ijulikane kwamba hakuna mtanzania asiyependa maendeleo ya michezo lakini kwa hili la Real Madrid siliiungi mkono hata chembe. sababu ziko nyingi lakini moja tu ya kiuchumi na kushuka kwa thamani ya sarafu yetu nitaiweka wazi.
real Madrid ni timu kubwa yenye wachezaji wa ghalama kubwa na wenye kuhitaji ulinzi mkubwa na kubwa zaidi wanaoishi maisha ya kitajiri sana. mshahara tuchukulie wa mchezaji mmoja david Beckham ni pound 120,000/= kwa wiki thamani ya paundi hizo ni shilingi za kibongo milioni mia mbili na arobaini (240,000,000/=) sasa huyo ni mchezaji mmoja je unaweza kufikiria ghalama ya kawaida sana ya kuishi hapa bongo kwa bekham itakuwa sh ngapi kwa siku? haipungui milioni saba(7,000,000) sasa waje wachezaji labda 18 viongozi jumla 7 kwa ujumla wao wawe 25 pamoja na rais wa timu yao na kisha wakae siku mbili utaweza kufikiria thamani ya shilingi yetu itashuka kwa kiasi gani kwa maana dola zitatafutwa ili kuwakimu hawa jamaa na hapo hapo kumbuka hawaji kutumia dawa za huku, maji ya huku, oh pipi za huku vyote wanakuja navy hivyo hatutafaidi kwa kuwauzia hata pipi tu je safari hiyo ina manufaa gani kwa Tanzania.
ningeshauri serikali iombe uwanja uzinduliwe katika miongoni mwa mechi za AFCAN ili kufikia malengo yetu kiuchumi. tupange mambo yetu ikifika wakati tuwataarifu CAF kwamba mechi moja sema ya SENEGAL itafanyikia uwanja mpya.
mie ninavyoona Rais akae aangalie jinsi ya kujenga uchumi na si kuangalia Taifa Stars (sisemi aiache lahasha) tu.
MUNGU ibariki TANZANIA
real Madrid ni timu kubwa yenye wachezaji wa ghalama kubwa na wenye kuhitaji ulinzi mkubwa na kubwa zaidi wanaoishi maisha ya kitajiri sana. mshahara tuchukulie wa mchezaji mmoja david Beckham ni pound 120,000/= kwa wiki thamani ya paundi hizo ni shilingi za kibongo milioni mia mbili na arobaini (240,000,000/=) sasa huyo ni mchezaji mmoja je unaweza kufikiria ghalama ya kawaida sana ya kuishi hapa bongo kwa bekham itakuwa sh ngapi kwa siku? haipungui milioni saba(7,000,000) sasa waje wachezaji labda 18 viongozi jumla 7 kwa ujumla wao wawe 25 pamoja na rais wa timu yao na kisha wakae siku mbili utaweza kufikiria thamani ya shilingi yetu itashuka kwa kiasi gani kwa maana dola zitatafutwa ili kuwakimu hawa jamaa na hapo hapo kumbuka hawaji kutumia dawa za huku, maji ya huku, oh pipi za huku vyote wanakuja navy hivyo hatutafaidi kwa kuwauzia hata pipi tu je safari hiyo ina manufaa gani kwa Tanzania.
ningeshauri serikali iombe uwanja uzinduliwe katika miongoni mwa mechi za AFCAN ili kufikia malengo yetu kiuchumi. tupange mambo yetu ikifika wakati tuwataarifu CAF kwamba mechi moja sema ya SENEGAL itafanyikia uwanja mpya.
mie ninavyoona Rais akae aangalie jinsi ya kujenga uchumi na si kuangalia Taifa Stars (sisemi aiache lahasha) tu.
MUNGU ibariki TANZANIA