napenda niwarejeshe kipindi cha kampen tulimsikia Dr slaa akisema kuichagua ccm kuongoza nch ni maafa, nilijua maafa yatatokana na uchumi kuwa mbaya au gharama za maisha kupanda kama tunavyoona hivi sasa, yote hayo ni indirect way hili la gongo la mboto lipo direct zaidi, je Dr slaa alijua mabomu yatalipuka na kuwa maafa?
Jino kwa Jino, sikio la kufa halisikii dawa ndugu yangu, maafa tumeyataka wenyewe, tulipewa nafasi ya kuyaepuka hatukuitumia vizuri, tukadanganywa na fulana na kofia, tukaruhusu wakachakachua na hii leo tunajionea kwa macho.
Mungu zilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amina.