Kuirudisha CCM madarakani ni maafa ~ Dr Slaa

Kuirudisha CCM madarakani ni maafa ~ Dr Slaa

Afadhali sie ambao hatukuchagua sisiemu coz tulijua ni maafa tu, so akili zetu zilishajitune huko.., kazi kwao, kwanza hamjui kuwa hapa sisiem wanajiUNdo campaign? 2015 upinzani hautahitaji nguvu kubwa..!

Mkuu,

Uondoe kabisa wazo la kuwa upinzani hauhitaji nguvu kubwa 2015
Kama tume sio huru, pia kama matokea ya urais hayawezi kulalamikiwa mahakamani. Tusubiri bao jengine.


Pia CCM watakuja na mtu mwengine kuwahadaa WATZ kuwa ni mtu safi, si unakumbuka Mr. Clean? Na mtu wa mungu..Chaguo la mungu???
Tuwape elimu ya uraia wananchi na tudai katiba mpya iwepo kabla ya uchaguzi wa 2015.

Tokea 1995, CCM wanatufanyia uhuni. so do not under estimate CCM.
 
TumEjisaidia wenyewe kitandani kabla giza halijaingia sasa kiza kimeingia na umeme hakuna ni mda wa kulaLa kwenye kitanda kile kile
 
Mwalimu angekuja tena ee Mungu umemchukua wakati badooooooo we need him so badly, Utabiri wangu, wananchi watapambana na CCM na serikali yake. Reason maisha yatakuwa mgumu mnoooooo within 1yrView attachment 19381
 
Hata msipowachagua 2015 CCM watafanya mazingaombwe yao ya uizi wa kura na kuendelea kupeta ..so whats the point?

Sehemu kubwa ya haohao wananchi wenyewe kwanza ndio mzigo mkubwa sana kwa uoga wao, indecision na kutoona beyond their noses and mouths. Sasa wanamlaumu nani? majuto mjukuu.
 
Kikwete hakushinda katika uchaguzi mkuu period. Naamini wananchi wanajuta kuruhusu Kikwete na genge lake Usalama wa CCM na NEC kuiba KURA na haki ya MTANZANIA.
 
Wacha kwanza waipate fresh! Waliongoza kwa kuichagua CCM na sasa wanavuna walichopanda. Na safari za chako ni chako na NK zitapungua!
Safi...japo maumivu. Learn the hard way!

ni kweli ni vizuri kulearn th hard way labda wa tz tutabadilika, ila roho inauma wanaumia hata familia zetu ambazo zilikuwa na lengo thabiti kuleta mabadiliko kwa kuchagua upinzani. Umenifurahisha chako ni chako, pale nimesikiawabunge na mafisadi wadogo ndio wanajaa, so hapatapungua watu, si unajua wenyewe hawaumii?
 
tusijindanganye kusema kua upinzani hauhitaji kazi kubwa uchaguzi ujao, msiwasahau watanganyika ni wepesi wa kusamehe,kusahau na kuzoea shida. Watanganyika wanapenda amani kuliko haki zao. Yatupasa kuwaelimisha vya kutosha bila kusahau swala la mgombea binafsi na katiba mpya.

good B.Lee, nakubaliana na ww, tusijifariji hata kdg ccm ni wajanja wa kucheza na umasikini wa mawazo na fikra za watanzania, so tusiache vugu vugu la mabadiliko daima bila kukoma. Lazima tukomae katiba mpya na kuelimisha hawa raia wanaodhani ccm ni amani, wkt in reality ccm=matatizo kwao. Naumia sana jinsi wanavyorubuniwa kwenye kampeni na hawa majibaba, tukaze buti.
 
Acha wafe c waliichamua wenyewe,naombea hali iwe ngum wakome kuchagua vyama maneno co vtendo

mmh! Naona huna mapenzi mema na watz wenzio.
Sio wakati wa kuwablame kwa walichokifanya.
 
Ni Kama vile Kuishi na Mke/MUME wa kulazimishwa, ndivyo tunavyoishi na CCM. hatukuichagua lkn NEC wametulazimisha kuishi nayooo. CCM ya MKWERE bureee kabisaaaaa
 
asante dada Husninyo, kumbe dodoma ni bomba kiasi hiki, sikujua. leo nilibahatika kutembea baadhi ya maeneo kama kule Udom, ni kuzuri kwa kweli, ila nakasirika ugumu wa maisha unavyozidi kutuandama. naamini ukombozi umekaribia. nipo hapa Savana hotel.

ni pazuri sana kwakweli.
Jua kali lakini hakuna joto kama dar. Mi naona
Ukombozi wa kweli unahitaji sacrifice na sio kujisacrify kwa ajili yako mwenyewe bali kwa ajili ya wengine.
Naona wengi hawaliwezi hilo na tunaishia kulalamika tena kwa uoga.

Naona watz wengi tunasubiri miujiza kama ni hivyo imani yetu iwe kubwa kwenye hilo otherwise let us take actions.
 
kwa jinsi ilivyo...mambo ya tume huru na katiba tutayeyushwa mpaka beyond 2015..............tutaambiwa ipo kwenye mchakato but am sure tutatumia katiba hii ya sasa mpaka tutakoma....!!!
 
Hata msipowachagua 2015 CCM watafanya mazingaombwe yao ya uizi wa kura na kuendelea kupeta ..so whats the point?

Sehemu kubwa ya haohao wananchi wenyewe kwanza ndio mzigo mkubwa sana kwa uoga wao, indecision na kutoona beyond their noses and mouths. Sasa wanamlaumu nani? majuto mjukuu.

Liked this
 
Wananchi sote tuelimishane popote pale tulipo ili tusije tukayarudia haya maafa makubwa tena kwa jina la CCM.
 
napenda niwarejeshe kipindi cha kampen tulimsikia Dr slaa akisema kuichagua ccm kuongoza nch ni maafa, nilijua maafa yatatokana na uchumi kuwa mbaya au gharama za maisha kupanda kama tunavyoona hivi sasa, yote hayo ni indirect way hili la gongo la mboto lipo direct zaidi, je Dr slaa alijua mabomu yatalipuka na kuwa maafa?
 
napenda niwarejeshe kipindi cha kampen tulimsikia Dr slaa akisema kuichagua ccm kuongoza nch ni maafa, nilijua maafa yatatokana na uchumi kuwa mbaya au gharama za maisha kupanda kama tunavyoona hivi sasa, yote hayo ni indirect way hili la gongo la mboto lipo direct zaidi, je Dr slaa alijua mabomu yatalipuka na kuwa maafa?
 
Back
Top Bottom