Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Taharifa sio ngeni hii, nishawai kuisoma ktk mwanahalisi i think mwaka jana, kuna vitu vimefichwa ktk taharifa hii ya sasa hapa jamvini, kuhusu uyo sheikh nakumbuka aliandikwa marehemu sheikh Yaya Husein, kuhusu gari la lililowabeba gari la Nissan Patrol nakumbuka alisema ni gari mali ya kampuni ya CASPIAN (kampuni ya Rostam).
My take: Hii taharifa si ya kuipuhuza.
 
Taifa halina vijana limedorora! wengi ni waoga na wanafki.

walio wanafki wamo ndani ya nchni wakijifanya wapenzi wa CCM na wafuasi wa Mafisadi kwa kila hali, huku waogo wamekimbilia nje ya nchni wachache wao wamo ndani ya nchni lakini hawana uwezo wakuongea wala kuhoji lolote wametekwa na wamedhoofika kiakili.

Kikwete amemaliza kazi yake mjinga ni Polisi, UWT, JWTZ, Lowasa na Wakristo waliopo CCM wote, sasa umeundwa Mtandao wa Makamba, Omary, Rizi, Jamaa mmoja wa CDM, Jussa nk.

Ila kwangu mimi naona ni wakati muhafaka ni critical point, siku zote ujinga wa wanasiasa ni kuvuruga nchni wakati wao ndio wana vyakupoteza kuliko wale wanaowatibuwa, tusubiri tuone nani atapoteza, labda wakimbilie Oman na Iran kama walivyofanya wale wa wakati Mapinduzi ya Zanzibar maana wengine tayari tunaona watoto wao wanawekeza polepole Urabuni ila wajue Dunia ya leo siyo ya Jana. yupo wapi Qadhaffi na makochi ya Dhahabu na msururu wa mabikira?!
 
Hii habari si mpya ilishawahi kutolewa hapa jamvin lakin hata hivyo tunashukuru kwa kutukumbusha naamini ugonjwa wake hautofautiani na habari hii, hii inamaana jeshi la polisi halikufanyia kazi tuhuma hizi na wala halikumpa ulinzi unaostahili na ndo maana hali hii imemkuta. Kwa ugonjwa unaotajwa kwa kawaida mtu angalau huwa anakuwa na historia ya kupata allergy ya mtindo huo, coz source zote zinaonyesha ana exfolative dermititis kulingana na visababishi toka utotoni hadi sasa lazima angesema anahx ya allergy kama imemkuja ghafla basi yawezekana kabisa inauhusiano na hii scenario. Lakin hakuna siri chini ya jua tutajua tu. Mungu umjalie afya njema Dr Mwakyembe na Prof. Mwandosya wapone haraka waje tulijenge Taifa.

sio kwamba alichokifanya ni kufanya reference kwamba kilichoandikwa kipindi kile kinawezekana kikawa na ukweli ndani yake..
 
kwa maana hiyo we conclude HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI HAINA TIBA KWA'' MAGONJWA MAKUBWA AU HAINA TIBA KWA WAKUBWA TUU''

Mkuu mimi najifunza kutoka kwako leo kuwa kumbe mamia ya watoto kwa wakubwa wanaopelekwa India kwa upasuaji na matibabu mbalimbali kila mwaka kwa ufadhili wa Lions Club, Lottery Club, Mengi na Serikali, ni makundi ya unaowaita wakubwa! Mwaka jana familia ya Msoffe ilipata bahati ya kumpeleka mtoto wao India kwa matibabu. Ni familia ya kawaida kabisa, sana sana baba ni Mwenyekiti wa Mtaa na mtoto wake wakati huo alikuwa na umri wa miaka mitatu! Ukubwa huu unaouongelea ni wa umri, cheo kisiasa au wa nguvu za giza? Hivi yote haya yanakuja kwa ajili ya Mwakyembe tu, lakini wakipelekwa nje akina Mrema, Kubenea, Sheikh Simba n.k. hakuna shida!
 
Mwakyembe ni Mnafiki na malaya wa kisiasa, hana tofauti na Samwel Sita!
I equate this contribution with something that comes out of his rear end!
Mbaya zaidi mtu kama huyu anatumia jina linaloheshimika katika jamii-endelea kucheka wakati wengine wanalia!
 
Naona hapa walengwa wote ni wale potential candidate wa urais mwaka 2015 (e.g Membe and Mwandosya), then wale wapiganaji dhidi ya ufisadi, Dr. Slaa, Mwakyembe, Kilango na Mengi. Wahusika wa mpango huu mchafu litakuwa ni lile kundi la EL na RA. Hawa watu wawili ni hatari sana kwa taifa letu.
 
Taifa halina vijana limedorora! wengi ni waoga na wanafki.

walio wanafki wamo ndani ya nchni wakijifanya wapenzi wa CCM na wafuasi wa Mafisadi kwa kila hali, huku waogo wamekimbilia nje ya nchni wachache wao wamo ndani ya nchni lakini hawana uwezo wakuongea wala kuhoji lolote wametekwa na wamedhoofika kiakili.

Kikwete amemaliza kazi yake mjinga ni Polisi, UWT, JWTZ, Lowasa na Wakristo waliopo CCM wote, sasa umeundwa Mtandao wa Makamba, Omary, Rizi, Jamaa mmoja wa CDM, Jussa nk.

Ila kwangu mimi naona ni wakati muhafaka ni critical point, siku zote ujinga wa wanasiasa ni kuvuruga nchni wakati wao ndio wana vyakupoteza kuliko wale wanaowatibuwa, tusubiri tuone nani atapoteza, labda wakimbilie Oman na Iran kama walivyofanya wale wa wakati Mapinduzi ya Zanzibar maana wengine tayari tunaona watoto wao wanawekeza polepole Urabuni ila wajue Dunia ya leo siyo ya Jana. yupo wapi Qadhaffi na makochi ya Dhahabu na msururu wa mabikira?!
Mkuu usichanganye madesa unaharibu.Kwanza ni kuwa disrespect kina dada ambao taaluma yao ni uanajeshi ama uaskari polisi,sasa wewe umeona ubikira tu?Ama wasingekuwa bikira basi pointi haingemake sense?
 
Naona hapa walengwa wote ni wale potential candidate wa urais mwaka 2015 (e.g Membe and Mwandosya), then wale wapiganaji dhidi ya ufisadi, Dr. Slaa, Mwakyembe, Kilango na Mengi. Wahusika wa mpango huu mchafu litakuwa ni lile kundi la EL na RA. Hawa watu wawili ni hatari sana kwa taifa letu.
Hivi mtandao bado upo intact?
 
Mwakyembe alikosea alipokubali uwaziri,ule ulikua mtego ili awe karibu na mafisadi wammalize
 
Mwakyembe ni Mnafiki na malaya wa kisiasa, hana tofauti na Samwel Sita!

Malaya wa kisiasa ni mtu wa kutangatanga toka chama hiki kwenda kingine, kama vile Lyatonga, Mpendazoe, Marando, Maghimbi, Shibuda, Tambwe Hiza, Shitamballah n.k. Sitta na Mwakyembe wametangatanga kutoka wapi na kwenda wapi kustahili nkuitwa malaya wa kisiasa? Lililo wazi hapa Mkuu, hii miamba imekuzidi sana elimu, upeo, uelewa hata ueledi. Ni kesi ya kichuguu kuumwagia matusi Mlima Kilimajaro!
 
Malaya wa kisiasa ni mtu wa kutangatanga toka chama hiki kwenda kingine, kama vile Lyatonga, Mpendazoe, Marando, Maghimbi, Shibuda, Tambwe Hiza, Shitamballah n.k. Sitta na Mwakyembe wametangatanga kutoka wapi na kwenda wapi kustahili nkuitwa malaya wa kisiasa? Lililo wazi hapa Mkuu, hii miamba imekuzidi sana elimu, upeo, uelewa hata ueledi. Ni kesi ya kichuguu kuumwagia matusi Mlima Kilimajaro!
Kama kuhama chama kimoja kwenda kingine ni umalaya wa kisiasa basi tumefikia mwisho wa kufikiri. Hivi ukiamini katika umalaya untaitwaje? Na mkiongozana na malaya mtaitwaje? Na anayemteua malaya kushika nafasi nyeti ataonekanaje? Vipi kuhusu JK, Wasira (CCM - NCCR Mageuzi - CCM) na baraza la mawaziri?
Siasa ni itikadi na utashi ndugu zangu.
 
Malaya wa kisiasa ni mtu wa kutangatanga toka chama hiki kwenda kingine, kama vile Lyatonga, Mpendazoe, Marando, Maghimbi, Shibuda, Tambwe Hiza, Shitamballah n.k. Sitta na Mwakyembe wametangatanga kutoka wapi na kwenda wapi kustahili nkuitwa malaya wa kisiasa? Lililo wazi hapa Mkuu, hii miamba imekuzidi sana elimu, upeo, uelewa hata ueledi. Ni kesi ya kichuguu kuumwagia matusi Mlima Kilimajaro!

Umeshindwa grasp hata hiyo kauli yangu. Jaribu kufikiri hata kidogo utapata weledi....unajua uhusiano wa CCJ na wahawa Sita, Mwakyembe na Nnape?
 
Acha matusi wewe! Nyie ndo wale wote mnaofaidika na ufisadi wakati wengine tunaumia nyie mnachekelea.Fisadi Mkubwa weee!

Huna kosa wewe ni yule aliyeanzisha shule za kata! Unashindwa kuelewa obvious stuff......akili gani hii?
 
Haya mambo yanatisha kwa kweli.
Mkuu, usitishike tafakari tu!!Nafikiri sasa waweza connect kwanini Dr wa ukweli hakwenda kuongea/kujadiliana na yule aliyeingia kwenye siasa uzeeni , kule kwenye lile li tele-visione ya Taifa (Ukwe - lina-uhaki-ka!).....Kolimba style.
 
Back
Top Bottom