Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Sikai na sijawahi kukaa sinza.Kama nakujua vile unakaa Sinza au ?
Daah msala huoo..laptop ilikuwa poa lakini??dah, nilishindwa maana hata yeye mwenyewe alikuwa analalamika kwamba kuna mteja kampa aangalie laptop halafu huyu mteja haonekani... maana huyo muuzaji alikuwa anaingia ndani na kutoka....
Aisee Huyo MTU hakufikiria kwamba unaweza kuuliwa mkuu daahNilikuwa mgeni Dar kipindi hicho. Pale Posta Mpya, kipindi hicho naishi Mwananyamala, kikaja kipanya ile tunagombania kuingia kwenye daladala, bila kujua mkono wangu ukawa umegusa kwenye mfuko wa shati wa abiria mwingine, ambaye wote tulikuwa kwenye process ya kudandia daladala. Jamaa akasema mwizi,mwizi. Duh I was baffled!!!!!, mwili wote ulipata ganzi.
Nadhani kulichoniokoa, abiria waliangalia na kuamini I was not a snatcher, kwa ile innocence look niliyokuwa nayo.
Hahaaaa uliuziwa sabuni 22,000Mimi nilikua naskia simu kuwa sabuni,nilikua nawadharau wanaoibiwa.
Mwaka flani hivi nilipita pale kariakoo teja akanionesha simu kali ilikua Huawei.Nikajisemea moyoni ngoja nione hawa maboya huwa wanaiba vipi,nikamvuta pembeni.
Niliikagua simu zaidi ya mara 5,ipo fresh tukakubaliana nimpe 22,000/=.Nilizingatia hatua zote ili nisipigwe,simu nilikua nayo nikampa ela lakini alinilazimisha niiweke kwenye baasha yake sababu watu wataiona.
Nilihakikisha abadilishi kitu,mara tu alivyo nipa nilitoka nduki ghafla nikaanza kukimbizwa na watu wengine wawili lakini nikasikia sauti ya yule teja akisema muacheni.
Nilipanda daladala bila kujua linaelekea wapi huku nikijiona nimewakomesha.Gari ilivyofika muhimbili nikaona ngoja niiangalie simu yangu niliyojipatia bila jasho.
Duuuh,Sikuamini macho yangu....kukuta kipande cha sabuni.
Wale huwa wanatumia NDUMBA
Haaaahaaa abiria anapogeuka kuwa kibakaNilikuwa mgeni Dar kipindi hicho. Pale Posta Mpya, kipindi hicho naishi Mwananyamala, kikaja kipanya ile tunagombania kuingia kwenye daladala, bila kujua mkono wangu ukawa umegusa kwenye mfuko wa shati wa abiria mwingine, ambaye wote tulikuwa kwenye process ya kudandia daladala. Jamaa akasema mwizi,mwizi. Duh I was baffled!!!!!, mwili wote ulipata ganzi.
Nadhani kulichoniokoa, abiria waliangalia na kuamini I was not a snatcher, kwa ile innocence look niliyokuwa nayo.
Ulivo wakosa ukabidi ukatie nyanya tu na hilo sime kupunguza hasirakipindi hicho nasoma form two.. pale ubungo.. nilienda na bro wangu mmoja hivi kulikuwa na mishemishe.. sasa... wakaja wale wanaouza simu za wizi... ilikuwa ni NOKIA fulani kali kinoma.. nene.. hivi.. sasa kumbe wanazo mbili simu moja ni OG na nyingine ni fake... imetiwa mchanga mbichi katika housing.. sasa tukaingiwa na tamaa.... ilikuwa inauzwa elfu 15..
ishu ilikuwa hivi.. mkono wa kulia katika mfuko aliweka simu og alaf upande wa kushoto aliweka fake.. wakat tunampa hela (tulichanga) akabadilisha .. akatupa ya mkono wa kushoto maana wakati tunaikagua tukajihakikishia ni simu kweli akairudisha mfukoni.. (hapo hatuelewi)... daah tunakuja kushtuka tupo nyumbani... daah.. nilirud na bonge la sime....... mamaeee siku ile ningechinja mtu
laptop ilikuwa fresh... ila ndo nikawa nimeingia hasara kama hivo... atleast hata laptop ikawa inanifariji....Daah msala huoo..laptop ilikuwa poa lakini??
Niliibiwa mkufu wa dhahabu wakati najiandaa kuteremka kutoka kwenye daladala nilihisi ni panga limekata shingo kumbe ni kofi lililonishtua na jamaa kuambaa na mkufu nikiwa namuona. Ni kitambo kdg miaka ya 90+
Ila Shombeshombe ndo ukamkosa tenaHII KITU YA SABUNI ILINITOKEA NIKIWA FORM 5 NIKIWA NASOMA SEMINARY MOROGORO,NILITOROKA SEMINARY NIKASEPA ZANGU DAR,MCHANA WAKATI NAGEUZA NIKAPANDA BASI ZA ABOUD,NIKAKAA NA MTOTO MMOJA SHOMBE SHOMBE MKALI BALAA ILA HANA CHAPAAA
ILE NAENDELEA KUMDADISI JAMAA NAUGWADU WANGU TOKA SEMINARY SI AKATOKEA TEJA,TUKAFANYA BIASHARA KAMA KAWA,AKACHUKUA 40000 AKANIPA KIPANDE CHA SABABUNI
SEMA MLE UBUNGO NILISHAWAHI KUKAA MIEZ KAMA MINNE KWA MAZA MMOJA NIKIWA NAUZA GROCERY KIPINDI NASUBIRI MATOKEO YA FORM 4,KWA HIYO MASELA WOTE NIKAWA NAWAFAHAMU NA WAO WANANIFAHAMU SEMA YULE BOYA SIKUMFAHAMU
BAADA YA KUGUNDUA NIMEUZIWA KIPANDE CHA SOAP ILIBIDI NISHUKE KWENYE GARI NA KUMUACHA MTOTO MZURI AKIJUWA TUTASEPA WOTE MORO,NIKAENDA RIPOTI POLISI NAO WAKAZINGUA ETI HATUWEZI CHUKUA HATUA MAANA JAMAA HAWAJULIKANI,NIKASEMA POWA
NIKATAFUTA MASELA WANGU NIKAWAPA RIPOTI WAKASEMA TUPE DAKIKA 15 HELA YAKO ITARUDI
KUSIKILIZIA NIKAENDA BOOKING OFFICE NIKAOMBA WANIBADILISHIE TIKETI NIONDOKE NA BUS LITAKALOONDOKA BAADAE,KWELI WAKANIBADILISHIA
ILE GARI LINASEPA IKABIDI NIPANDE KUWAZUGA JAMAA KUWA NIMESEPA NA GARI ILE ILE KUMBE NIKASHUKIA GETINI NA NIKAINGIA ZANGU CHOONI NIKABADILI NGUO,NIKAINGIA TERMINAL NIKAANZA KUMSAKA JAMAA
KUMBE NAE ALIVYOMJINGA AKAJUWA NIMEONDOKA KWELI,SI AKAENDELEA NA BIASHARA YAKE YA KISABUNI NA KARANGA,MARA NIPO NYUMA YA BASI MOJA IVI NAMUONA YUPO MLANGONI ANAUZA KARANGA,AISEE NILIPOMUONA JASHO LILINITOKA KWANZA,NIKAITA MASELA WANGU KIMYA KIMYA NIKAWAAMBIA BOYA NISHAMUONA,ILE JAMAA ANAGEUZA SHINGO TU ANAKUTANA NA WABABE KAMA WATANO IVI WOTE TUMEMZUNGUKA,TUKAMWAMBIA UKIJARIBU KUKIMBIA TU KWENU TUNAPELEKA MZOGA WANAINCHI WENYE HASIRA WAMEFANYA YAO,IKABIDI ATULIE KAMA MAJI MTUNGINI,KILICHOTOKEA ALINYOOSHA MIKONO JUU,NIKAINGIZA MIKONO MFUKONI NIKAKOMBA HADI HELA ZA CHENJI ZA KARANGA,NILICHUKUA 40000 NA NYINGINE KAMA 20000 IVI ZA KWAKE NIKAWAPA MASELA
MIE HUYOOOO,NIKAINGIA KWENYE GARI ILISHAJAZA NA NIKASEPA ZANGU SEMINARINI
NILIJIONA BONGE LA STERING BALAAA
Mimi nilikua naskia simu kuwa sabuni,nilikua nawadharau wanaoibiwa.
Mwaka flani hivi nilipita pale kariakoo teja akanionesha simu kali ilikua Huawei.Nikajisemea moyoni ngoja nione hawa maboya huwa wanaiba vipi,nikamvuta pembeni.
Niliikagua simu zaidi ya mara 5,ipo fresh tukakubaliana nimpe 22,000/=.Nilizingatia hatua zote ili nisipigwe,simu nilikua nayo nikampa ela lakini alinilazimisha niiweke kwenye baasha yake sababu watu wataiona.
Nilihakikisha abadilishi kitu,mara tu alivyo nipa nilitoka nduki ghafla nikaanza kukimbizwa na watu wengine wawili lakini nikasikia sauti ya yule teja akisema muacheni.
Nilipanda daladala bila kujua linaelekea wapi huku nikijiona nimewakomesha.Gari ilivyofika muhimbili nikaona ngoja niiangalie simu yangu niliyojipatia bila jasho.
Duuuh,Sikuamini macho yangu....kukuta kipande cha sabuni.
Wale huwa wanatumia NDUMBA
Mkuu umenifurahisha.kwa hiyo ulishtuka ghafla tu mziki umezima!!Wewe kama mimi mkuu, nilipandia ubungo nikashukia Tip Top nlikua nmevaa t shirt fupi kwaiyo simu ilikua inaonekana huku nimechomeka earphones kwa kujiamini kabisa, ile nashuka tu nikasikia Kama navutwa masikio alafu mziki umezima ghafla Sina hili Wala lile najishika mfuko nakutana na paja badala ya simu, asee iliniuma!!
Nilishuhudia tukio kama hili.. inawezakana ulikuwa ni wewe labda. ilikuwa mtaa wa congo kariakoo. kijana aliye valia jeans mapana alikuwa anakuja kwambele yangu ghafla kuna jamaa akampiga kikumbo na kumpita kidogo nakuanza kulalamika jamaa nae akageuza shingo nyuma kujibu mapigo ya maneno. hilo ndio likawakosa akatoka mwingine mbele yake kama anampita akachomoa simu kwa ustadi mkubwa sana kutoka kwenye mfuko wa jeans. yule mwizi mwingine alivyoona jamaa yake amekamilisha akawa mpole. tukio lilitokea kwa haraka sana. sikuweza fanya chochote sababu jamaa walikuwa wengiNiko zangu Kariakoo kuna teja kajigongesha kwangu kisha akaanza kuniletea zakuleta na mm nikaanza kumpandishia akawa mpole, dah! Sijui huwa wanadawa maana ile napiga hatua kadhaa mbele najipapasa mifukon sina kitu. Aisee, niliumia sana ile hata usingiz sikulala.
Nilishuhudia tukio kama hili.. inawezakana ulikuwa ni wewe labda. ilikuwa mtaa wa congo kariakoo. kijana aliye valia jeans mapana alikuwa anakuja kwambele yangu ghafla kuna jamaa akampiga kikumbo na kumpita kidogo nakuanza kulalamika jamaa nae akageuza shingo nyuma kujibu mapigo ya maneno. hilo ndio likawakosa akatoka mwingine mbele yake kama anampita akachomoa simu kwa ustadi mkubwa sana kutoka kwenye mfuko wa jeans. yule mwizi mwingine alivyoona jamaa yake amekamilisha akawa mpole. tukio lilitokea kwa haraka sana. sikuweza fanya chochote sababu jamaa walikuwa wengi
hahah nilimalizia hasira kwa mwingine kabisa.. maana alikuwa kiherehere.. kutoa ushauri tununueUlivo wakosa ukabidi ukatie nyanya tu na hilo sime kupunguza hasira
Mkuu umenifurahisha.kwa hiyo ulishtuka ghafla tu mziki umezima!!
Kweli hawa watu wanatishaa