Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Mod naomba mnisaidie kuweka post #217 mwanzoni mwa hii thread,ni mlejesho.
 
Mlejesho;
uyu Ndugu yangu kaibiwa vitu vyote vya muhimu ndani ya nyumba + plus 4million iliyokua ndani,watoto wa mjini wamevunja mlango wakakomba vitu usiku wa kuamkia Jana.
sasa hivi anapiga simu kwa Ndugu na jamaa kuomba msaada,kiufupi amefilisika.
mi nilishamsamehee ile laki2 aliyonidhulumu mwaka 2012...
Somo ni kukopesha kunaendana na mkataba wa makubaliano ukiwa katika maandishi. Haijalishi mna ukaribu wa kiasi gani.
 
Mlejesho;
uyu Ndugu yangu kaibiwa vitu vyote vya muhimu ndani ya nyumba + plus 4million iliyokua ndani,watoto wa mjini wamevunja mlango wakakomba vitu usiku wa kuamkia Jana.
sasa hivi anapiga simu kwa Ndugu na jamaa kuomba msaada,kiufupi amefilisika.
mi nilishamsamehee ile laki2 aliyonidhulumu mwaka 2012...

Sasa akija kukuomba msamaha bila aibu utamsaidia? Maana wanaume wengi wa Dar hawana aibu na utapeli na uongo mwingi.
 
Sasa akija kukuomba msamaha bila aibu utamsaidia? Maana wanaume wengi wa Dar hawana aibu na utapeli na uongo mwingi.
Naona anakosa ata ujasiri wa kunipigia,kiufupi kwa sasa sina uwezo wa kumsaidia
 
Kuna jamaa yangu anayeishi Dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini (dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu?


Pole sana kijana mwenzangu Ila fanya Hivi!!
MWANDIKIE SMS KUA UNAOMBA AKULIPE LAKI 5 Unao MDAI, YY ATAANDIKA KUWA ANADAIWA LAKI 2 NA SIO TANO , KISHA CHUKUA KIELELEZO HICHO PELEKA POLISI KWISHA HABARI YAKE ATALIPA TU! NIMKOMESHA MTU MMOJA ALIYE JIFANYA NAE WA MJINI
 
ukifika dar mtafute panya road mmoja tu then msake mbona atakurudishia fasta
 
Mwambie utamfanyizia...
watu wa Dar wengi wanaogopa watu wa mikoani kwa ushirikina
mwambie umeshaongea na bibi yako kasema ikipita mwezi hajakulipa na asilipe tena
yeye bibi anajua atakachokifanya
ni kwamba jamaa alinipigia simu desemba 2012 ni kuniomba nimsaidie, ni mtu aliyekulia/kulelewa nyumbani kwetu kabla ya kwenda dar 1992,ivyo sikua nashaka naye kabisa nikaamua kumsaidia,ivyo hatukuwasiliana kwa message,ila iyo fedha nilimtumia kwa Mpesa.
Wote wanatoka pamoja kwa hiyo haogopi kurogwa mkuu...cha msingi ampeleke polisi tu anambabaisha mwenzie kwa sababu anajua bado yuko mkoa na yeye kaja Dar..ushahidi ni m-pesa aende voda akachukue statemennt ya mwezi aliotuma kisha afungulie kesi
 
Well said_dar folen,joto,shida ya maji(maji chinvi),uchafu,maisha taabu.....etc,etc
Maji ya visima ya chumvi, miguu,utumbo, shingo za kuku, kulala hoi, kelele,kuamka SAA 10 kurudi saa4
 
Mlejesho;
uyu Ndugu yangu kaibiwa vitu vyote vya muhimu ndani ya nyumba + plus 4million iliyokua ndani,watoto wa mjini wamevunja mlango wakakomba vitu usiku wa kuamkia Jana.
sasa hivi anapiga simu kwa Ndugu na jamaa kuomba msaada,kiufupi amefilisika.
mi nilishamsamehee ile laki2 aliyonidhulumu mwaka 2012...
.
,....,..............,..............................
 
Kuna jamaa yangu anayeishi Dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini (dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu?

Kama umeweza kusurvive toka 2012 bila hiyo hela we msamehe, hata hive imeshuka thaman!
 
Back
Top Bottom