HAPA JIBU LIKO WAZI FANYENI UCHUNGUZI WENYEWE KAMA HAMRIDHIKI. SI KUNA KAMPUNI ZA UCHUNGUZI ZA PRIVATE! KWANI WABANYINWA KUAJIRI WABOBEZI NJE YA NCHI?Mkuu,did you read between lines. Kindly do so
Come on mngoni GT's home? Are you serious?Nina wasiwasi hujaelewa. Kumbuka,JF is a GT's home.
Link Hivi Ndivyo Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu Limeharibu Heshima Ya TanzaniaLeo,katika kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Bungeni Dodoma,Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe alimuuliza Waziri Mkuu,pamoja na mambo mengine,kuhusu wachunguzi wa kimataifa.
Akichagiza swali lake na tukio la kuungua kwa benki kuu ya Tanzania na kuja kwa Scotland Yard hapa nchini kufanya uchunguzi,Mbowe alitaka kujua Serikali inapata kigugumizi gani kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa katika matukio ya utekaji,mauwaji na kushambuliwa kwa watu mbalimbali hapa nchini hasa wanasiasa wa upinzani.
Nikiri,mimi binafsi,swali la Mbowe lilikuwa gumu na la mtego kwa Waziri Mkuu. Lakini,swali la Mbowe lililenga kupata jibu la mwisho ili kufunga mjadala kuhusu kuruhusiwa au kutokuruhusiwa kwa Wachunguzi wa Kimataifa hapa nchini. Jibu la mwisho likatolewa.
Kwa umahiri mkubwa na ubobezi wa kisiasa,Waziri Mkuu alijibu kuwa hadi sasa Serikali ina imani kubwa kwa vyombo vya uchunguzi vya ndani. Akaongeza kuwa Serikali,hadi sasa,haioni haja ya kuruhusu Wachunguzi wa Kimataifa kwakuwa vyombo vyetu vya ndani vina uwezo na Serikali ina imani navyo. Akamaliza kwa kusema kuwa kama vyombo vya ndani vitaona havina uwezo,vitatoa taarifa kwa umma!
Hakika,jibu la Waziri Mkuu lilikuwa la umakini mkubwa na lililofunga mjadala. Haiwezekani vyombo vya uchunguzi vya ndani kusema havina uwezo. Kamwe! Pia,haiwezekani Serikali iseme haina imani na uwezo wa vyombo vya ndani. Ndiyo kusema,jibu la Waziri Mkuu ni final and conclusive. Ni wazi kuwa Wachunguzi wa Kimataifa hawaruhusiwa nchini na Serikali hii kwakuwa haja haionekani!
Tangu Ulimboka ang'olewe kucha wamekamata wangapi? Kibanda, Kubenea, Nnape, waliotupa miili baharini mpaka kifika kwa Lisu jibu lipo wapi? Tunauliza Saa Nane yupo wapi?Kama ana imani na vyombo vyake vya ulinzi na usalama angejibu pia tangu tukio litokee wamefikia wapi na vipi watuhumiwa wamesha kamatwa?
Kwann wasingeanzia kwa yule aliyemtolea nape bastola inaweza kuwa ni mtandao mmoja unaofanya uhalifu....au na yule hakuonekana? Vip nape hakumwona?, kitenge je ? , au hamorapa? Kwann wasikae na hao watu nliowataja ili waweze kumtambua mtuhumiwa hatae tupate mtandao mzima wa waalifu.
Tupe rejea ya kazi za kisheria ulizowahi kupambana na wanaume fairly.....zaidi ya kuwa kama admistrative officer aka secretary!Nani ni kanjanja? Hebu nisome tena Mkuu halafu tujadiliane kwa kujenga
Rubbish, Rubbish! shyster lawyer! Wewe ni lawyer kweli! walipoleta wachunguzi wa benki Kuu kuungua? and many other incidences!
Sarcasm ni kazi kueleweka!Mkuu,did you read between lines. Kindly do so
Mkuu huyu jamaa ni Mwanasheria ZWAZWA njaa inamsumbua sana kaamua kusifia kila upuuzi ndani ya Serikali ili aonekane na hivyo kukumbukukwa kwenye teuzi za kila wiki.
Majibu ya PM yametupa picha halisi kuwa serikali inamjua mtu aliyempiga risasi Tundu Lissu.Leo,katika kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Bungeni Dodoma,Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe alimuuliza Waziri Mkuu,pamoja na mambo mengine,kuhusu wachunguzi wa kimataifa.
Akichagiza swali lake na tukio la kuungua kwa benki kuu ya Tanzania na kuja kwa Scotland Yard hapa nchini kufanya uchunguzi,Mbowe alitaka kujua Serikali inapata kigugumizi gani kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa katika matukio ya utekaji,mauwaji na kushambuliwa kwa watu mbalimbali hapa nchini hasa wanasiasa wa upinzani.
Nikiri,mimi binafsi,swali la Mbowe lilikuwa gumu na la mtego kwa Waziri Mkuu. Lakini,swali la Mbowe lililenga kupata jibu la mwisho ili kufunga mjadala kuhusu kuruhusiwa au kutokuruhusiwa kwa Wachunguzi wa Kimataifa hapa nchini. Jibu la mwisho likatolewa.
Kwa umahiri mkubwa na ubobezi wa kisiasa,Waziri Mkuu alijibu kuwa hadi sasa Serikali ina imani kubwa kwa vyombo vya uchunguzi vya ndani. Akaongeza kuwa Serikali,hadi sasa,haioni haja ya kuruhusu Wachunguzi wa Kimataifa kwakuwa vyombo vyetu vya ndani vina uwezo na Serikali ina imani navyo. Akamaliza kwa kusema kuwa kama vyombo vya ndani vitaona havina uwezo,vitatoa taarifa kwa umma!
Hakika,jibu la Waziri Mkuu lilikuwa la umakini mkubwa na lililofunga mjadala. Haiwezekani vyombo vya uchunguzi vya ndani kusema havina uwezo. Kamwe! Pia,haiwezekani Serikali iseme haina imani na uwezo wa vyombo vya ndani. Ndiyo kusema,jibu la Waziri Mkuu ni final and conclusive. Ni wazi kuwa Wachunguzi wa Kimataifa hawaruhusiwa nchini na Serikali hii kwakuwa haja haionekani!
It's trueSuala la Lissu halitakufa kirahisi inaweza kuwa wakati wa utawala huu au wa baadaye lakini lazima kuna mtu atakuja kuumbuka hata baada ya Miaka 20!
Ulichoongea wewe ni Pumba Plus!Mbowe aache kubwabwaja ni dhahiri kashikwa pabaya, tukileta hivyo vyombo vya nje kutoka hapo Nairobi vichunguze michango ilitumika vipi ataumbuka.
Ukimuangalia mshambuliaji Lissu hali yake kimwili sasa haina neema kabisa.
M/kiti kakomba kila kitu na kuondoka kuwaachia familia majanga.
Michango ile zaidi ya mil 300 ingemfikia mlengwa mpk sasa tungeongea mengine.
Kufa kufaana.