Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Hiyo hela Andika imepotea maana nakuona unamuogopa huyo uliyemkopesha eti amekuzidi miaka 10, ulivyokuwa unampa hukuliona ili?
 
Hiyo hela Andika imepotea maana nakuona unamuogopa huyo uliyemkopesha eti amekuzidi miaka 10, ulivyokuwa unampa hukuliona ili?

Nilikua nalijua hilo lakin sikutegemea jamaa atageuka kiasi hiki,ata afyo sio kwamba namuogopa,ila kuna mtu humu alinipa wazo la kwenda kuchapana naye mkono, ndio nikamjibu ya kwamba jamaa ananizidi kama miaka 10,alafu ni kibonge,hivyo inakuwa ngumu kumkabili.
 
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu
Huyo ni limbukeni!
What's the meaning of Dar?
Umbumbu wake tu.By the way wewe andika maumivu,but ipo siku atakufata tena.
 
Huyu anacheza na akili zako_wewe mfute huko huko dar then utajua la kufanya....ukiona anakuzingua wewe mtindue magumi ya kuvizia....kuna migogoro/matatizo mengine sio lazima utatue kwa diplomatic way_violence and force can be the best way to go.

Mkuu ushauri wako huu ni mzuri,lakini,binadamu tumekuwa na roho ya ukatili sana.Kwa jinsi huyo jamaa anavyotoa hayo majibu, siyo mtu mwema tena.Jamaa anaedai anaweza kweli kwenda,mdaiwa akamzushia kuwa ni mwizi,na unajua watu huwa hawajiulizi mara mbili wanaposikia neno mwizi atapigwa na pengine kupoteza maisha kwa Ths.200,000/=.Namshauri jamaa asahau tu,mdaiwa akijisikia kumpa atampa asipojisikia basi. Nina imani atalipwa kwa njia yoyote ile kwa uwezo wa Mungu.
 

Wewe naye ndo walewale tu yaani unaiongelea Dar enzi hizo hamna TV wala FM. Wakati huo mji ulikuwa Morogoro uliza kwa yeyote Mji kasoro bahari. Dar ndo sasa baada ya watu wa mikoani kuingia na kuwakimbiza walugaluga. Wajanja wa Dar wengi waliishia ubaharia na wengi walitimkia mamtoni mwishoni mwa miaka ya tisini. Sasa ukiweza kuishi Dar ukamiliki mkoko na kibanda maeneo mazuri yenye hewa kama Mbweni, Mbezi Beach, Tabata na ukawa unaingia mjini kila asubuhi na unageuza jioni wakati foleni kali huku ukiwa unakula kiyoyozi wewe ndo mjanja niamini. Wa mikoani ukiwaleta ugumu huu hawauwezi na vijihela vyao haviwatoshi ndo maana mtoto wa Dar leo anambinu nyingi sababu ya environment imem-shape hivyo.

Dar hatusikilizi radio home ni ndani gari, home TV tu. Dar 95% wanajaa nyumba za ibada kila asubuhi kuanzia saa 12, mnafikiri foleni ni laana wenzenu tunafurahi tumemjua Mungu zaidi. Ukiongea Dar unaongelea Mikoa mitatu iliyoshiba rasilimalli
 
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu
wasiliana na comrade MziziMkavu.nina hakika atamshughulikia barabara na hatimaye utarejeshewa fedha zako.
 
Last edited by a moderator:
Wewe naye ndo walewale tu yaani unaiongelea Dar enzi hizo hamna TV wala FM. Wakati huo mji ulikuwa Morogoro uliza kwa yeyote Mji kasoro bahari. Dar ndo sasa baada ya watu wa mikoani kuingia na kuwakimbiza walugaluga. Wajanja wa Dar wengi waliishia ubaharia na wengi walitimkia mamtoni mwishoni mwa miaka ya tisini. Sasa ukiweza kuishi Dar ukamiliki mkoko na kibanda maeneo mazuri yenye hewa kama Mbweni, Mbezi Beach, Tabata na ukawa unaingia mjini kila asubuhi na unageuza jioni wakati foleni kali huku ukiwa unakula kiyoyozi wewe ndo mjanja niamini. Wa mikoani ukiwaleta ugumu huu hawauwezi na vijihela vyao haviwatoshi ndo maana mtoto wa Dar leo anambinu nyingi sababu ya environment imem-shape hivyo.

Dar hatusikilizi radio home ni ndani gari, home TV tu. Dar 95% wanajaa nyumba za ibada kila asubuhi kuanzia saa 12, mnafikiri foleni ni laana wenzenu tunafurahi tumemjua Mungu zaidi. Ukiongea Dar unaongelea Mikoa mitatu iliyoshiba rasilimalli

Si uilinganishe iyo dar na majiji mengine kama Nairobi,Capetown,Cairo,Kinshasa,Harare,New york,Lagos,Tokyo etc.
 
Wewe naye ndo walewale tu yaani unaiongelea Dar enzi hizo hamna TV wala FM.

TV na FM za nini wakati tunasoma enzi hizo? Sio bongolala kama siku hizi watoto hata kusoma hawajui.

Tena tunasoma kuanzia Tanganyika Library, British Council, USIS, Soviet Information Service mpaka Reuter pool za Ikulu na bajeti za Wizara ya Uchumi na Mipango za Malima.

Halafu baadae kidogo tunaenda kuangalia movie ya Commando John kwa Bakhresa, kama sio Empress Jumamosi au Drive-In Cinema (sio tiketi mbu vile vile)

Dar siku hizi hata Drive-In Cinema hamna!

Wakati huo mji ulikuwa Morogoro uliza kwa yeyote Mji kasoro bahari.

Ushasema mji kasoro bahari, hata Mchina akitaka kujenga bandari akuletee mzigo hawezi, sasa kasoro tayari hiyo hata kabla mie sijaanza kukubondea.

Dar ndo sasa baada ya watu wa mikoani kuingia na kuwakimbiza walugaluga. Wajanja wa Dar wengi waliishia ubaharia na wengi walitimkia mamtoni mwishoni mwa miaka ya tisini. Sasa ukiweza kuishi Dar ukamiliki mkoko na kibanda maeneo mazuri yenye hewa kama Mbweni, Mbezi Beach, Tabata na ukawa unaingia mjini kila asubuhi na unageuza jioni wakati foleni kali huku ukiwa unakula kiyoyozi wewe ndo mjanja niamini. Wa mikoani ukiwaleta ugumu huu hawauwezi na vijihela vyao haviwatoshi ndo maana mtoto wa Dar leo anambinu nyingi sababu ya environment imem-shape hivyo.

Dar sasa hata kupumua kazi, vibanda vibanda viiingi ukiwa unatua na ndege utafikiri unakwenda shamba la kuku.

Dar hatusikilizi radio home ni ndani gari, home TV tu.

TV unaijua wewe leo wakati wenzako wamejifunza yai na Jonathan Mann through CTN, au na Peter Jennings hapo ABC. Leo washa evolve kwenye ma Bluray na ma user defined content huko, TV is ancient technology watu washaichambua tangu 1950s, wewe unaongea passive watching wakati watu wapo katika Civilization 1 interactivity tunajimix na ma Ichi Ban ya Tokio huko? Wewe unaongea TV? Museum bound technology?

Dar 95% wanajaa nyumba za ibada kila asubuhi kuanzia saa 12, mnafikiri foleni ni laana wenzenu tunafurahi tumemjua Mungu zaidi. Ukiongea Dar unaongelea Mikoa mitatu iliyoshiba rasilimalli

Wakiombwa wanaoijua Dar wasimame wewe huwezi kusimama, why? Mtu akikwambia "Mchafukaoge" utaona anakutukana!
 
TV na FM za nini wakati tunasoma enzi hizo? Sio bongolala kama siku hizi watoto hata kusoma hawajui.

Tena tunasoma kuanzia Tanganyika Library, British Council, USIS, Soviet Information Service mpaka Reuter pool za Ikulu na bajeti za Wizara ya Uchumi na Mipango za Malima.

Halafu baadae kidogo tunaenda kuangalia movie ya Commando John kwa Bakhresa, kama sio Empress Jumamosi au Drive-In Cinema (sio tiketi mbu vile vile)

Dar siku hizi hata Drive-In Cinema hamna!



Ushasema mji kasoro bahari, hata Mchina akitaka kujenga bandari akuletee mzigo hawezi, sasa kasoro tayari hiyo hata kabla mie sijaanza kukubondea.



Dar sasa hata kupumua kazi, vibanda vibanda viiingi ukiwa unatua na ndege utafikiri unakwenda shamba la kuku.



TV unaijua wewe leo wakati wenzako wamejifunza yai na Jonathan Mann through CTN, au na Peter Jennings hapo ABC. Leo washa evolve kwenye ma Bluray na ma user defined content huko, TV is ancient technology watu washaichambua tangu 1950s, wewe unaongea passive watching wakati watu wapo katika Civilization 1 interactivity tunajimix na ma Ichi Ban ya Tokio huko? Wewe unaongea TV? Museum bound technology?



Wakiombwa wanaoijua Dar wasimame wewe huwezi kusimama, why? Mtu akikwambia "Mchafukaoge" utaona anakutukana!


Kiranga naona umemmaliza suzie,kwisha habari yake.
 
Wakiombwa wanaoijua Dar wasimame wewe huwezi kusimama, why? Mtu akikwambia "Mchafukaoge" utaona anakutukana!

Dah una mifano ya kizamani mbona hii misemo ni ya kawaida kwa watu wa Tanga, Dar na Moro. Na wala tulikuwa hatusemi Mchafukaoge ni mchafukoge ile A tunaipotezea. Watu wa Dar wa enzi hizo mlikuwa hamuendi mikoa mingine lakini wamikoani walikuwa wakija sana hivyo hamkuwa na exposure yoyote.anyway mi ni wa Dar nimesomea Olevel Moro A level Tambaza na chuo hapa Dar kazi nimeanzia mikoani na sasa nimerudi jijini I can tell you ninachokiongea simung'unyi.

Ubishi wako wa kitoto sana Mchina kuleta bandari ni leo ndo maana enzi hizo Moro iliongoza, ila kwasasa Moro chafu vumbi kibao makampuni ya kuhesabu wababe wa Mji mpya na Kichangani wamekuwa machizi kwa uteja wajanja wa Forest, Mwere na Kilakala wamekimbilia Dar wote, ukiingia Makampuni na ofisi za serikali uwezi kuta CV iliyopitia pale hasa miaka ya wajanja kama 90s
 
Si uilinganishe iyo dar na majiji mengine kama Nairobi,Capetown,Cairo,Kinshasa,Harare,New york,Lagos,Tokyo etc.

Ndomaana ukaingizwa mjini wewe unaacha kufananisha Dar na mikoa yako unayoingia kwa tiketi unafananisha na huko unakoingilia na visa. Na hawa watakuingiza kingi zaidi piga kimya laki mbili Dar ni wese la wiki moja. Unaongelea Kinshasa alokwambia Dar kulishatokeaga vita kama Kinshasa nani? Tokyo huendi na basi kama mkoa uliopo sasa, naona ulitakiwa upigwe kitu 10m ungekaa chini ukishika makalio na huku unapiga yowe ya kichaga Keleuwiiiiii
 
Dah una mifano ya kizamani mbona hii misemo ni ya kawaida kwa watu wa Tanga, Dar na Moro. Na wala tulikuwa hatusemi Mchafukaoge ni mchafukoge ile A tunaipotezea. Watu wa Dar wa enzi hizo mlikuwa hamuendi mikoa mingine lakini wamikoani walikuwa wakija sana hivyo hamkuwa na exposure yoyote.anyway mi ni wa Dar nimesomea Olevel Moro A level Tambaza na chuo hapa Dar kazi nimeanzia mikoani na sasa nimerudi jijini I can tell you ninachokiongea simung'unyi.

Ubishi wako wa kitoto sana Mchina kuleta bandari ni leo ndo maana enzi hizo Moro iliongoza, ila kwasasa Moro chafu vumbi kibao makampuni ya kuhesabu wababe wa Mji mpya na Kichangani wamekuwa machizi kwa uteja wajanja wa Forest, Mwere na Kilakala wamekimbilia Dar wote, ukiingia Makampuni na ofisi za serikali uwezi kuta CV iliyopitia pale hasa miaka ya wajanja kama 90s

Walewale tu.

Wewe wa Dar na Jumbe Tambaza aseme wa wapi?

Wewe umesoma Tambaza photocopy, mie nimesoma Tambaza original.

Na mikoba ya Jumbe Tambaza mwenyewe aliyomtambika nayo "Baba Kabwela" nimeiona kwa Mzee Pambe.

Wee wa Dar hata pilau la Shangani unalijua wewe?
 
Ndomaana ukaingizwa mjini wewe unaacha kufananisha Dar na mikoa yako unayoingia kwa tiketi unafananisha na huko unakoingilia na visa. Na hawa watakuingiza kingi zaidi piga kimya laki mbili Dar ni wese la wiki moja. Unaongelea Kinshasa alokwambia Dar kulishatokeaga vita kama Kinshasa nani? Tokyo huendi na basi kama mkoa uliopo sasa, naona ulitakiwa upigwe kitu 10m ungekaa chini ukishika makalio na huku unapiga yowe ya kichaga Keleuwiiiiii

si mnanasema dar ndio jiji pekee apa bongo mengine yamefulia,so ni vyema kuilinganisha na majiji mengine duniani.

By then hatuwezi wote kulingana kifedha iyo laki mbili kwangu sio ndongo,lakini kuna watu iyo laki mbili ni wese la siku 1 na si wiki moja kama unavyodai.
kumbuka dhuluma ni mbaya ata kama ni shilingi 1.
 
Ndomaana ukaingizwa mjini wewe unaacha kufananisha Dar na mikoa yako unayoingia kwa tiketi unafananisha na huko unakoingilia na visa. Na hawa watakuingiza kingi zaidi piga kimya laki mbili Dar ni wese la wiki moja. Unaongelea Kinshasa alokwambia Dar kulishatokeaga vita kama Kinshasa nani? Tokyo huendi na basi kama mkoa uliopo sasa, naona ulitakiwa upigwe kitu 10m ungekaa chini ukishika makalio na huku unapiga yowe ya kichaga Keleuwiiiiii

Sio kila anayeishi Dar anafuraia maisha.
 
Back
Top Bottom