Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,771
- 59,120
Khaaa...partner leo nalala nimenuna.Hiyo mistari hata nilivyokua under 20 ingenifanya nipoteze kabisa interest achilia mbali kua above!!Nwy mtu ambae mpaka msg ya mapenzi anacopy na kupaste ana hasara sana maana wenzake watamwibia kirahisi sana!What to tell mpenzi wako depends na the type of person alivyo...Ni muhimu kumjua mwenzio ana penda nini...Hayo maneno hapo juu nimetoa.. but believe me mpenzi wangu simpi hio mistari...Haimfaii...Mpaka huyu kaomba msaada wa message i bet you ni under 22,na kama ni that age hio message yamfaa kabisa..