MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
Huyu dada ana shida, Watanzania huyu dada anaumwa anahitaji msaada. Nimemuona Clouds tv akijieleza kwa uchungu!
Tuweke mzaha, masihara pembeni tumsaidie atibiwe.
Kiukweli ukitazama akiongea utaguswa mno! Akifa hatujafanya kitu sijui tutasema nini. Wengi wana shida lakini kama watu maarufu yanawakuta haya sisi wengine itakuwaje?
Nimeona namba halali aliyoitaja kwenye tv kumsaidia ni 0768666113.
Tumsaidie jamani! Hata kama una buku!
Tuweke mzaha, masihara pembeni tumsaidie atibiwe.
Kiukweli ukitazama akiongea utaguswa mno! Akifa hatujafanya kitu sijui tutasema nini. Wengi wana shida lakini kama watu maarufu yanawakuta haya sisi wengine itakuwaje?
Nimeona namba halali aliyoitaja kwenye tv kumsaidia ni 0768666113.
Tumsaidie jamani! Hata kama una buku!