bayfe
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 548
- 256
Kwani nawe unasubiri mkopo mkuu?Jaman kuna MTU kanipgia cm saizi kwamba bodi ya elimu ya juu imetoa %za mikopo Leo ni kwli wadau?
Kwani nawe unasubiri mkopo mkuu?Jaman kuna MTU kanipgia cm saizi kwamba bodi ya elimu ya juu imetoa %za mikopo Leo ni kwli wadau?
Hiyo statement ni ya hatari sanaKwangu imeandikwa not secured
Nimechek mchana mkuuu!!Chachasteven umecheki muda gani kozi hiyo statement ni noma
Hapana mkuu naona ni kwa wotee hata wa MD wameandikiwa hvoo.Hiyo statement ni ya hatari sana
Kama n mtoto wa tajir unasoma tu bila was was lakn ss wengne degree ndio itakua imeishia apowanipe mkopo wasinipe chuo kama kawa
A cha uongo weweNot secured means umekosa mkopo bt watatoa batch nyingine
Umekosea index number we weWakuuu kila nikiandika yale maneno ya chin naambiwa nmekosea kunini????msaada kwa anaye jua pls
Kwa uandishi Huu???Jaman kuna MTU kanipgia cm saizi kwamba bodi ya elimu ya juu imetoa %za mikopo Leo ni kwli wadau?
Sasa uongo wangu nini,wewe subiri wakuandikie hivyo ndiyo uone.Ila wanatoa Kwa awamuA cha uongo wewe
Kwani tayari wameshawaandikia hivyo?Not secured lon,,,uduanz huuu sasa lakin chuo lazimaaa,,,,,,batch lin mkuuu