Chief Rumanyika
Senior Member
- Dec 29, 2010
- 138
- 0
Na wasikitike vizuri sana.
Walipokua wanaambiwa na vyama vyote vya upinzani kwamba CCM ya leo sio ile ya akina Philip Mangula kurudi kule nyuma wakawa hawataki kusikia. Chama cha siasa ukiona kinawaundia njama watu waadilifu wote washindwe ama kwenye uteuzi au uchaguzi, ndugu usisubiri sana kuambiwa kitakachofuatia.
Nafuu wanajuta sasa hivi wakati hali yenyewe mbaya bado haijachangaya vizuri. Wafadhili nao wamepata darasa tangu wapelekewe bajeti iliochakachuliwa, wananchi tunalia na Mzee Makame kwa uchaguzi uliochakachuliwa.
Laiti wananchi wa Tanzania wangejuu ni bilioni ngapi zilizotoroshwa nchini kipindi kifupi kabla ya kupiga kura mpaka dhamani ya shilingi ya nchi yetu ikapata kuweweseka!!!!!!!!!!!!!!
Kuanzia kwakani gharama ya maisha ni kama kaa la moto na majani makavu, wananchi tujiaandae nayo mtu asije akasema hakupewa onyo.
Walipokua wanaambiwa na vyama vyote vya upinzani kwamba CCM ya leo sio ile ya akina Philip Mangula kurudi kule nyuma wakawa hawataki kusikia. Chama cha siasa ukiona kinawaundia njama watu waadilifu wote washindwe ama kwenye uteuzi au uchaguzi, ndugu usisubiri sana kuambiwa kitakachofuatia.
Nafuu wanajuta sasa hivi wakati hali yenyewe mbaya bado haijachangaya vizuri. Wafadhili nao wamepata darasa tangu wapelekewe bajeti iliochakachuliwa, wananchi tunalia na Mzee Makame kwa uchaguzi uliochakachuliwa.
Laiti wananchi wa Tanzania wangejuu ni bilioni ngapi zilizotoroshwa nchini kipindi kifupi kabla ya kupiga kura mpaka dhamani ya shilingi ya nchi yetu ikapata kuweweseka!!!!!!!!!!!!!!
Kuanzia kwakani gharama ya maisha ni kama kaa la moto na majani makavu, wananchi tujiaandae nayo mtu asije akasema hakupewa onyo.