Kuishabikia CHADEMA ni kutoijua CHADEMA

Kuishabikia CHADEMA ni kutoijua CHADEMA

Chadema ni watu wa
ajabu sana. Kwa wasioijua hebu tafakari!!

1. Wako tayari hata kuua ili waingie ikulu. Kumetokea vifo vingi vya
vijana wetu wakiwa mikononi mwao au ktk mazingira ambayo yanatiliwa
shaka kama walikuwa na dhamira ya dhati ya kuleta amani. Mfano mauaji ya
kijana wa Morogoro ktk maandamano yao ilihali maandamano yalizuiwa.,
mauaji ya Chacha Wangwe ni mfano wa nyongeza.

2. Viongozi wa CHADEMA wameifanya CHADEMA kama SUCCOS yao. Mfano Dr.
Slaa(babu) kukwapua viroba vya manoti na kujikopesha. Sidhani kama
Chadema wamegeuza maudhui ya Chama chao kuwa SUCCOS.

3. Chadema imegeuka ni kama "vikundi vya kusaidiana". Kwa wasiojua
vizuri kule uchagani kuna vikundi vya kusaidiana wakati wa shida ktk
ukoo. Chadema wameamua kuigeuza Chadema kama KIKUNDI CHA KUSAIDIANA
kwani hata "population ya wanachama, wabunge wa viti maalumu na wa
kuchaguliwa" inatia shaka. Na wengine wameamua kuleta WAKE ZAO ili
kusaidiana kula pesa ya chama.

4. Hakuna demokrasia ya kutosha. Chadema imekuwa na kawaida ya kufukuza
wanachama wake pale "wakubwa" wanapohisi watu hao wanahatarisha amani na
uhai wao wa ndani ya chama.

5. Chadema ni wanafiki. Walitangaza kuwa hawatopokea posho lakini
wakaendelea na wanaendelea kupokea na kula posho hadi kesho. Na Mbowe
alitangaza kuwa hatochukua gari la kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani
lakini alichukua na anatanua nalo.

6. Walitangaza kuwa hawamtambui Mh. Kikwete kama rais lakini sote
tukiona jinsi Mbowe alivyokuwa anammwagia sifa rais Kikwete pale
alipotembelea HAI jimboni kwake. Na si ndo yeye aliyeongoza wenzake
"kwenda IKULU kwenda kukutana na rais Kikwete". Walinusa kaubaridi ka
pale "kwetu" huku wakifurahia na kujichekelea JUISI ya ukwaju.

7. Wanamtega na kupinga chini chini ili tu "mtu wao asije akakosa
nafasi ya kugombea urais, au isije akagombea tena uenyekiti". Si ndo
Zitto Kabwe "aliyeombwa" na akina mtei aondoe jina lake ktk
kinyang'anyiro cha uenyekiti ili "mkwe" wake apite bila kupingwa?

Je kwa haya machache unaweza kulazimika kuipenda CHADEMA? Kwa lipi jema?
Kupayuka kwenye majukwaa? Kuleta vurugu? Kuonesha ukanda na kugawa
kanda?

Nimeng'amua!!!

CHAGADEMAAAAAAA! hao ndio eti wanataka kutawala nchi! bora waumbuke!
 
mbona hii single inajirudia sana utadhani nyimbo za bob marley!
 
sio kweli muuaji wa Mwangosi amepelekwa mahakamani na kesi iko mahakamani.

Kuhusu EPA nao wamepelekwa mahakamani kaulize familia ya Maranda.

Sidhani KESI HAINA hata SIMANZI ni sawasawa na KESI ya SIBANDA Mmepefua JICHO Shame na Mnashindwa kushika MTU... this is a POLICE STATE... I'm HURT... Wakati wa NYERERE tulikuwa ONE Party State... watu walikuwa hawapotei na POLICE hawakuwa BIAS na ONE SIDED like this...

The best and most beautiful things in the world cannot be seen or even touched. They must be felt with the heart.
 
Chadema ni watu wa ajabu sana. Kwa wasioijua hebu tafakari!!

1. Wako tayari hata kuua ili waingie ikulu. Kumetokea vifo vingi vya vijana wetu wakiwa mikononi mwao au ktk mazingira ambayo yanatiliwa shaka kama walikuwa na dhamira ya dhati ya kuleta amani. Mfano mauaji ya kijana wa Morogoro ktk maandamano yao ilihali maandamano yalizuiwa., mauaji ya Chacha Wangwe ni mfano wa nyongeza.

2. Viongozi wa CHADEMA wameifanya CHADEMA kama SUCCOS yao. Mfano Dr. Slaa(babu) kukwapua viroba vya manoti na kujikopesha. Sidhani kama Chadema wamegeuza maudhui ya Chama chao kuwa SUCCOS.

3. Chadema imegeuka ni kama "vikundi vya kusaidiana". Kwa wasiojua vizuri kule uchagani kuna vikundi vya kusaidiana wakati wa shida ktk ukoo. Chadema wameamua kuigeuza Chadema kama KIKUNDI CHA KUSAIDIANA kwani hata "population ya wanachama, wabunge wa viti maalumu na wa kuchaguliwa" inatia shaka. Na wengine wameamua kuleta WAKE ZAO ili kusaidiana kula pesa ya chama.

4. Hakuna demokrasia ya kutosha. Chadema imekuwa na kawaida ya kufukuza wanachama wake pale "wakubwa" wanapohisi watu hao wanahatarisha amani na uhai wao wa ndani ya chama.

5. Chadema ni wanafiki. Walitangaza kuwa hawatopokea posho lakini wakaendelea na wanaendelea kupokea na kula posho hadi kesho. Na Mbowe alitangaza kuwa hatochukua gari la kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani lakini alichukua na anatanua nalo.

6. Walitangaza kuwa hawamtambui Mh. Kikwete kama rais lakini sote tukiona jinsi Mbowe alivyokuwa anammwagia sifa rais Kikwete pale alipotembelea HAI jimboni kwake. Na si ndo yeye aliyeongoza wenzake "kwenda IKULU kwenda kukutana na rais Kikwete". Walinusa kaubaridi ka pale "kwetu" huku wakifurahia na kujichekelea JUISI ya ukwaju.

7. Wanamtega na kupinga chini chini ili tu "mtu wao asije akakosa nafasi ya kugombea urais, au isije akagombea tena uenyekiti". Si ndo Zitto Kabwe "aliyeombwa" na akina mtei aondoe jina lake ktk kinyang'anyiro cha uenyekiti ili "mkwe" wake apite bila kupingwa?

Je kwa haya machache unaweza kulazimika kuipenda CHADEMA? Kwa lipi jema? Kupayuka kwenye majukwaa? Kuleta vurugu? Kuonesha ukanda na kugawa kanda?

Nimeng'amua!!!

Let me tell you something: am mature (wakati vita ya Kagera inatangazwa na Mwalimu nilikuwa darasa la sita na nilisikiliza hotuba yake live RTD), am reasonably educated by any standard not only in the 3rd world but in first world also) and am not partisan in any way. Lakini ulichoandika (na nenda ukawaambie waliokutuma - boss wenu mkubwa kabisa is related to me by marriage- kuwa) AMA NI MPUMBAVU AU A TURNCOAT PEKEE ANAEWEZA KUKUBALIANA NA UJINGA HUU UNAOFANYIKA NCHINI KWETU SASA!
 
La kuvunda halina ubani hili lilishavunda chadema ndo basi tena.
 
kumbe umejijua kuwa huna jipya? Unashabikia usichokijua wewe?
Langu jipya utaliona kichaa kikikuisha.,chizi huwaga hajui kama dawa anazopewa ndo tiba yake.,tulia ndoz toka Chadema ikiisha atakuwa umeshapona uchizi..
 
chris Lukosi, simjui zaidi ya kusoma post zake humu. Kajipange lete swali jingine
Uliulizwa swali ili ijulikane kama mmerithi magonjwa ya namna moja si vinginevyo!Basi Lukosi ni ndugu yako kifikra...Wakati watu wanaelekea mbele wewe warejea nyuma by deceleration....
Wapumbavu wengi wafikiri CHADEMA ni Mbowe na Slaa....
Pole sana!
 
Natamani nikutukane ya ndani ya nguo liwalo na liwe.
 
Back
Top Bottom