Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Nimeishagundua hilo best teh! Utaombaje msg za mapenzi kwa wenzio?Hahhah ipo siku atasahau hata kunanihiliii lolMidumeya hivi haifai kabisaaaa
Nimeishagundua hilo best teh! Utaombaje msg za mapenzi kwa wenzio?Hahhah ipo siku atasahau hata kunanihiliii lolMidumeya hivi haifai kabisaaaa
Amwambie hayo teh!Mwambie.... "I have started loving 'U'..i know its sounds rediculous but i can't control my feelings for 'U'..sometime later i will start loving more ALPHABETS..." hii safi sana katika mapenzi!
Mwambie, "Mpenzi wangu mzuri nakupenda sana, But Gagurito kaonyesha kukupenda zaidi, naogopa, nahofia nafasi yangu kwako, ukweli ni kwamba sina uwezo wa kucompete na Gagurito"
na kweli yaelekea bado mdogo hajajua vema aanzie wapi! hao ndio wale wa kuimbiana bongo flava kabla ya kulala... ili kuonyesha msisitizo wa penzi changa la dhati wakati nyuma ya pazia ana shazi la wapenzi wa mpito! lakini mwetu sie wakomavu tunajua sms za kuandikiana. maana wakati mwingine mtu una mpenzi ambae ni mume/mke wa mtu, basi jioni kabla giza mshapigiana kutakiana usingizi mwema! na uck ni sms fupi tu ' g9te hun'. nae ajibu same to u! na kama mke/mumewe ni wale wa kuchakura cm za wenzao basi hakuna kutumiana sms maana ni ushahidi ukiweza unatwanga tu cm na mnatakiana uck mwema kiutu uzima mbele ya mwenye mali!ila kwa umri wake huyu kijana,
hayo maneno aliyompa Asha nadhani yanamfaa.......................
Hahahahahahaha lolDahhhh kwa kweli umenikumbusha mbali Loohhh eti nimeshika pumpzi ndani Niambie wanipenda kabla sijafa loooohhhKuna raha kweli dunia hii. Mmhhhhmbona simple 'nikinywa maji nakuona kwenye grasi,usiku sipati usingizi juu yako,in shot una make headlines kwenye moyo wangu..
My Love
Nimeshinda siku nzima nakufikiria hasa kua ni ujumbe gani nikutmie ujisikie kama ninapo
jisikia hapa katika hizi feelings ambazo zinanichanganya na kunikosesha rahaa
Nimejaribu saana kubuni ni maneno gani nikupe.. bahati mbaya saana mimi
si mmoja wa wale wenye maneno mazuri naya kukosha
oh! How I wish ungeona hali yangu ilivyo mbaya kwa ajili yako
Niseme nini darling?? Ni bora unitamkie wewe kitu gani wapenda usikie
Nimejaribu hata kuomba msaada JF jamvi la GT wa ujumbe mzuuuri
lakini nikakuta ni bora nikwambie kweli kua sina maneno
Ila niseme tu Nakupenda na nakuombea kwa Mola alokuumba
ukulinde usiku huu mnene na siku zoote zijazo .
Kwa mapenzi ya dhati Kagarara
My Love
Nimeshinda siku nzima nakufikiria hasa kua ni ujumbe gani nikutmie ujisikie kama ninapo
jisikia hapa katika hizi feelings ambazo zinanichanganya na kunikosesha rahaa
Nimejaribu saana kubuni ni maneno gani nikupe.. bahati mbaya saana mimi
si mmoja wa wale wenye maneno mazuri naya kukosha
oh! How I wish ungeona hali yangu ilivyo mbaya kwa ajili yako
Niseme nini darling?? Ni bora unitamkie wewe kitu gani wapenda usikie
Nimejaribu hata kuomba msaada JF jamvi la GT wa ujumbe mzuuuri
lakini nikakuta ni bora nikwambie kweli kua sina maneno
Ila niseme tu Nakupenda na nakuombea kwa Mola alokuumba
ukulinde usiku huu mnene na siku zoote zijazo .
Kwa mapenzi ya dhati Kagarara
Wana jf, nipeni sms za mahaba za kusimua sana ambazo naweza mtumia mpenz wangu usiku huu.