Kuichoma moto mitambo ya Dowans

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.
...........................................................................................................................................................................................................................................
nchi ambazo zipo jangwani na hazina vyanzo vya maji zinzpata wapi umeme wa uhakika? mtera mtera kila siku tunasikio wimbo huo huo sijui kina cha maji bana tushachoka boraa tujue moja .....
 
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.

Ivuga!
Ikichomwa na ikajulikna imechomwa tumenunua! yaani tunalipa sasa si afadhali kuiacha au kuwasha tupate umeme? lipi bora kati ya hayo?
 
Ivuga!
Ikichomwa na ikajulikna imechomwa tumenunua! yaani tunalipa sasa si afadhali kuiacha au kuwasha tupate umeme? lipi bora kati ya hayo?

kwani bei halisi ya mitambo ni tz sha ngapi?
Watajuaje kuwa tumeichoma sisi?
 
kuweni wastaarabu,kesi si ipo mahakamani?Mnataka umeme lakini kulipa hamtaki...hayo ndio mambo ya ujamaa holela!
 
Historia itawahukumu hawa jamaa!

Mkuu kweli hizi semi za kiswahili zina maana sana... lakini tukisubiri historia ije iwahukumu, tutakuwa tushaumia sana mpaka kufa... tuunge mkono wazo la mdau na tuangalie utekelezaji:juggle:!!!!
 
kwanza mie sioni sababu ya hiyo mitambo kukaa ubungo bora wangehamishia sonbgea au arusha hata kagera tuone kama watakaa na kuijadili wakati wote!
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.
 
kwanza mie sioni sababu ya hiyo mitambo kukaa ubungo bora wangehamishia sonbgea au arusha hata kagera tuone kama watakaa na kuijadili wakati wote!

wanatafuta sifa tu hawa we kungekuwa na shida gani ile mitambo wangeiweka nje ya mji?
 
Ivuga!
Ikichomwa na ikajulikna imechomwa tumenunua! yaani tunalipa sasa si afadhali kuiacha au kuwasha tupate umeme? lipi bora kati ya hayo?

bora tuiache tu tupate japo umeme.Wajanja hao,ukiichoma utaambiwa ilikuwa na bima ya NIC,na hapo NIC watatumia pesa zetu kulipa mitambo mipya.Hapa bora kupata umeme tu.
 
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.

Mitambo iko chini ya Serikali kwa sasa, ukifanya hivyo unavyoshauri, fedha lainiiiiiiiiii. Mnhh, na Bima monoooono.
 
hahaaaaaaaa yaani nchi inaenda kisaniisanii tu mpaka utasikia miaka mitano ya jei kei imeisha
bora tuiache tu tupate japo umeme.Wajanja hao,ukiichoma utaambiwa ilikuwa na bima ya NIC,na hapo NIC watatumia pesa zetu kulipa mitambo mipya.Hapa bora kupata umeme tu.
 
Ivuga nadhani ni ngumu kuweza kupiga exactly athari ya kuchoma moto mitambo hiyo haitavuka mipaka kwa wasiohusika. Pia Dowans ipo katika hali mbaya kifedha, kuinyima kutokuwasha mitambo hiyo tayari ni pigo kwao ndiyo maana wanahaha kila kukicha ili angalau tuingie mkataba hata wa miezi mitatu ili kuwanusuru. Dawa ni kutowalipa, kutoingia nao mkataba wowote ili wafie mbali.
 
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi wanataka kuibadili sheria ya manunuzi ya vyombo vya serikali. Tatizo ni dowans ile mitambo pale ubungo. Kwa nini tusianzishe movement na kwenda kuichoma? Ile tunaipiga kiberiti na kuiteketeza nina uhakika kidomodomo chao kitaishia hapo. Hela ambayo awanaipoteza inaweza kujengwa bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi tu lakini wao wamekomalia manunuzi Dowans wanakatakata umeme kila saa ili kutukomoa na kutulazimisha tukubaliane na manunuzi ya mamitambo yao ili waweke hela mfukoni.
<br />
<br />

Tanzania kisiwa cha amani!!!

Nchi nyingine pandisha bei ya mkate uone cha moto!
 
Ivuga nadhani ni ngumu kuweza kupiga exactly athari ya kuchoma moto mitambo hiyo haitavuka mipaka kwa wasiohusika. Pia Dowans ipo katika hali mbaya kifedha, kuinyima kutokuwasha mitambo hiyo tayari ni pigo kwao ndiyo maana wanahaha kila kukicha ili angalau tuingie mkataba hata wa miezi mitatu ili kuwanusuru. Dawa ni kutowalipa, kutoingia nao mkataba wowote ili wafie mbali.

Hivi kwa akili yako ile mitambo ndio msing wooote wa wamiliki wa Dowans?

Vijisenti tu vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom