Kuhusu sms za mapenzi

kagarara

Senior Member
Nov 23, 2010
118
9
Wana jf, nipeni sms za mahaba za kusimua sana ambazo naweza mtumia mpenz wangu usiku huu.
 
wakikupa haiwezi kusisimua sana kwasababu itakuwa haijatoka moyoni kabisa, but ngoja tusubiri wataalam wa mambo haya !
 
Hahahaaa! Unataka kumwonyesha wewe babkubwa eeh?! Hakuna sms nzuri kama kumwandikia hisia zako mkuu. Ila kama mmezoea kudanganyana nenda ka google 'love messages' Unamrushia kumbe na yeye anazo hizohizo siku nyingi...!!
 

My Love…


Nimeshinda siku nzima nakufikiria hasa kua ni ujumbe gani nikutmie ujisikie kama ninapo
jisikia hapa katika hizi feelings ambazo zinanichanganya na kunikosesha rahaa…
Nimejaribu saana kubuni ni maneno gani nikupe.. bahati mbaya saana mimi
si mmoja wa wale wenye maneno mazuri naya kukosha…
oh! How I wish ungeona hali yangu ilivyo mbaya kwa ajili yako…
Niseme nini darling?? Ni bora unitamkie wewe kitu gani wapenda usikie…
Nimejaribu hata kuomba msaada JF jamvi la GT wa ujumbe mzuuuri…
lakini nikakuta ni bora nikwambie kweli kua sina maneno…
Ila niseme tu Nakupenda na nakuombea kwa Mola alokuumba
ukulinde usiku huu mnene na siku zoote zijazo….

Kwa mapenzi ya dhati Kagarara…


 
Hahahaaa! Unataka kumwonyesha wewe babkubwa eeh?! Hakuna sms nzuri kama kumwandikia hisia zako mkuu. Ila kama mmezoea kudanganyana nenda ka google 'love messages' Unamrushia kumbe na yeye anazo hizohizo siku nyingi...!!

usemayo ni kweli na hakika, hisia za moyoni mwako na hasa kwa vile umjuavyo mpenzi wako ndio unaweza kupata maneno mazuri ya kumwambia mpenzio. ila kubwa kwa usiku huu ukiacha longolongo za kimahaba mtakie tu usiku mwema, umwombee dua ili Mungu amlinde na kumlaza salama na awe mzima wa afya hadi siku mtakapoonana tena kwa kudra za Mungu. mfno mie mume anitumie msg eti usiku kucha silali nakuwaza wewe, mara sili silali kwa kukufikiri nitajua tu either zimepotea njia au ananitania au ni utapeli!!
 
My Love…Nimeshinda siku nzima nakufikiria hasa kua ni ujumbe gani nikutmie ujisikie kama ninapo jisikia hapa katika hizi feelings ambazo zinanichanganya na kunikosesha rahaa… Nimejaribu saana kubuni ni maneno gani nikupe.. bahati mbaya saana mimi si mmoja wa wale wenye maneno mazuri naya kukosha… oh! How I wish ungeona hali yangu ilivyo mbaya kwa ajili yako… Niseme nini darling?? Ni bora unitamkie wewe kitu gani wapenda usikie… Nimejaribu hata kuomba msaada JF jamvi la GT wa ujumbe mzuuuri… lakini nikakuta ni bora nikwambie kweli kua sina maneno… Ila niseme tu Nakupenda na nakuombea kwa Mola alokuumba ukulinde usiku huu mnene na siku zoote zijazo….Kwa mapenzi ya dhati Kagarara…
Thanks very much for ur help, ww mmoja wa wale wanaopenda mafanikio yangu kwenye mapenzi yangu. Nakuombea na wewe pia.
 
yakutungiwa hainogi sema neno moja latosha............... usifikiri sana litakuja lenyewe
 

My Love…


Nimeshinda siku nzima nakufikiria hasa kua ni ujumbe gani nikutmie ujisikie kama ninapo
jisikia hapa katika hizi feelings ambazo zinanichanganya na kunikosesha rahaa…
Nimejaribu saana kubuni ni maneno gani nikupe.. bahati mbaya saana mimi
si mmoja wa wale wenye maneno mazuri naya kukosha…
oh! How I wish ungeona hali yangu ilivyo mbaya kwa ajili yako…
Niseme nini darling?? Ni bora unitamkie wewe kitu gani wapenda usikie…
Nimejaribu hata kuomba msaada JF jamvi la GT wa ujumbe mzuuuri…
lakini nikakuta ni bora nikwambie kweli kua sina maneno…
Ila niseme tu Nakupenda na nakuombea kwa Mola alokuumba
ukulinde usiku huu mnene na siku zoote zijazo….

Kwa mapenzi ya dhati Kagarara…


...............hivi Asha,

unajua kuna mwingine hizi ngonjera zote hazimuiingii akilini kabisa,
yaani ni mara mia umwambie.................

''usiku mwema mpenzi,mungu akulinde''
 
usemayo ni kweli na hakika, hisia za moyoni mwako na hasa kwa vile umjuavyo mpenzi wako ndio unaweza kupata maneno mazuri ya kumwambia mpenzio. ila kubwa kwa usiku huu ukiacha longolongo za kimahaba mtakie tu usiku mwema, umwombee dua ili Mungu amlinde na kumlaza salama na awe mzima wa afya hadi siku mtakapoonana tena kwa kudra za Mungu. mfno mie mume anitumie msg eti usiku kucha silali nakuwaza wewe, mara sili silali kwa kukufikiri nitajua tu either zimepotea njia au ananitania au ni utapeli!!

ila kwa umri wake huyu kijana,
hayo maneno aliyompa Asha nadhani yanamfaa.......................
 
...............hivi Asha,

unajua kuna mwingine hizi ngonjera zote hazimuiingii akilini kabisa,
yaani ni mara mia umwambie.................

''usiku mwema mpenzi,mungu akulinde''



What to tell mpenzi wako depends na the type of person alivyo...
Ni muhimu kumjua mwenzio ana penda nini...
Hayo maneno hapo juu nimetoa.. but believe me mpenzi wangu simpi hio mistari...
Haimfaii...

Mpaka huyu kaomba msaada wa message i bet you ni under 22,
na kama ni that age hio message yamfaa kabisa..
 
My Love…Nimeshinda siku nzima nakufikiria hasa kua ni ujumbe gani nikutmie ujisikie kama ninapo jisikia hapa katika hizi feelings ambazo zinanichanganya na kunikosesha rahaa… Nimejaribu saana kubuni ni maneno gani nikupe.. bahati mbaya saana mimi si mmoja wa wale wenye maneno mazuri naya kukosha… oh! How I wish ungeona hali yangu ilivyo mbaya kwa ajili yako… Niseme nini darling?? Ni bora unitamkie wewe kitu gani wapenda usikie… Nimejaribu hata kuomba msaada JF jamvi la GT wa ujumbe mzuuuri… lakini nikakuta ni bora nikwambie kweli kua sina maneno… Ila niseme tu Nakupenda na nakuombea kwa Mola alokuumba ukulinde usiku huu mnene na siku zoote zijazo….Kwa mapenzi ya dhati Kagarara…
duh umeuwa mbaya! Imekataa hiyo.
 
Blaki woman mkorofi weweee... mwenye uzi ndo kwanza naona kalala...lol

ulipomwandikia utenzi amekwenda moja kwa moja kutema cheche asije sahau................yupo busy sasa hivi na ooohhh you know Ashadii ameniambia nikwambie hahahahah................dearest mambo ya kutongoza bana yanataka utaalam................
 
What to tell mpenzi wako depends na the type of person alivyo...
Ni muhimu kumjua mwenzio ana penda nini...
Hayo maneno hapo juu nimetoa.. but believe me mpenzi wangu simpi hio mistari...
Haimfaii...

Mpaka huyu kaomba msaada wa message i bet you ni under 22,
na kama ni that age hio message yamfaa kabisa
..

.............absolutely right...
 
ulipomwandikia utenzi amekwenda moja kwa moja kutema cheche asije sahau................yupo busy sasa hivi na ooohhh you know Ashadii ameniambia nikwambie hahahahah................dearest mambo ya kutongoza bana yanataka utaalam................


Blacki woman umenifurahisha... tatizo watu hurusha uzi hatupewi feedbak...lol...
 
Back
Top Bottom