Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Wadau naombeni kuuliza kwa wale walioomba mikopo bodi ya mikopo, mkiingia kwenye akaunti zenu mnakuta mmeandikiwa nini? Mi nimewaangalizia watu wawili nakuta wameandikiwa hawakuomba mkopo kwa mwaka huu! Na wakati wameomba na fomu za maombi wakatuma kwa ems kama bodi walivyoelekeza. Nyie mnaona nini kwenye akaunti zenu?
Natanguliza shukrani.
Mtakuwa mnakosea ku format index number.inatakiwa kuachanisha ceter namber na namba ya mwanafunzi kwa nukta sio mkato.mfano
S2078.0056.2009
 
Wadau naombeni kuuliza kwa wale walioomba mikopo bodi ya mikopo, mkiingia kwenye akaunti zenu mnakuta mmeandikiwa nini? Mi nimewaangalizia watu wawili nakuta wameandikiwa hawakuomba mkopo kwa mwaka huu! Na wakati wameomba na fomu za maombi wakatuma kwa ems kama bodi walivyoelekeza. Nyie mnaona nini kwenye akaunti zenu?
Natanguliza shukrani.

dah kama mambo yenyewe ndo haya watoto wa wakulima vyuo aziwea.
 
Hii kitu naona ni wote tumeandikiwa hvyo, itakuwa database ya HESLB ina kutu
 
UKIANDIKA HIVI INAGOMA

S/076/075/2013
JARIBU KUANDIKA HIVI

S076.075.2013
 
Mtakuwa mnakosea ku format index number.inatakiwa kuachanisha ceter namber na namba ya mwanafunzi kwa nukta sio mkato.mfano
S2078.0056.2009
Umejaribu ukitenganisha kwa mkwaju akaunti inafunguka?
 
Back
Top Bottom