afrique
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 509
- 136
mbona simple
'nikinywa maji nakuona kwenye grasi,usiku sipati usingizi juu yako,in
shot una make headlines kwenye moyo wangu..
we mkali!unamuona kwenye grasi!duh!
mbona simple
'nikinywa maji nakuona kwenye grasi,usiku sipati usingizi juu yako,in
shot una make headlines kwenye moyo wangu..
Wana jf, nipeni sms za mahaba za kusimua sana ambazo naweza mtumia mpenz wangu usiku huu.
Ina maana wewe una database ya sms za magazeti/mtandaoni ili ugundue kuwa hajaandaa yeyeNinavyochukia sms za ku foward. mie napenda mtu aandike what he feals, ujue ukiandika kitu so emotional hata anayeisoma unambadilisha anakuwa emotional na inamchukua mda kuisoma na kuirudia while thinking of you.
Muandikie what you feal to yourself and she will be so very happy.
usipende sms za kwenye magazeti mi mtu akinitumia hizo huwa nadelete.