Nenda google andika OLAMS ikisha funguka utaandika index no. Ya form four na pass word yako ulioitumia wakat wa kuaplly kisha ingiza security code kama ilivyoandikwa then LOGINMkuu kabwekasoma nawezaje kuangalia? Hebu nipe njia ya kuangalia
Daaaaaaa nimeenda vzr sasa nimesahau password VP mbona hakuna sehemu ya forgot passwordNenda google andika OLAMS ikisha funguka utaandika index no. Ya form four na pass word yako ulioitumia wakat wa kuaplly kisha ingiza security code kama ilivyoandikwa then LOGIN
Daa ni pm details zako tufanye recovery ya passwordDaaaaaaa nimeenda vzr sasa nimesahau password VP mbona hakuna sehemu ya forgot password

!! Na !!! Nimesahau nilipowekaMAELEKEZO YA KUINGIA BODI YA MKOPO
1.Google search.
![]()
2.heslb
![]()
3fungua hiyo link ya heslb.
![]()
4.Anglia sehemu wameandika
""Registered user log in""
![]()
4.ukisha log in
![]()
5.itatokea chart inatakiwa ujaze sehemu tatu.
![]()
!/Form four index
![]()
!!/Password yako
![]()
!!!/Security code
![]()
Mwisho...
Your good designer
Icho ni kitu ambacho nmekikuta asee ..sjaongeza wala sjapunguza kitu.kabwekasoma said:Your good designer
Daaah ni kweli iyo kituIcho ni kitu ambacho nmekikuta asee ..sjaongeza wala sjapunguza kitu.
dah kweli bodi wanazngua me mwenyewe nimekuta wameniandikia siku apply mkopo wkt nili omba nanikatuma fomu kwa ems na jina langu kwa wale waliokosea halipo aisee huu mwaka wetuHawa bodi wanachanganya sana kwa kweli. Kuna dogo nimeingia kwenye profile yake wanasema did not apply for loan ila ukienda kuangalia kwenye wenye fomu zenye makosa dogo huyo huyo anaandikiwa fomu yake haina makosa yoyote. Sasa unajiuliza inakuwaje wana fomu yake isiyo na makosa halafu waseme hakuomba mkopo? Kazi sana kwa kweli.
Wewe vip umejaribu iyo makituKuingia kwenye profile zenu za HESLB, ingia www.olas.heslb.go.tz. Kisha ingia 'Applicat's Loan Status'.
Kisha ingiza index namba yako ya form four. Halafu ingiza passworsds (ambazo ni herufi mchanganyiko zinazoonekana kwa kwa chini kidogo ya kibox cha kuweka passwords.
Hapo utakuta details zako i.e Jina lako, Chuo ulichochaguliwa, Course utakayosoma, Mwaka wa masomo na Loan Status yako ikiwa kama umepata au la.