Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kamchukulie RB, tafuta rafiki mwanasheria akusaidie. Ukimfungulia kesi mweleze kuwa atatumia zaidi ya hizo laki 2 alizokopa kwako
 
hata mie namshangaa jamaa, mi siku hizi nakopesa mabinti tu tena si zaidi ya elfu therathini.

Hapo umetundanganya mkuu,sema unahonga mabinti nasio unawakopesha.
 
kama una ubavu mkate makonde mpaka akojoe hala fu atumie huo umjini wake kutapeli kwingine aje akulipe halafu anakuita wa mikoani utakuta yeye ni mluguru.
 
Mtafutie wa2 atatoa2 zaid ya hyo,kwan ww uko wap,ukiwapata toka nyandaza juu kusn itakuwa powa
 
Mtafutie wa2 atatoa2 zaid ya hyo,kwan ww uko wap,ukiwapata toka nyandaza juu kusn itakuwa powa

nazani watu wa nyanda za juu kusin wanaweza kufanya kazi iyo vizuri hawaofii kitu ,atatia adabu vya kutosha
 
Dawa ya Deni ni kulipa ila; "lini" ndoo tatizo! Alafu kuhusu Deni Usiombe umkope Denis ! teh teh
 
fanya kitu kimoja anza sasa kumtumia msg za kuelezea deni lako ili akujibu the kama cm yako ina voice record tumia namba yako au nyingine nyingine halafu mpigie ukielezea deni lako kwa kulitaja na kiasi na kumtaja kwajina huyo mdaiwa wako then huo ndo uwe ushahidi wako coz hamkuanikishana mahali na unapo ongea nae hakikisha unatumia mbinu yeyote kutaja tarehe ya mkopo huo na tarehe aliyo panga kukulipa then jitahidi katika maongezi hayo utaje na tarehe mwezi mwaka ya hiyo cku unayo ongea nae ili ikusaidie asije kudai kuwa ni maongezi ya mwaka juzi nafikiri ukikamilisha hilo itafaa zaidi kumtafuta mwana sheria kwa msaada zaidi ila jitahidi sana utumie ujanja wa maneno kutaja hizo tare na mwaka katika mmaongezi yenu.
 
Naukumbuka Msemo mmoja kwenye Daladala unaosema hivi
"PESA HUNA, NGUVU HUNA HATA MKWARA?!!"
 
Mkuu jifanye mjinga. kubaliana na yeye kisha umwambie muandikishane atakulipa lini. baada ya hapo mpeleke polisi uwaambie full story. lazima hela yako yote uipate tena kwa lazima. mia
 
Kuna jamaa yangu anayeishi Dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini (dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu?

mh ila jamaa kanizidi kama miaka10 alafu bonge la mtu ndio maana natafuta diplomatic kwanza.
Hiyo kazi ndogo sana. Kwani huna babu yako Maeneo ya Bagamoyo au Katavi?
 
Back
Top Bottom