Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

huyo ali logout akaandikiwa *You have successfully logout* sa akahisi ndo succesfully secured the loan kumbe majanga
Kazi kweli kweli. Alikuwa anashawishi waombaji wamtumie Form Four Index No. na Password zao awasaidie kuangalia! Sijui ana lengo gani, watu hamjuani badala ya kutoa ushauri anataka kuibgilia usiri wa wengine.
 
Kazi kweli kweli. Alikuwa anashawishi waombaji wamtumie Form Four Index No. na Password zao awasaidie kuangalia! Sijui ana lengo gani, watu hamjuani badala ya kutoa ushauri anataka kuibgilia usiri wa wengine.

dah yani acha me nilijua hili janga nila peke yangu kumbe tupo nyomi maana nilianza kuwaza labda hawa jamaa wa posta waliifungia mandazi nin fomu yang ya mkopo
 
Hizo taarifa si Za kweli msiziamini.. Subr heslb watoe tangazo la kuangalia
 
1476021720851.png
me nakuta ivi akati teyari Nina hardcopy asaa selewi bodi imepatwa na nini
 
Bado hawajatoa majna ya mkopo nyie mnapoteza tu mda
Hata kama hawajayatoa hua wanaweka loan a location kwenye profile lako, na kama hujapata wanakueleza na wanakupa sababu kwa nini hujapata inaweza ukawa pia unavigezo vyote vya kupata ila pesa hakuna watakuambia "budget exhausted" na mambo mengine mengi hivyo ni bora ukaangalia profile lako kama ni miongoni mwa wanaotegemea mikopo ili ujue nini cha kufanya mkuu
 
Hata kama hawajayatoa hua wanaweka loan a location kwenye profile lako, na kama hujapata wanakueleza na wanakupa sababu kwa nini hujapata inaweza ukawa pia unavigezo vyote vya kupata ila pesa hakuna watakuambia "budget exhausted" na mambo mengine mengi hivyo ni bora ukaangalia profile lako kama ni miongoni mwa wanaotegemea mikopo ili ujue nini cha kufanya mkuu
Ndo wanasema sasa hatujaapply mwaka huu 2016/2017
 
Kazi kweli kweli. Alikuwa anashawishi waombaji wamtumie Form Four Index No. na Password zao awasaidie kuangalia! Sijui ana lengo gani, watu hamjuani badala ya kutoa ushauri anataka kuibgilia usiri wa wengine.
Mmmmmh ni hataree ni kweli watu hatujuani nasiio vizur
 
Hiki ndicho kipindi cha presha Kwa wanachuo wapya,maisha ya chuo Bila Boom ni magumu sana hasa Kwa sisi tunaotokea kwenye familia masikini Ila msijali ndugu zangu watawapa tu
 
Back
Top Bottom