Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Nilijua MADRID lazima wapewe dozi at the moment Barca wako hot na wanapewa nafasi ya kufanya kama MANU last season
 
Wakome Kufukuza fukuza Makocha nao.....Barca this season hope watafika fainali ya CL, naona wame-seatle internal wrangles kama za Last Season.
 
madrid walianza mechi kusema kweli wakiwa na one mission tu nayo ilikua kumvunja messi or kumfanya asicheze mpira wake wa kawaida maana ilikua ni kiatu kwa kwenda mbele akiwa na mpira!

think dis season madrid hata nafasi ya 3 wasipoangalia hawatapata!
 
niliangalia mechi hiyo usiku wa mamane na Barca walitawala mpira na niwape sifa madrid kwa kujilinda vizuri kwa kipindi chote cha mchezo. Ball possession was 72% kwa Barca. viva Barca !
 
Naona Etoo kama kawaida, anawatia goli real madrid. I think wanajuta sana walichomfanyia...
 
madrid walianza mechi kusema kweli wakiwa na one mission tu nayo ilikua kumvunja messi or kumfanya asicheze mpira wake wa kawaida maana ilikua ni kiatu kwa kwenda mbele akiwa na mpira!

think dis season madrid hata nafasi ya 3 wasipoangalia hawatapata!

Niliiona hiyo mechi na unachosema ni kweli kabisa. Barcelona sasa hivi ni wakali sana kama hawatakuwa na majeruhi basi watakuwa mabingwa katika mashindani yote wanayoshiriki.
 
Kikwete kuileta Real Madrid

03 Oct 2006
By Mwandishi Wetu

Timu maarufu ya Real Madrid ya Hispania inayoshiriki Ligi Kuu ya nchi hiyo (Primera Liga), itatembelea Tanzania Julai mwakani, Rais Jakaya Mrisho Kikwete alisema jana.

Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jana Ikulu jijini Dar es Salaam, Kikwete alisema kuwa awali timu hiyo ilitakiwa kuja kufungua uwanja mpya wa michezo utakaofunguliwa mapema mwakani, lakini hawatakuja wakati huo kutokana na kubanwa na mashindano ya ligi na ile ya kimataifa.

Kikwete ambaye alirejea nchini mwishoni mwa wiki akitokea Marekani, alisema kuwa alitembelea Makao Makuu ya Real Madrid wakati walipokuwa wakisubiri kuunganisha ndenge na alipokewa na Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo, Sanchez.

Alisema kuwa makusudio yake yalikuwa kuialika Real Madrid kuja nchini katika ufunguzi wa uwanja mpya wa michezo utakaofanyika Februari au Machi mwakani, lakini licha ya kuupokea mwaliko huo kwa furaha hawataweza kuja kwa kuwa wakati huo watakuwa katika mashindano.

Hata hivyo, uongozi wa Real Madrid umesema kuwa unaweza kuileta timu hiyo Julai au Desemba wakati wakiwa mapumzikoni, ambapo wangependa kuja wakati hali ya hewa ikiwa ya baridi, hivyo Julai ndio mwezi unaofaa.

Rais Kikwete alisema ili kuhakikisha Real Madrid wanakanyaga ardhi ya Tanzania, amekubali sharti la timu hiyo la kutafuta wadhamini wa safari hiyo.

``Jambo la pili walilosema ni kuwa tutafute wadhamini wa safari hiyo. Nimekubali kufanya hivyo, `` alisema Rais katika taarifa yake hiyo iliyozungumzia mambo mbalimbali.

* SOURCE: Nipashe

Jamani, Mnakumbuka hizi njozi za 2006????? SOMETIMES UKISOMA THREADS ZA ZAMANI UNACHANGANYIKIWA KABISA

WE WERE SOOOOOOOOOO MOVED WITH SUCH A VISIT
 
It is that every year since Real Madrid won the Champions League in 2002, the team that knocked them out has fallen to the eventual winners of the Champions League.
2003 Juventus beat Real (semi final), AC Milan beat Juventus in the final
2004 Monaco beat Real (Quarter final), Porto Beat Monaco
2005 Juventus beat Real (round of 16), Liverpool beat Juve
2006 Arsenal beat Real (round of 16), Barcelona beat Arsenal
2007 B Munich beat Real (round of 16), AC Milan beat Bayern
2008 Roma beat Real (round of 16), Man utd beat Roma
2009 Liverpool beat Real (round of 16)...........Nani atamfunga Liver?.............................
 
Neo-nostradamus una maana Liverpool atamfunga Chelsea 3 - 0 alafu atamtoa Barcelona ili aingie fainali na kufungwa na Arsenal?
 
Neo-nostradamus una maana Liverpool atamfunga Chelsea 3 - 0 alafu atamtoa Barcelona ili aingie fainali na kufungwa na Arsenal?

Kama umesoma vizuri na umeelewa ni kwamba Liver itabidi apigwe na Chelsea,na Chelsea ndiye bingwa wa msimu huu Champion League.pole sana nimeshakushtukia wewe ni mshabiki wa Liverpool.Hatutawafunga nyingi sana next week,tutawapiga 2-1 tu.
 
Kama umesoma vizuri na umeelewa ni kwamba Liver itabidi apigwe na Chelsea,na Chelsea ndiye bingwa wa msimu huu Champion League.pole sana nimeshakushtukia wewe ni mshabiki wa Liverpool.Hatutawafunga nyingi sana next week,tutawapiga 2-1 tu.

Mkuu mimi sio shabiki wa Pool. Blues hamna ubavu wa kuwafunga Barca. Bingwa anajulikana na sio Man U.
 
Mkuu mimi sifungamani na upande wowote but never say never in football..Ulijua kwamba Liverpool watafungwa tatu ndani ya Anfield?: and for your record ujue kwamba huwa Chelsea na Barca wana historia ndefu kwahiyo incase chelsea will go through (manake Liverpool still stand a chance though it is very very slim) anything can happen. Na ukifuatilia pia uzoefu wa Guus Hiddink relatively to ya Gadiola utaona upepe mwaka huu unaelekea wapi
 
Hili kombe kama hujawahi kulichukua huko nyuma sahau (Arsenal na Chelsea) mtakuwa wasindikizaji tu
 
Hili kombe kama hujawahi kulichukua huko nyuma sahau (Arsenal na Chelsea) mtakuwa wasindikizaji tu

Mkuu umeanza lini kazi ya Shekhe Yahaya? Kila kitu huwa na mwanzo!
 
Hili kombe kama hujawahi kulichukua huko nyuma sahau (Arsenal na Chelsea) mtakuwa wasindikizaji tu

Kwani hao Barca na Liver au B.Munich walianzaje,naona na wewe ni walewale mashetani wekundu mnajipa moyo.kila kitu kina mwanzo wake.Vile vile kumbuka hili kombe huwa hachukui mtu mfululizo.J4 sio mbali tutapata majibu ya nani zaidi.
 
Kwani hao Barca na Liver au B.Munich walianzaje,naona na wewe ni walewale mashetani wekundu mnajipa moyo.kila kitu kina mwanzo wake.Vile vile kumbuka hili kombe huwa hachukui mtu mfululizo.J4 sio mbali tutapata majibu ya nani zaidi.

Unauhakika na ulichokisema hapo?? ebu pitia Baadhi ya record za nyumba upate kuwajuwa mabingwa

1955-56 Real Madrid
1956-57 Real Madrid
1957-58 Real Madrid
1958-59 Real Madrid
1959-60 Real Madrid
1960-61 Benfica
1961-62 Benfica
1962-63 Milan
1963-64 Internazionale
1964-65 Internazionale
1965-66 Real Madrid
1966-67 Celtic
1967-68 Manchester U
1968-69 Milan
1969-70 Feyenoord
1970-71 Ajax
1971-72 Ajax
1972-73 Ajax
1973-74 Bayern Munich
1974-75 Bayern Munich
1975-76 Bayern Munich
1976-77 Liverpool
1977-78 Liverpool
1978-79 Nottingham F
1979-80 Nottingham F
1980-81 Liverpool
1981-82 Aston Villa
1982-83 Hamburg
1983-84 Liverpool
1984-85 Juventus
1985-86 Steaua Buch.
1986-87 Porto
1987-88 PSV E'hoven
1988-89 Milan
1989-90 Milan
1990-91 Red Star B.
1991-92 Barcelona
1992-93 Marseille
1993-94 Milan
1994-95 Ajax
1995-96 Juventus
1996-97 B. Dortmund
1997-98 Real Madrid
1998-99 Manchester U
1999-00 Real Madrid
2000-01 Bayern Munich
2001-02 Real Madrid
2002-03 Milan
2003-04 Porto
2004-05 Liverpool
2005-06 Barcelona
2006-07 Milan
2007-08 Manchester U
-------
 
Mkuu mimi sio shabiki wa Pool. Blues hamna ubavu wa kuwafunga Barca. Bingwa anajulikana na sio Man U.

Maneno mengi ya nini bwana ww sema MIMI NI MNAZI NUMERO UNO WA GOONERS! au sio Compa🙄
 
Unauhakika na ulichokisema hapo?? ebu pitia Baadhi ya record za nyumba upate kuwajuwa mabingwa

Nina uhakika sana!labda umesahau haya mashindano yameanza kuitwa uefa champion league lini,miaka hiyo yalikuwa hayaitwi jina hili la sasa.
 
Nina uhakika sana!labda umesahau haya mashindano yameanza kuitwa uefa champion league lini,miaka hiyo yalikuwa hayaitwi jina hili la sasa.

yea kwa mantiki hiyo upo sawa..nilidhani unazungumzia toka uanzishwaji wake wa European cup zos days
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom