Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Ronaldo kalingana na marehemu mkongwe de stefanio kuwa ni mchezaji mwenye hatrick nyingi kwenye historia ya la liga, mpaka sasa ana hatrick 26. halla madrid. club nimekua nayo hii tangu enzi za akina rendondo, roberto carlos, salgado, fernando hiero, guti, karembeu, rud vanestrooy, raul gonzalez na wengine kibao aisee madrid huwa hawaniangushi hata wakifungwa huwa wanapambana kiume sio vitimu vya ajabu ajabu sijui arsenal nyambafu.

pig man, umeona walivyotufanyia lakini. Thread yetu wameiunganisha hapa, matokeo yake itasahaulika kabisa kwasababu hii imekaa kivingine kabisa. Tuwaambie mods watuachie special thread yetu kama timu nyingine, hii imeanza kuoengelea habari za ujio wa Real Madrid bongo. Sio haki kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom