unahitaji muhuri wenye saini yangu? Likibuma popote utakuja hapa. Nasasa kukusaidia vijisenti vyako utaishia serikali ya mtaa. Period
 
1wa dar anamdharau mtu anayeishi nje ya dar 2 wa mbezi beach osterbay anamdharau anayeishi Mbagala kwa iyo ata nyie wa dar mnadhauliana.
Dar kitu gani watu mandezi tu, kulipa deni hakuhusiani na Dar wala Mwanza.
 
Uko kama shekhe Yakhaya ni kweli nilifilisika "NILI"

Kazi yangu ya uwenyekiti wa mtaa inanitoa maana madili mengi mjini yanaanzia hapa au hujui kama ukifungua ac bank unahitaji muhuri wenye saini yangu? Likibuma popote utakuja hapa. Nasasa kukusaidia vijisenti vyako utaishia serikali ya mtaa. Period

kumbe mpaka upige madili ndio kieleweke tena madili ya m/kit wa mtaa,buku kwa dili,basi kazi unayo,mda si mrefu utalikimbia jiji na kurudi kijijini kulima.
 
kama unajua kwake,nenda kisha mwambie nimekuja kuchukua pesa yangu,akigoma kukupa,kaa hapo kula chakula ukiwa unahesabu,sahani moja 1500 na maji kama 2000 kwa mlo,kaa ukipiga hesabu kimya kimya mpaka hela yako inatimia kisha ondoka,ukaendeelee na maisha mkoani....
 
Tafuta maustadhi wa misikiti mitatu au zaidi hapa dar wamsomee ITKAFU
 
Jaribu Itiqaf ikishindikana test Al-badr ukichemka hapo lete hela ya bia nikampe tiketi ya kuzimu kwa mapanga au sindano ya sumu kazi ambayo nimeifanya sana Shinyanga.
 
Mtafuta ilunga asome itkafu watu kama hao sio wakuwalea
 
Jaribu Itiqaf ikishindikana test Al-badr ukichemka hapo lete hela ya bia nikampe tiketi ya kuzimu kwa mapanga au sindano ya sumu kazi ambayo nimeifanya sana Shinyanga.

Ludovick hajakona? Naamini utakuwa umesharekodiwa bila ya kujijua subiri tuitupie video yako Youtube uone moto wako.
 
Back
Top Bottom