Kwenye harusi ya shilole walitoa pesa nyingi sana na ahaf kibao wasafi walitoa noah ya milioni 9 kweli hizo pesa zoote si wangemchangia mwenzao mgonjwa..tatizo hawa wasanii wana dharau sana kwa wananchi wa kawaida ambao wakipata shida ndo wanawarudia hao hao.
Pili walitumika sana na CCM bila hata kujali kazi zao sasa ivi wasaidiwe tu na CCM .mimi kwakwel siwezi kuchanga bora hata tuambiwe tuendelee kumchangia na kumuombea ndugu yetu LIisu Mungu amjalie afya njema huko alipo
Pili walitumika sana na CCM bila hata kujali kazi zao sasa ivi wasaidiwe tu na CCM .mimi kwakwel siwezi kuchanga bora hata tuambiwe tuendelee kumchangia na kumuombea ndugu yetu LIisu Mungu amjalie afya njema huko alipo