Kuileta Madrid Bongo ni kituko

VIDEO - Barcelona Yafanya Mauaji, Yaigaragaza Real Madrid 6-2
1900046.jpg

Thiery Henry akiifungia Barcelona goli la kwanza Sunday, May 03, 2009 4:48 AM
Barcelona imewafundisha soka watani wao wa jadi Real Madrid kwa kuwabugiza magoli 6-2 katika mechi ya ligi ya Hispania iliyochezwa kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu na kuweka historia mpya kwenye uwanja huo. VIDEO ya magoli yote ya mechi hiyo na matukio muhimu mwisho wa habari hii. Real Madrid haijawahi kufungwa magoli sita katika uwanja wake huo na timu yoyote katika ligi ya Hispania kwa miaka 58 sasa.

Barcelona imezidi kujiweka katika hali nzuri ya kutangazwa mabingwa wa Hispania wiki ijayo itakaposhuka dimbani kwenye uwanja wa Nou Camp baada ya kujikita kileleni kwa tofauti ya pointi saba na wanaowafuatia.

Madriad ndio waliotangukia kufungua mlango wa magoli katika mechi hiyo kwa goli safi la kichwa lililofungwa na Gonzalo Higuain katika dakika 13.

Goli hilo lilikuwa kama Real Madrid wamechokoza nyuki kwani mvua ya magoli ilianza kuwanyeshea kwa Thierry Henry kuisawazishia Barcelona dakika nne baadae kabla ya nahodha wa Barcelona Carles Puyol kuongeza goli la pili dakika tatu baadae.

Lionel Messi alizidi kuwanyamazisha wenyeji kwa kuongeza goli la tatu katika dakika ya 35 na kuifanya Barcelona iende mapumziko ikiwa mbele kwa goli 3-1.

Kipindi cha pili Madrid walikuja na nguvu mpya na kufanikiwa kufunga goli lao la pili katika dakika ya 55 kupitia kwa Ramos.

Goli hilo lilisababisha mvua ya magoli ianze tena kwa Thiery Henry tena kuifungia Barca goli la nne dakika mbili tu baada ya goli la Madrid.

Katika dakika ya 75, Messi alifunga goli lake la pili katika usiku wa leo na la tano kwa Barca baada ya kugongeana pasi za nguvu na xavi na kumalizia kwa goli kali la kiufundi.

Gerard Pique alihitimisha shughuli ya Barcelona kwenye uwanja wa Bernabeu kwa kuifungia Barcelona goli la sita dakika ya 83 baada ya kudondoshewa krosi safi na Samuel Eto'o.
 
Ni kweli kwamba toka UEFA Champions League ianze mwaka 1992, hakuna tmu iliyofanikiwa kuchukua mfululizo. Ikumbukwe kwamba UEFA Champions League imeanza mwaka 1992. Kabla ya hapo ilikuwa ikijulinana kama European Cup,wakati huo Nyerere akiwa kiongozi wa TANU,CCM mpaka vyama vingi vilipoanza.
 
Wayemeni,
Hivi hii movie iliishia wapi? au stering alikufa nini? kwi kwi kwi kwi, Long live JK
 
Ferguson's dismal night made worse as Ronaldo leaves future in doubt

• Manchester United manager says Barcelona were too


Daniel Taylor in Rome
The Guardian, Thursday 28 May 2009


Sir Alex Ferguson admitted his Manchester United team had been outplayed and condemned their "shoddy" defending on a night which ended with Cristiano Ronaldo reigniting fears over his future.

"We were well beaten, the better team won and there's nothing we can do about it now," said Ferguson. "There's a dis*appointment in the performance, some *individuals will feel it themselves when they look at how they played."

The United manager bemoaned his team's lack of possession, compounded by their poor use of the ball when they did get hold of it. "With the players we have, I would have expected better. You have to give credit to a very good Barcelona team because if they get in front they can make it very *difficult for you to get the ball back. But it's difficult to put your finger on it. When we did get possession we didn't do enough with it.

"The disappointment is that we had to wait several minutes to get the ball off them but then, when we did get it, we didn't use it well enough. It was an off night. We found the mountain too big to climb after going a goal down. We knew before the game what a good football team they are and, after the first goal, they just kept possession. They have to be the best at what they do and it's credit to them that they play with that philosophy. They all want to play, they all want to take the ball – it was too much for us."

However, Ronaldo said the defeat was in part down to Ferguson's tactics. "We had 10 [good] minutes and then we never found ourselves again," he said. "The tactics were not good and everything went wrong." The forward also left his future open to doubt. Asked whether he would be at Old Trafford next season, he replied: "I don't know."

Ferguson was particularly disappointed about the manner in which Nemanja Vidic had allowed Samuel Eto'o to get past him for the opening goal. "Our whole season has been built on our defensive strength but they were very shoddy goals," said the United manager. "It has to be said that it was shoddy defending, particularly the first goal, which gave them a great boost.

"That goal was a killer for us. It was their first attack and it was a bad start for us. We had been confident and bright at the start but we got nervous after the goal. We had plenty of time to recover and had some half-chances in the second half but the crosses were disappointing. We weren't at our best. We didn't plan to concede that early but it's a fact and we didn't deal with it well enough. That's the story."
 
Nadhani Ronaldo atakuwa so down that ata consider option ya kuhama na kupata inspiration mpya akiwa na timu nyingine kama Real Madrid (RM). Real Madrid ni nzuri lakini si nzuri kuifikia Barcelona na hivyo kushika nafasi ya pili. Japo nafasi ya pili huwa ni position nzuri ya kuheshimika, kwa timu kama RM kutokuwa wa kwanza ni upungufu mkubwa. Hii inaweza kumpa changamoto Ronaldo kujiunga nao na kuwania nafasi ya kwanza. Wakiipata nafasi hiyo, Ronaldo atajisikia vizuri kuwa mkombozi wa RM.
 
HAYA!naona kumekucha santiago beranabeu, Perez ameanza kunguruma sasa. Hebu soma hii:

kaka_AFP205.jpg


CHELSEA failed with a spectacular bid to land Kaka last night, as the Brazilian joined Real Madrid for a world record £62million.

New Blues boss Carlo Ancelotti tried desperately to bring Kaka with him from AC Milan to Stamford Bridge.

But he was powerless to stop new Real president Florentino Perez sealing the deal.

As SunSport exclusively revealed, Chelsea will now go all out for Milan striker Alexandre Pato - though an initial £30m offer has been rejected.

Perez staged his Kaka coup after intense talks with Milan vice-president Adriano Galliani.

A Chelsea source confirmed: "Mr Ancelotti tried very, very hard to get Kaka to begin the new era at the club.

"But in the end Real Madrid had more money to spend. Now Chelsea are even more determined to get Pato."

Kaka's dad Bosco Leite helped the player thrash out personal terms.

The negotiations took place a day after Perez was confirmed as Real president after all rival candidates quit the race.

Kaka, 27, had tried to deny a deal was on, insisting he wanted to stay at the San Siro.

The Samba superstar was on his way back to Brazil to join up with the national team while his dad was negotiating a deal believed to be worth £160,000 a week with the Spaniards.

Kaka's £62m move will eclipse the £47m Perez paid Juventus for Zinedine Zidane in 2001.

Milan are still open to offers for striker Pato - as long as Chelsea now increase their £30m opening
 
Hahaaaa! Man city chali tena?.....na Abramovich kashindwa kumpiku Perez?..hahaa...!

Vijana wanauzwa kama mapande ya nyama hakianani!
 
The question is:

Is Kaka worth all that monies? Personally I do not think so!

Yes I'm pro Zizu - at a time he landed at SB at a cost of £47m, he surely was worth that... But not Kaka!
 
YES OF COURSE!the most expensive player currently worth even more than 62m paunds.

c.ronaldo and ribery worth over 75m paunds


Ribery is overrated. Ron i can agree.

Kaka ana kiwango kizuri na staili ya futbol ya Spain nadhani itampenda. Kuhusu hizo faranga sijui mazee, huwa naona kama ni kiinimacho na siasa inakuwapo.
 
Ribbery ni mashine mkubwa sema anacheza timu yenye wachezaji wabovu
 
RIBERY IS THE BEST WINGER!than ron.i may explain this in detail if you want me to

Mazee patachimbika hapa. Sasa bro naona unataka wazee wa Man U wamalizie hasira za kufungwa na Barca. :D.

BTW, both are good players, uchaguzi wa nani bora huwa tunaangalia vigezo. Kimojawapo muhimu kabisa kikiwa kuleta vikombe. Haya lete maoni yako.
 
..Sasa bro naona unataka wazee wa Man U wamalizie hasira za kufungwa na Barca. :D..
uzuri mimi ni 'mnazi mkubwa' wa man utd,na hayo machungu ninayo.but when it comes to professional capabilities za mawinga,nachelea kusema kwamba RIBBERY yupo juu.ribbery akienda premial anaweza kucheza kwasababu ana PHYSIC inayoruhusu,lakin ron akienda bundesliga SIDHANI KAMA ATAFURUKUTA.ile ligi ni ngumu kaka.kama unawafahamu kina lukas poldesky,ale ni mastaa kule wanacheza na benchi tu.
 
Mazee patachimbika hapa. Sasa bro naona unataka wazee wa Man U wamalizie hasira za kufungwa na Barca. :D.

BTW, both are good players, uchaguzi wa nani bora huwa tunaangalia vigezo. Kimojawapo muhimu kabisa kikiwa kuleta vikombe. Haya lete maoni yako.
Ribbery inabidi ahame msimu huu ili aweze kudhibitisha uwezo wake ,Ronaldo anasaidiwa na kina Rooney,Giggs,Carick inafikia timu Rooney anacheza winga wakati yeye ni Striker anampisha Ronaldo,hata MESSI ambaye kwa sasa yuko HOT anabebwa na kina INIESTA na XAVI but Ribbery yeye ndio anaibeba Bayern hata Luca Toni anafunga magoli kutokana na assist za Riberry
 
belo,kaka2002,maisha,mduduwashawasha,rito,na watu NAWASHUKURU SANA KWA KUBALIANA NA UKWELI KWAMBA RIBBERY NI MASHINE!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom