Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Mafisadi ni wabaya kuliko tunavyofikiri! Kama ni kweli ugonjwa wake utakuwa na uhusiano na taarifa aliyoitoa basi TZ kama taifa linaloheshimu uhuru wa kuabudu tumekwisha! Zaidi ya hapo, kama ni kweli basi suala wala si ukristu bali ni kelele wanazopiga baadhi ya walengwa kupinga ufisadi.
 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Naibu Waziri wa Ujenzi, Dkt.Harrison Mwakyembe wakati alipomtembelea nyumbani kwake Kunduchi Mtongani, jijini Dar es Salaam juzi.
 
Ni wazi wakristo hapa nchini sasa wana hali ngumu sana. Unafiki wetu pia unatuumiza. Uchaguzi ilikuwa wazi ni ukristo vs uislam tukawapigia kura waislamu kwakudhani mungu ndo atawalipa kwa ubaya wao. Yameanza kutufika kwa viongozi wa juu waliowatetezi wetu na kwa ukristo wao watamalizwa kama chuo kikuu kimoja hapa nchini ambacho nacho kinatumika kukuza dini badala ya taaluma. Lecture theatres ni msikiti, jengo la utawala nalo linasehemu ni msikiti ambako baadhi ya wanataaluma wakiislamu hukutana for briefing.

Badala ya kufanya kazi wanazolipwa mishahara watu wakobusy kukuza dini yao tu. Tunangoja mpaka wafe?
 
Kwanini hakusema siri yote bungeni??????ni mnafiki japo ana haya kidogo ila wacha wapungue tuchue jimbo kule hawaibi kama igunga rip Dr.
 
Mungu tenda muujiza Dr mwakyembe na Prof mwandosya wapone katika Jina la Yesu jina lenye uponyaji na nguvu za giza zikashindwe kabisa
 
Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja...Kuna kitu kimefichwa nyuma ya pazia hapo mwisho wake uko karibu. Ugua Pole Dr. Mwakyembe.
 
Ukiona mtu anaandika matusi usimwelewe vibaya haya mambo yanayoendele katika nchi yetu ni ya ki§#k¤@*u€€$*ma.. Hivi ni nini mustakabali wa nchi yetu ktk hali hii mbona kama inaendeshwa na watu wasio WaTanzania??????
Nani aniambie kwa hakika hatima ya nchi yetu????? Watu wanang'ang'ania Ushirikina tu badala ya haki na kujenga Taifa..... Unakera sana... Hici Kiwete wetu anafanya nini??????? kama ameshindwa si astepp down Bwana...
ulianza vizuri na kumtaja mungu sasa unaongea matusi
 
Fanya editing kidogo ya habari yako, uweke na paragraphs, hii inakuwa ngumu sana kuisoma mpakaa mwisho.
Hiyo habari ipo unedited hivyo hivyo kwenye gazeti. Labda ni style tu ya uandishi..
 
Tanzania nchi ya amani na yenye kufuata utawala wa sheria !
Tatizo sheria za nchi yetu linapokuja suala la uchawi au matumizi ya manguvu ya giza ipo kimya sana. Watu wengi wameshapotezewa maisha kwa kupitia hayo manguvu ya giza. Nadhan kwenye huu mchakato wa katiba mpya tuweke kajiclause at least ka kuwatisha hawa maengineer wa hayo manguvu. Hivi hivi tutataumizana sana. Kama hayo manguvu ya giza yana manufaa chanya si watutatulie tatizo la umeme kwa kutumia hizo nguvu zao za giza????wenzetu technologia inawapeleka mbele, sisi technologia giza inaturudisha nyuma??mhhhh kaaz kweli kweli, Pole mpiganaji ukirecover toka huko magambani watakumaliza. Nlihisi siku nyingi kuwa hata kile cheo cha unaibu waziri kapewa strategically ili wamkamatie chini. Afu pia nahisi hawa wachawi hata ss watanzania kwa ujumla wetu wameshaturoga, mana sio bure! Response yetu kwenye sensitive issues (km malipo ya dowans, kagoda, meremeta, kiwira, deepn green, na mengine meng) kwa kweli inatia shaka sana.
 
du! kazi ipo lakini hakuna jinsi maisha ndivyo yalivyo siku zote wenye kutetea haki hawahitajiki! matajiri ni wachache ila wanatuvuruga kwa umaskini wetu kwa kweli hakuna mazingira yanyonishawishi kuwa huu haukuwa mpango. lakini kinachoniuma zaidi ni kushiriki kikamilifu kwa serikali tunayofikiria tunaitegemea.
hata kama hatusali basi tutafakari wimbo wetu wa taifa
kama ni kweli inaumiza sana na sielewi unapata faida gani kwa kuhusika na mauaji yasiyo na hatia.
tukisema viongozi wetu mmnejiunga na dini za mashetani mnaanza na sisi sasa hiki ni nini sasa?
 
ulianza vizuri na kumtaja mungu sasa unaongea matusi
Mambo yenyewe yanachanganyachanganya hadi muungwana anaweza kupoteza sifa na kuanza kumkufuru mungu, yani mambo yanakwenda dhohoflihali.
 
ili iweje? Would u go to muhimbili wakati umesharipoti yote hayo agaisnt serikali na uwt?

yule ni waziri mwandamizi serikalini
angeonyesha njia kuwa ni mzalendo na yuko tayai kutibiwa wanakotibiwa watanzania wengine
 
yule ni waziri mwandamizi serikalini
angeonyesha njia kuwa ni mzalendo na yuko tayai kutibiwa wanakotibiwa watanzania wengine

Watanzania wengine wanatibisa sehemu mbalimbali nchini, na wengine wanatibiwa Nairobi, na wengine London na siwezi kushangaa wapo wanaotibiwa Dubai au India. Ni dhana isiyo sahihi kusema kuwa uzalendo ni kuchagua mahali ambapo unatibiwa. Watanzania siyo wote wanatibiwa Muhimbili; wapo wanaotibiwa kwa waganga wa kienyeji - tena inadaiwa kuwa watanzania wengi bado wanategemea tiba za jadi. So kwanini iwe kutibiwa Muhimbili (swali lako la awali).

Mgonjwa ni mgonjwa na ugonjwa hauna uzalendo. Sijawahi kusikia mahali popote ambapo mgonjwa anatakiwa kuonesha uzalendo kwa kukataa matibabu kwa sababu ati yanapatikana nje ya nchi. Ni uzalendo usio na mantiki wa mtu kusema ati usikubali kutibiwa nje ya nchi kwa sababu Watanzania wengine wanatibiwa ndani ya nchi. Hiki kipimo cha uzalendo kwanini kisiende mbali zaidi; Watanzania wangapi wanaenda shule na vyuo ndani ya TAnzania - ni wengi sana? Sasa kwanini wengine waende nje ya nchi? Je kwenda kutafuta elimu nje ya nchi ni kukosa uzalendo? Na unaweza kwenda mbali kwenye mambo mengine vile vile. Vipi watu wanaoenda kufanya biashara nje ya nchi; kwanini wasifanye biashara hizo ndani ya nchi kama ni wazalendo?

Nadhani hoja ambayo watu wanataka kuitoa ni hoja ya tofauti kabisa na wala haihusiani na uzalendo. Ni hoja ya kwanini taasisi zetu za afya hazijafikia kiwango cha kutoa huduma ya tiba hadi kufanya magonjwa kama haya na mengineyo yatibike hapa hapa nchini vile vile? Hili ni swali zuri sana na kwa kweli watawala wetu hawana majibu. Lakini halihusiani na uzalendo.
 
Kwanini hakusema siri yote bungeni??????ni mnafiki japo ana haya kidogo ila wacha wapungue tuchue jimbo kule hawaibi kama igunga rip Dr.

PENYE RED:
Ina sikitisha sana kama binadamu mwenye akili timamu unaweza mtakia mwenzako kifo. Mungu akurudishie hayo maombi yako MARA SABA. mtu yupo hai unamwambia RIP DR. Mungu akusamehe na kukupa haki yako kama nilivyoomba.

Bado DR na Prof tunawahitaji Mbeya na Tanzania nzima
 
Back
Top Bottom