Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Ni kweli wameandika hivyo,nadhani ni error tu watabadilisha
 
Acheni kutupotosha bhana... Hawajatangaza... Presha sitak
 
Jaman wakuu naomben mnielekeze namna.ya kuingia kweny account n details gan unatakiwa kuzijaza ili kuingia? Pls
 
Itabidi watu wakapange foleni hapo Sam Nijoma copy ya fomu zao mkononi pamoja name risiti ya EMS
 
Hii thread inatakiwa wanafunzi wote wacheki profile zao nawatupe mrejesho. Au ndo serikali imeamua kubana matumizi na huku? Haki ya paka twaaaaffffaaaaa!!! Wale wanaoshindwa kuingia kwenye profile zao wani pm niwachekie Muhimu form 4 index no. Password
 
nyie elekezeni unaangalia vp, sio kujamba jamba umu. mnakera wengine
 
Back
Top Bottom