Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Mimi alocation ya loan inaniambia nimekosea zile code japo nimeandika kama zilivyo
 
Not secured for a loan,ni neno nilolichukia sana mwaka jana na kuninyima raha ila batch ya tatu ilipotoka na mzigo kusoma nilipumua kidogo japo ada nimelipiwa kidogo.Chuo siyo ada bt chuo ni chakula,malazi na stationary hapo ndipo panapomaliza pesa
Kwel mwamb
 
Naomba kuuliza,kwan niwote waloandikiwa hiv?you have not secured lon???aloandikiwa tofaut yaan kapata emb aseme maana huenda mikopo bado afu tunaumizaaa vichwaaaa
 
Bado hawajatoa wakitoa mtaona tu na kutangaza watatangaza,prfl ya kuombea mkopo ni tofauti na yakuangalia Loan allocation kwahiyo msubiri tu.Kilio kinakuwaga kikubwa pale unapoona neno not secured
 
Cjajua utaratibu wa mwaka huu Ila kama wakitoa utaona tu humu ndani
 
Ukipata mkopo uwa wanakuandikia kiasi ulichopewa na vitu vingine kama Research,special faculty,stationary etc
 
Ukipata mkopo uwa wanakuandikia kiasi ulichopewa na vitu vingine kama Research,special faculty,stationary etc
Ivi kwanz hizi taarifa za kwel wakuu???maan sijaona taangazo llte ata kweny web yao
 
Ndo wanasema sasa hatujaapply mwaka huu 2016/2017
Angalia namba za simu zilizopo kwenye copy ya hile form kisha wapigie watakupa maelekezo ya kutosha na fanya mapema kidogo ili uweze pokea maelezo ya tija badala ya kulalamika huku jf hapatakua na msaada zaidi ya hili ninalokuambia ndugu zanguni
 
Back
Top Bottom