chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Leo nimeshtuka sana baada watu wakimnadi ray vanny kafungua mgahawa wake.
Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi
Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho.
Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi nimuulize .
Nyie WCB embu kuweni na aibu na vitu vingine.
Mshikaji wangu ndio project hiyo na tokea mwanzo alikuwa na hii kitu.
Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi
Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho.
Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi nimuulize .
Nyie WCB embu kuweni na aibu na vitu vingine.
Mshikaji wangu ndio project hiyo na tokea mwanzo alikuwa na hii kitu.