Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

sina Babu uko,ila kama unamjua yeyote nielekeze ila asiue,cha muhimu fedha iludi
Mababu hawana shida, wao wanapokea maelekezo yako tu. Ukitaka X unapata X, ukitaka Y utapata Y.
 
yaani laki mbili tu mtu unadai namna hii, na watu wote hawa mnapoteza mda kujadili laki mbili, acheni ujinga fanyeni kazi, hakuna tajiri hapa wala nini, acheni kudanganyana, tajiri hana mda kuja hapa JF kujadili laki mbili,bure kabisa,
 
..kwani hauna bastola, ? dar wanaheshimu sana hii kitu,we nenda nayo tu atakuamkia mara saba...teh tehh !
 
Kuna jamaa yangu anayeishi Dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini (dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu? the american dream likes this.
 
Na je kama mmeandikishana kwa mtendaji wa kata na hataki kukulipa unaanzia wapi?
 
msamehe fanya kama ulipigwa kanyaboya pale shule ya uhuru!umeuziwa mche wa sabuni badala ya simu au umenunua gazeti la mwaka jana ububgo stend ya mkoa,au fanya kama umeuziwa samsung galaxy 5 mini iliyokufa display
utapona
 
mh ila jamaa kanizidi kama miaka10 alafu bonge la mtu ndio maana natafuta diplomatic kwanza.
Ongeza hasara kidogo iliufarijike,hapa zenji kuna wachawi (wenyewe wanajiita waganga) wanatia adabu dhulmati kama hao,unaweka mpunga kwa hawa wajomba wa shetani(waganga)unaulizwa adhabu gani wapewe.kwa kuwa wewe unasema jamaa anakutisha kimwili basi napendekeza jamaa awe anaota au ajihisi kila usiku unamgegeda kipopo bawa na kila ukimaliza una mwambia kesho tena kama hutaki nilipe pesa yangu marambili! na ikifika asubuhi mtumie meseji ya "jana ilikuwa tamu nahisi usiku wa leo utaniburudisha vizuri zaidi"
 
Ongeza hasara kidogo iliufarijike,hapa zenji kuna wachawi (wenyewe wanajiita waganga) wanatia adabu dhulmati kama hao,unaweka mpunga kwa hawa wajomba wa shetani(waganga)unaulizwa adhabu gani wapewe.kwa kuwa wewe unasema jamaa anakutisha kimwili basi napendekeza jamaa awe anaota au ajihisi kila usiku unamgegeda kipopo bawa na kila ukimaliza una mwambia kesho tena kama hutaki nilipe pesa yangu marambili! na ikifika asubuhi mtumie meseji ya "jana ilikuwa tamu nahisi usiku wa leo utaniburudisha vizuri zaidi"

Mmmmh Aisee
 
Aisee hapo andika maumivu. Mimi nilimkopesha mtu kama iyo ya kwako ukiongeza nusu, kaniambia atanilipa ndani ya siku nne, basi siku zikaendaaaaaaa, nilivokuwa naendelea kumdai kaniambia"ukitaka hela yako wasiliana na mama yangu, sitaki kuona sms yako wala call yako" nimekoma kumkopesha mtu hela walahi! Hadi leo imeandika maumivu
 
hiyo ni ukweli mtupu hata mimi yamenikuta watu hawa wanojiita wa mjini ni waajabu sana ukiwaazimisha ujue hiyo hela umeumia, maisha yao wengi ni magumu sana ukimwazima hela ni shida sana kuirudisha.
 
Msamehe tuu ndugu Dar wengi wao wana maisha magumu sana yaani hadi huwa nawaonea huruma wale watu wacha nikomae na Mbeya yetu tuu bhana.
 
Mlejesho;
uyu Ndugu yangu kaibiwa vitu vyote vya muhimu ndani ya nyumba + plus 4million iliyokua ndani,watoto wa mjini wamevunja mlango wakakomba vitu usiku wa kuamkia Jana.
sasa hivi anapiga simu kwa Ndugu na jamaa kuomba msaada,kiufupi amefilisika.
mi nilishamsamehee ile laki2 aliyonidhulumu mwaka 2012...
 
Msamehe tuu ndugu Dar wengi wao wana maisha magumu sana yaani hadi huwa nawaonea huruma wale watu wacha nikomae na Mbeya yetu tuu bhana.
Kaibiwa vitu na fedha usiku wakuamkia juzi
 
Ongeza hasara kidogo iliufarijike,hapa zenji kuna wachawi (wenyewe wanajiita waganga) wanatia adabu dhulmati kama hao,unaweka mpunga kwa hawa wajomba wa shetani(waganga)unaulizwa adhabu gani wapewe.kwa kuwa wewe unasema jamaa anakutisha kimwili basi napendekeza jamaa awe anaota au ajihisi kila usiku unamgegeda kipopo bawa na kila ukimaliza una mwambia kesho tena kama hutaki nilipe pesa yangu marambili! na ikifika asubuhi mtumie meseji ya "jana ilikuwa tamu nahisi usiku wa leo utaniburudisha vizuri zaidi"
Kawa mdogo kama piriton,
 
Back
Top Bottom