Kuhusu Morogoro a.k.a mji kasoro bahari

Kuhusu Morogoro a.k.a mji kasoro bahari

abudi alikua anajaribu kupambana angalau maji yapatikane hata ya kisima cha ajabu manispaa ikamnyamazisha hiyo manispaa ya morogoro mjini inawatendaji katili kabisa na hawana huruma na wanachi
 
Panamfaa afande sele hapo uchaguzi ukifika msifanye makosa
 
Uswahili, ujuaji uwongo ni mwingi sana kwenye huo mji,

Usiseme round about yao ni kubwa kupita zote Tanzania, watakufukuza, wenzako wanasema ni kubwa Afrika Mashariki na kati, wakati akiongea hayo nzi wamejaa kwenye kiatu hajakifua tangu akinunue, utajiuliza hiyo comparison alifanya akiwa wapi.

Baadhi ya vituo vya daladala vipo 100 metres apart, mfano: kuelekea Bigwa - toka rombo unakwenda mita 100 Lyasembe, mita 50 toka hapo ni Yehova, mita 75 toka hapo ni mwanzo wa makaburi, mita 50 toka hapo ni mti mkubwa, mita 70 toka hapo Ikweta.....mnaojua jazieni vinavyofuata nimesahau

Usipo ugua typhoid na UTI hukuwa mji kasoro bahari labda ulikuwa kwingine

Usafi wa round about hauakisi usafi wa ndani ya mji na vyoo vya public, ushahidi nenda kwenye vyoo vya migahawa, vituo vya mafuta, maofisi ya serikali na taasisi zake, vyuo vya ualimu veta nk utajionea kulivyo hovyoooo wakati viongozi wa hizo taasisi wapo kwenye suti day n night

Vitu fake vilivyoshindikana kuuzika Dar kama vipodozi, madawa ya binadamu na mifugo nk vimejaa kila kona ya mji

Ndoa za watu kudukuliwa ni kama kupokezana sigara kwa wavutaji, nilichoka niliposikia driver wa bus anasimulia kuwa mfanyakazi mwenzake hajapata unyumba miezi sita hivyo hajafika kazini kaenda baraza la usuluhishi, hayo ni baadhi ya niliyoyakuta hukooo kusiko na bahari pamoja na kuwa na kila kitu according to them
 
huku nanenane tumeshaona nikawaida yaani maji hutoka kila baada ya siku 12, nashindwa kujua nikwalipi moro imefanya vizuri na inastahili pongezi kwani kila kitu naona kawaida sana.
sasa hio ya maji kwa baada ya siku 12 mbona ipo sana hata sebuleni kwenu Daslaam..pita maeneo ya Sinza,kjtnyama na kote tuu kuna mabomba lakini hayatoi maji hadi yanaota kutu...mimi unyamwezini siondoki banaa hata wanifungie kwenye sanduku la chuma na kufuli juu natoka narudi mamtoni..mamtoni ni mamtoni tu maji bwerereeee!!!hapo sasaaa.
 
Sijakusoma hapo MARXLUPS......
Baadhi ya vituo vya daladala vipo 100 metres
apart, mfano: a bigwunat100Lyamita 75
 
Mimi nilipokuwa nasoma Mzumbe niliambulia typhoid bora hata ningeenda vyuo vingine, I hate Morogoro sana

Nadhani Ulitakiwa Uzingatie Jinsi Ya Kutunza Afya Yako Na Siyo Kulaumu Mkoa Wa Morogoro. Hivi Ungepata Demu Wa Morogoro Halafu UKAMBANDUA Kavukavu ( Bila Condom ) Na Kupata Maambukizi Ya VVU Kisha UKIMWI Ungejilaumu Wewe Mwenyewe Kwa UPOPOMA Wako au Ungeulaumu Mkoa Mzima Wa Morogoro? Kweli Sasa Nimeamini Kuwa Watu Tunapishana Kwa Kuwa Na UPEO Na AKILI Ya Kuchambua Masuala. Safari Bado Ni Ndefu Sana!
 
sasa hio ya maji kwa baada ya siku 12 mbona ipo sana hata sebuleni kwenu Daslaam..pita maeneo ya Sinza,kjtnyama na kote tuu kuna mabomba lakini hayatoi maji hadi yanaota kutu...mimi unyamwezini siondoki banaa hata wanifungie kwenye sanduku la chuma na kufuli juu natoka narudi mamtoni..mamtoni ni mamtoni tu maji bwerereeee!!!hapo sasaaa.

Kuna mada ilianzishwa humu ikisema Mnyika atang' oka Ubungo kisa maji hakuna. Nikichangia mada hiyo niliuliza ni mji gani kuna maji ya Uhakika hapa Tanzania? Watu wote walikosa majibu. Suala la ukosefu wa maji ni janga kuu nchi nzima. Siyo Moro, Siyo Dodoma, Tabora,Mtwara, Njombe, Dar, Kahama,Arusha, et al! Labda kule Zanzibar, ila huku Danganyika Mainland bado suala hilo ni shida sana
 
Acheni majungu, ukiondoa Dsm, arusha na mwanza hakuna mkoa mzuri kwa maisha kama Morogoro. Kuhusu uzuri wa mji labda umeishia msamvu ila ukiingia town ni bonge la mji.

Maji tele labda kama unakaa nje ya mji, vyakula easy,biashara unafanya ukiwa mjanja etc etc.
 
Acheni majungu, ukiondoa Dsm, arusha na mwanza hakuna mkoa mzuri kwa maisha kama Morogoro. Kuhusu uzuri wa mji labda umeishia msamvu ila ukiingia town ni bonge la mji.

Maji tele labda kama unakaa nje ya mji, vyakula easy,biashara unafanya ukiwa mjanja etc etc.

Mkuu tazama nyumba zilizo sehemu ya kuanzia msamvu kuelekea mjuni kama mtawala, komoa hadi masika hazikutakiwa kua hivyo na tuligemea sehemu hizo kwa serikali na miji iliyomakini pangekua na nyumba na vitega uchumi safi, tazama soko kuu lilivyo, tazama maeneo yanayozunguka msamvu hasa upande wa kulia kuekea Dar hapakupaswa kua vile kwani ni mahali pazuri kiuchumi ila pameachanizwa kwa kujenga vibanda visivyo na tija sana....
Ila Moro nisehemu ambapo binafsi napaona nipazuri sana kwa kuishi hasa pembeni ya mji ila vumbi lililo baadhi ya mitaa ya moro unaweza kata tamaa ya kuishi mkoa wa morogoro.
 
Mkuu tazama nyumba zilizo sehemu ya kuanzia msamvu kuelekea mjuni kama mtawala, komoa hadi masika hazikutakiwa kua hivyo na tuligemea sehemu hizo kwa serikali na miji iliyomakini pangekua na nyumba na vitega uchumi safi, tazama soko kuu lilivyo, tazama maeneo yanayozunguka msamvu hasa upande wa kulia kuekea Dar hapakupaswa kua vile kwani ni mahali pazuri kiuchumi ila pameachanizwa kwa kujenga vibanda visivyo na tija sana....
Ila Moro nisehemu ambapo binafsi napaona nipazuri sana kwa kuishi hasa pembeni ya mji ila vumbi lililo baadhi ya mitaa ya moro unaweza kata tamaa ya kuishi mkoa wa morogoro.

Hayo maeneo ya Mtawala mpaka Masika ni maeneo ya kuwekeza sio makazi ya watu ata waliokaa ni kwa kufosi tu wenyeji. Mbona hausemi maeneo ya Liti, msufini, forest, modeco etc etc.

Soko la moro ni siasa ndio inalikwamisha, lile soko linatakiwa kujengwa upya ila wazawa wameweka pingamizi court lisivunjwe....lile soko ni la zamani so limetitia.

Alafu kuhusu kuwepo vibanda vya hovyo kumbuka hii ni third world hakuna mkoa utaenda usikute hayo, ata hapa Dsm . Cha muhimu km umeona havifai basi ndio fursa ya kuwekeza sio kulaumu tu.
 
Hayo maeneo ya Mtawala mpaka Masika ni maeneo ya kuwekeza sio makazi ya watu ata waliokaa ni kwa kufosi tu wenyeji. Mbona hausemi maeneo ya Liti, msufini, forest, modeco etc etc.

Soko la moro ni siasa ndio inalikwamisha, lile soko linatakiwa kujengwa upya ila wazawa wameweka pingamizi court lisivunjwe....lile soko ni la zamani so limetitia.

Alafu kuhusu kuwepo vibanda vya hovyo kumbuka hii ni third world hakuna mkoa utaenda usikute hayo, ata hapa Dsm . Cha muhimu km umeona havifai basi ndio fursa ya kuwekeza sio kulaumu tu.


Hapo umeongea hoja ya msingi mkuu.
 
Naipenda morogoro yangu nimesoma hapo na nimekulia hapo naamini nitarud hapo ipo siku. Nyumbani ni nyumbani jaman semeni yooote ila matunda na vyakula vyakumwaga
 
Mtoa mada unaizungumzia moro town ipi??? Coz me nimekaa hapo kihonda uwanja wa ndege maji ya uhakika zaidi hata ya kinondoni, km huamini nenda sehemu za kimara bonyokwa uone kulivokuwa na tabu ya maji then compare na moro town, moro pako poa tu.
 
kama vipi basi njoo Moro
 

Attachments

  • se.jpg
    se.jpg
    76.8 KB · Views: 201

Similar Discussions

Back
Top Bottom