mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 193
Asante
call it like it is.... Apime defence yake kwanza ili ajiridhisheMwakyembe anatafuta sympathy na cheap popularity...nimemshauri akafanye CD4 T cells count!
ulianza vizuri na kumtaja mungu sasa unaongea matusiUkiona mtu anaandika matusi usimwelewe vibaya haya mambo yanayoendele katika nchi yetu ni ya ki§#k¤@*u$*ma.. Hivi ni nini mustakabali wa nchi yetu ktk hali hii mbona kama inaendeshwa na watu wasio WaTanzania??????
Nani aniambie kwa hakika hatima ya nchi yetu????? Watu wanang'ang'ania Ushirikina tu badala ya haki na kujenga Taifa..... Unakera sana... Hici Kiwete wetu anafanya nini??????? kama ameshindwa si astepp down Bwana...
Hiyo habari ipo unedited hivyo hivyo kwenye gazeti. Labda ni style tu ya uandishi..Fanya editing kidogo ya habari yako, uweke na paragraphs, hii inakuwa ngumu sana kuisoma mpakaa mwisho.
Tatizo sheria za nchi yetu linapokuja suala la uchawi au matumizi ya manguvu ya giza ipo kimya sana. Watu wengi wameshapotezewa maisha kwa kupitia hayo manguvu ya giza. Nadhan kwenye huu mchakato wa katiba mpya tuweke kajiclause at least ka kuwatisha hawa maengineer wa hayo manguvu. Hivi hivi tutataumizana sana. Kama hayo manguvu ya giza yana manufaa chanya si watutatulie tatizo la umeme kwa kutumia hizo nguvu zao za giza????wenzetu technologia inawapeleka mbele, sisi technologia giza inaturudisha nyuma??mhhhh kaaz kweli kweli, Pole mpiganaji ukirecover toka huko magambani watakumaliza. Nlihisi siku nyingi kuwa hata kile cheo cha unaibu waziri kapewa strategically ili wamkamatie chini. Afu pia nahisi hawa wachawi hata ss watanzania kwa ujumla wetu wameshaturoga, mana sio bure! Response yetu kwenye sensitive issues (km malipo ya dowans, kagoda, meremeta, kiwira, deepn green, na mengine meng) kwa kweli inatia shaka sana.Tanzania nchi ya amani na yenye kufuata utawala wa sheria !
Mambo yenyewe yanachanganyachanganya hadi muungwana anaweza kupoteza sifa na kuanza kumkufuru mungu, yani mambo yanakwenda dhohoflihali.ulianza vizuri na kumtaja mungu sasa unaongea matusi
ili iweje? Would u go to muhimbili wakati umesharipoti yote hayo agaisnt serikali na uwt?kwa nini wasitibiwe Muhimbili?
ili iweje? Would u go to muhimbili wakati umesharipoti yote hayo agaisnt serikali na uwt?
yule ni waziri mwandamizi serikalini
angeonyesha njia kuwa ni mzalendo na yuko tayai kutibiwa wanakotibiwa watanzania wengine
Kwanini hakusema siri yote bungeni??????ni mnafiki japo ana haya kidogo ila wacha wapungue tuchue jimbo kule hawaibi kama igunga rip Dr.