Kuichoma moto mitambo ya Dowans

Mkuu, ni kula nao meza moja in a sense ya kuwatolea mbali. Hawapo hapo kwa ajili ya wananchi, this is clear now.
 
Binafsi sijashawishika kuunga mkono hili wazo. Lolote litakalotokea kwenye ile mitambo as long as ipo chini ya uangalizi wa Serikali kwa sasa, basi Serikali ndiyo itawajibika kuingia hasara, kuwajibika kwa Serikali inamaanisha kuathirika kwa Mwananchi,,, Bei za vitu zitapanda kwa sababu ya ongezeko la kodi ili Serikali iweze kulipa hasara itakayopatikana iwapo mitambo itachomwa kama unavyohamasisha hapa.

Vile vile hii mada inaweza kusababisha Serikali ikapata sababu ya kuifungia JF au angalau kuwaweka mashakani wamiliki wa JF.. Hatuna haja ya kulitafuta hilo.

Hivyo Great Thinker, Labda tungeliweka kando hili wazo la kuharibu wakati mwathirika mkubwa tutakuwa ni sisi wenyewe, na tufikirie Proposal nyingine itakayotupatia namna ya kukabili hali ngumu inayotuandama nchini.

Tafakari.
 
bibi TANmo.. Samahani kama nitakuwa nimekosea jinsia yako. Hapa sihamasishi nimesema nimawazo yangu na mimi sio mwanasiasa so sina influence yoyote kubwa ya kumobilise watu wakachome ile mitambo pale ... But tutaichoma tu na JF haihusiki kwa lolote hapa tunabishana kwa fact: na sio kuiogopa serikali hapa.
 
Hapa sihamasishi nimesema nimawazo yangu na mimi sio mwanasiasa so sina influence yoyote kubwa ya kumobilise watu wakachome ile mitambo pale ... But tutaichoma tu na JF haihusiki kwa lolote hapa tunabishana kwa fact: na sio kuiogopa serikali hapa.

Ni Mr. TANMO hukuwa na ulazima wa kuandika Bibi. kama hukuwa na uhakika na jinsia yangu. Naomba urekebishe!

Nilichojaribu kugusia uhusika wa JF ni kutokana na ukweli kuwa hizi hoja tunazijaidilia humu na iwapo lolote litatokea linaweza kuharibu kabisa reputation ya JF na ikaonekana ni Genge la kumobilise wahalifu. Kwa sababu hiyo basi, Kimantiki Serikali itakuwa na haki ya kuifungia JF (hata Serikali ya Marekani ilifikia kipindi wakafungia website nyingi tu baada ya September 11 kwa kuzihusisha na ugaidi).

Pia siiogopi Serikali bali nimejaribu kufikiria kwa mapana zaidi juu ya maafa yatakayotokea iwapo hoja yako itafanyiwa utekelezaji. Nimeona kuwa sisi wananchi ndiyo tutakaoathirika kwa kulipishwa mahela mengi kwenye bidhaa tutakazonunua wakati Serikali ikijaribu kukusanya hela za kulipia fidia (nipo tayari kusahihishwa).

Tafakari.
 
Kwa nini jina lako unaliandika kwa herufi kubwa TANMO na sio Tanmo?
 
Ni maamuzi tu mkuu..

Ooops! :focus:

kwa hiyo mkuu T-A-N-M-O hutaki mitambo ya dowans ikichomwa moto sio? Kwa nini? Nipe mawazo yako basi manake mpaka sasa hivi hatutumii umeme wao lakini tunawalipa . Au tuiwashe? Na tukiiwasha si tutakuwa tumemtakasa Lowasa?
 
Binafsi sijashawishika kuunga mkono hili wazo. Lolote litakalotokea kwenye ile mitambo as long as ipo chini ya uangalizi wa Serikali kwa sasa, basi Serikali ndiyo itawajibika kuingia hasara, kuwajibika kwa Serikali inamaanisha kuathirika kwa Mwananchi,,, Bei za vitu zitapanda kwa sababu ya ongezeko la kodi ili Serikali iweze kulipa hasara itakayopatikana iwapo mitambo itachomwa kama unavyohamasisha hapa.

Vile vile hii mada inaweza kusababisha Serikali ikapata sababu ya kuifungia JF au angalau kuwaweka mashakani wamiliki wa JF.. Hatuna haja ya kulitafuta hilo.

Hivyo Great Thinker, Labda tungeliweka kando hili wazo la kuharibu wakati mwathirika mkubwa tutakuwa ni sisi wenyewe, na tufikirie Proposal nyingine itakayotupatia namna ya kukabili hali ngumu inayotuandama nchini.

Tafakari.

..Sometime, Amani, Uvumilivu, Mshikamano na WOGA wetu vinatu-cost mno ila hatujui tu. Sometimes, Desperate Problems needs Desperate Measures. Dowans is a Problem.

 
Historia itawahukumu hawa jamaa!

Hii kauli yako haina tofauti na "kumwachia Mungu" kitu ambacho kimetufikisha hapa. Wenyewe hawatuonei huruma sasa inakuwaje sisi tuwaonee huruma!!!?? Kumbuka hili ni 'game' ama wao ama sisi
 
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.

Hasira hasara ila subira yavuta heri.
 
ivuga kila nikiwaza juu ya hii thread yako nacheka sana sijui hata uliwaza nini
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.
 
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.
unaonaje neno DOWANS likifutwa na likaandikwa neno IKULU!?...
 
Ni nani wakumvisha paka kengere?

Yaani hili jamaa sijui nilisaidiaje! Yaani maneno sita tu yanalishinda kupangilia... Sijui lingekuwa linaandika thread ndefu kama zile za kina Mohamed Said sijui ingekuaje. Halafu na lenyewe litadai haki yalo ya kuitwa Great thinker. Aaaaaaaaaaaghhhh!
 
ivuga kila nikiwaza juu ya hii thread yako nacheka sana sijui hata uliwaza nini

mkuu wewe labda hii kero ya umeme haijakukuta nadhani ungekubaliana na mimi. Juzi kati nilizama club umeme ukakatika kwa mda kama wa nusu saa hivi.. Wewe unadhani ni haki hii? Umeme wetu ushakuwa kama disco light kisa DOWANS
 
Yaani hili jamaa sijui nilisaidiaje! Yaani maneno sita tu yanalishinda kupangilia... Sijui lingekuwa linaandika thread ndefu kama zile za kina Mohamed Said sijui ingekuaje. Halafu na lenyewe litadai haki yalo ya kuitwa Great thinker. Aaaaaaaaaaaghhhh!

mkuu msamehe jamaa. Labda umeme ulimkatikia
 
mkuu msamehe jamaa. Labda umeme ulimkatikia

Hapana Ivuga, hili jamaa nalijua, linaandika utafikiri peni limeibana makwapani, yani mwandiko mbaya ile kixhenzy. Mixa halipangi sentensi, linaunganisha maneno, halijui herufi sahihi...we acha tu mkuu. Kuna siku lilipost thread ya kero ya benki sijui... Aloo mbona tulikoma humu ndani!
 
mmeona eee !!!! sasa tungeipiga moto haya yote yasingetokea .. ile mitambo inawapa faida gani sasa?
tutafutae alternative nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom