Ni kweli angekuwa hai leo hii angewaona vijana wote malimbukeni wasiasa kutoka chadema ni mazuzuBaba wa Taifa alikuwa anawaita watu kama wewe "Mazuzu"
Samahani japo mie sio miongoni wa wanaopaka matope CCM, ila si mpenzi wa la mshabiki wao.
Tafadhali rekebisha phrasing ya sentensi yako kwamba hiki chama ndio kile alichokianzisha Nyerere, si kweli, kile chama kilikufa na azimio za Zanzibar. mara tu baada wao wenyewe kushika hatamu.
Mimi kama mtanzania kwa kumuenzi nyerere, nataka hiki chama kife, ili tuanzishe kingine kikiwa na sera za mwalimu wetu mpendwa.
Kwa taarifa yako wenye kupinga CCM wengi hawako JF, wako mtaani huko, kila siku wanatuma laana, na kwa uhakika zitawafikia hao wanaodhani kuwa ile rangi na picha na historia ndio kumuenzi nyerere. Kumuenzi nyerere ni kwa vitendo vya kupigania haki ya wanyonge.
wakulima na wafanyakazi.
angalia migomo ya wafanyakazi walimu na madaktari, ndio utajua jinsi chama cha CCm kinavyoenzi wafanyakazi.
Angalia wanavyorithishana uongozi, hata kwa watoto wao wasioelewa kuwa mtanzania nini kwani wamesomea nje, wamekulia nje.
Kama ni laana inawapata walio bado ndani na washabiki wa CCM,
Sijui wanajisikiaje wanavoiangalia ile bendera, wanavyoipeperusha huwa akilini mwao wanawaza nini??
Huwa nashangaa sana,
Kitendo cha Watanzania walio wachache hasa watumiaji wa JF kukipinga na kukipaka matope chama Tawala CCM ni sawa kabisa na kumpinga Baba wa Taifa mareheme Nyerere na Sera zake kwani ndio mwanzilishi wa chama cha mapinduzi. Hivyo vijana mnaokimbilia kukiponda na kukipaka matope chama cha mapinduzi mnatakiwa kuacha kufanya hivyo ili kujiepusha na laana mbalimbali ambazo zinaweza kuwapata.
Kuanzia sasa tujiunge pamoja kukiunga mkono chama cha watanzania wote CCM ili kiendelee kutawala Tanzania kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho.
Mtanzania wachunguze mara mbili wanaokushawishi uichukie CCM kwani 100% wamerukwa na akili
CCM imesomesha wazazi wako, imekusomesha wewe na bado inaendelea kukusomeshea watoto wako na wajukuu; Daima CCM kitabaki kuwa chama Tawala Tanzania mckubali kuburuzwa Watanzania na Wanyang'anyi Chadema
Kitendo cha Watanzania walio wachache hasa watumiaji wa JF kukipinga na kukipaka matope chama Tawala CCM ni sawa kabisa na kumpinga Baba wa Taifa mareheme Nyerere na Sera zake kwani ndio mwanzilishi wa chama cha mapinduzi. Hivyo vijana mnaokimbilia kukiponda na kukipaka matope chama cha mapinduzi mnatakiwa kuacha kufanya hivyo ili kujiepusha na laana mbalimbali ambazo zinaweza kuwapata.
Kuanzia sasa tujiunge pamoja kukiunga mkono chama cha watanzania wote CCM ili kiendelee kutawala Tanzania kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho.
Mtanzania wachunguze mara mbili wanaokushawishi uichukie CCM kwani 100% wamerukwa na akili
CCM imesomesha wazazi wako, imekusomesha wewe na bado inaendelea kukusomeshea watoto wako na wajukuu; Daima CCM kitabaki kuwa chama Tawala Tanzania mckubali kuburuzwa Watanzania na Wanyang'anyi Chadema
Ni kweli angekuwa hai leo hii angewaona vijana wote malimbukeni wasiasa kutoka chadema ni mazuzu
Huu kweli ni ufinyu wa fikra, mimi nina Baba na Mama'ngu- wazazi wangu wamesomeshwa na kodi zao na jasho la mababu zetu kama sio jasho lao wenyewe.Is true
kujua kusoma na kuandika siyo kigezo cha kwamba uandike chochote toka kichwani kwako ktk jukwaa letu la siasa. Siku nyingine litendee haki jukwaa letu,usituletee stori za kitoto hapa!Ukitaka kuona viongozi na wanachama wa Chadema ni mambumbu tafakari kauli zao tu hatumtambui JK kama Rais wa TZ mara Mbowe na Slaa wake wanamtambua na kwenye hutuba zao wanapiga magoti kumuomba Rais awasaidie shida zao. refer hutuba ya mbowe arumeru juzi kama mtaja Rais kikwete kama Rais wake na Tanzania zaidi ya mara 6 kazi ni kwenu mlioijua chadema kupitia JF
Walowezi na wachimba madini wapo toka enzi za mkoloni na mwalimu
Propaganda za Chadema zimewapumbaza kuona CCM ina Mafisadi
Mwalimu Nyerere alikufa akiwa mwana CCM na atakumbukwa daima kama muasisi wa Taifa hili na Chama Tawala CCMKweli nimeamini wanachama, wapenzi na mashabiki wa chadema wamerukwa na akili
Kitendo cha Watanzania walio wachache hasa watumiaji wa JF kukipinga na kukipaka matope chama Tawala CCM ni sawa kabisa na kumpinga Baba wa Taifa mareheme Nyerere na Sera zake kwani ndio mwanzilishi wa chama cha mapinduzi. Hivyo vijana mnaokimbilia kukiponda na kukipaka matope chama cha mapinduzi mnatakiwa kuacha kufanya hivyo ili kujiepusha na laana mbalimbali ambazo zinaweza kuwapata.
Kuanzia sasa tujiunge pamoja kukiunga mkono chama cha watanzania wote CCM ili kiendelee kutawala Tanzania kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho.
Mtanzania wachunguze mara mbili wanaokushawishi uichukie CCM kwani 100% wamerukwa na akili
CCM imesomesha wazazi wako, imekusomesha wewe na bado inaendelea kukusomeshea watoto wako na wajukuu; Daima CCM kitabaki kuwa chama Tawala Tanzania mckubali kuburuzwa Watanzania na Wanyang'anyi Chadema
baba wa taifa wenyewe kabla ya kufa alishaanza kukiponda na kukichukia chama cha mapinduzi katika hotuba zake utamsikia. angalikuwa hai no wonder angehamia ..............Kitendo cha Watanzania walio wachache hasa watumiaji wa JF kukipinga na kukipaka matope chama Tawala CCM ni sawa kabisa na kumpinga Baba wa Taifa mareheme Nyerere na Sera zake kwani ndio mwanzilishi wa chama cha mapinduzi. Hivyo vijana mnaokimbilia kukiponda na kukipaka matope chama cha mapinduzi mnatakiwa kuacha kufanya hivyo ili kujiepusha na laana mbalimbali ambazo zinaweza kuwapata.
Kuanzia sasa tujiunge pamoja kukiunga mkono chama cha watanzania wote CCM ili kiendelee kutawala Tanzania kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho.
Mtanzania wachunguze mara mbili wanaokushawishi uichukie CCM kwani 100% wamerukwa na akili
CCM imesomesha wazazi wako, imekusomesha wewe na bado inaendelea kukusomeshea watoto wako na wajukuu; Daima CCM kitabaki kuwa chama Tawala Tanzania mckubali kuburuzwa Watanzania na Wanyang'anyi Chadema