Kuhusu Morogoro a.k.a mji kasoro bahari

Kuhusu Morogoro a.k.a mji kasoro bahari

Hongereni sana mwanza, huku dar na moro ni kuna shida ya maji ile mbaya....may be wakubwa wanafanya biashara hii ya maji. Ila ni kero mno kuhusu maji katika miji hii....

Poleni sana, huwa napata shida sana ninapotembelea ndugu zangu pale dar na kirakala moro, masuala ya kuoga maji robo ndoo sijazoea kabisa, kwenye bafu wameweka mabomba ya mvua lakin yamekuwa mapambo
 
Poleni sana, huwa napata shida sana ninapotembelea ndugu zangu pale dar na kirakala moro, masuala ya kuoga maji robo ndoo sijazoea kabisa, kwenye bafu wameweka mabomba ya mvua lakin yamekuwa mapambo
Halafu cha ajabu, wanadai bill ya maji eti....aisee, sijui kwanini wanatufanyia hivi sie watu wa mashariki? Ina niuma saana mie, leo hapa tabata kimanga ndo maji yametoka..watu wamefanya sherehee. Ila kule kihonda kaskazini maboma hata tone la maji hakumaa .......daaaahhh, ina kera sana...
 
Halafu cha ajabu, wanadai bill ya maji eti....aisee, sijui kwanini wanatufanyia hivi sie watu wa mashariki? Ina niuma saana mie, leo hapa tabata kimanga ndo maji yametoka..watu wamefanya sherehee. Ila kule kihonda kaskazini maboma hata tone la maji hakumaa .......daaaahhh, ina kera sana...


Huku nane nane yametoka robo saa tu mpaka muda huu bado tunasubiria labda saa sita usiku yatatoka,
 
Ninachowasifu Moro ni kuwa na Gest nyingi sana... Nawapongeza kwa kile kitengo cha kutoa huduma za kiBilojia i.e Kahumba Night Part...
 
Huku nane nane yametoka robo saa tu mpaka muda huu bado tunasubiria labda saa sita usiku yatatoka,


Hii nchi ina vyanzo vingi vya maji, serikali imeshindwa kuyakusanya na kuwafikishia walaji.


Huku Kilimanjaro Wilaya ya Mwanga japokuwa ni milimani lkn bado tuna uhaba wa Maji.
 
maji yatiririka milimani ohoo. Morogoro ohoo kweli yapendeza kuna milima na mabonde. Sisi tunaokaa kihonda tunaishukia sana manispaa yetu maji ni sheeda kwa kweli
mkuu kwa nini umejiita twatwatwa? nakumbuka hili jina ni moja ya vijiji vya jamii ya kimasai huko kilosa
 
Ugonjwa popote tu mkuu, na kwa mtindo huo, utachukia vingi,
 
Naipenda morogoro yangu nimesoma hapo na nimekulia hapo naamini nitarud hapo ipo siku. Nyumbani ni nyumbani jaman semeni yooote ila matunda na vyakula vyakumwaga
Umenena vyema mtu wa home.
 
Ila nasema Moro ni swala la muda tu patakuja kuwa mahali pazuri sana na pia jiji kubwa sana. Wilaya zote za Moro kweli zina utajiri wa ajabu, kwangu mimi huwa nasema hakuna mkoa ulijaliwa utajiri wa ardhi na maji kama Moro. Moro peke yake ikilimwa vizuri inalisha nchi yote
 
Hayo maeneo ya Mtawala mpaka Masika ni maeneo ya kuwekeza sio makazi ya watu ata waliokaa ni kwa kufosi tu wenyeji. Mbona hausemi maeneo ya Liti, msufini, forest, modeco etc etc.

Soko la moro ni siasa ndio inalikwamisha, lile soko linatakiwa kujengwa upya ila wazawa wameweka pingamizi court lisivunjwe....lile soko ni la zamani so limetitia.

Alafu kuhusu kuwepo vibanda vya hovyo kumbuka hii ni third world hakuna mkoa utaenda usikute hayo, ata hapa Dsm . Cha muhimu km umeona havifai basi ndio fursa ya kuwekeza sio kulaumu tu.

Mkuu bado hajafika Kilakala Bong'ola, visole,nugutu area 6, area 5, bigwa,rdd, kwanza unasahau shida zako shida kwa upepo mwanana wa miliman acha kabisha moro naipenda sana
 
Mji feki sana huu wenye karaha ya maji wakati vyanzo vya maji kibao milimani na mindu, eti ndoo mia 600, imekuwa dar jamani, alafu kuna upepo mkali na vumbi jekundu muda wote usiku ndio usiombe
 
Hayo maeneo ya Mtawala mpaka Masika ni maeneo ya kuwekeza sio makazi ya watu ata waliokaa ni kwa kufosi tu wenyeji. Mbona hausemi maeneo ya Liti, msufini, forest, modeco etc etc.

Soko la moro ni siasa ndio inalikwamisha, lile soko linatakiwa kujengwa upya ila wazawa wameweka pingamizi court lisivunjwe....lile soko ni la zamani so limetitia.

Alafu kuhusu kuwepo vibanda vya hovyo kumbuka hii ni third world hakuna mkoa utaenda usikute hayo, ata hapa Dsm . Cha muhimu km umeona havifai basi ndio fursa ya kuwekeza sio kulaumu tu.
Wewe unajua what it takes kaka. Big up
 
Moro ukiyapatia maisha ni sehemu rahisi sana kuishi
Kwanza Moro bei za vyakukula viko chini
 
Nadhani Ulitakiwa Uzingatie Jinsi Ya Kutunza Afya Yako Na Siyo Kulaumu Mkoa Wa Morogoro. Hivi Ungepata Demu Wa Morogoro Halafu UKAMBANDUA Kavukavu ( Bila Condom ) Na Kupata Maambukizi Ya VVU Kisha UKIMWI Ungejilaumu Wewe Mwenyewe Kwa UPOPOMA Wako au Ungeulaumu Mkoa Mzima Wa Morogoro? Kweli Sasa Nimeamini Kuwa Watu Tunapishana Kwa Kuwa Na UPEO Na AKILI Ya Kuchambua Masuala. Safari Bado Ni Ndefu Sana!

Haya mchambuzi wa kimataifa na mtu wenye akili kupita wote humu ndani
 
Ukweli kuhusu moro pia, ni mji ambao watu wabara wengi huamia kwa kasi kwa sababu kuna fulsa nyingi za kimaendeleo. Wengi wao wapo maeneo ya kihonda,,,,,,mnakaribishwa jamani mje Moro mji mzuri, una matunda mengi mno...na pia mzunguko wa pesa ni mkubwa ila kasoro kubwa jamani ni upatikanaji wa maji tu...na maji yapo mengi ila utendaji mbaya wa viongozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom