funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,194
- 31,748
Ilani inajieleza na hakuna sehemu Ilani imebadilishwa.Hakuna kikao cha chama kilichoifuta sehemu hii ya ilani(I wish wafanye hivyo tuendelee kutengeneza wataalamu wa AI na wanasayansi wa kwenda Angani badala ya kutumia fedha za posho)Comrade ukiambiwa uandike msimamo wa chama chetu kuhusu katiba mpya kwa sasa utaandika nini?
Swali muhimu...Je mazingira ya kuleta katiba mpya yapo?Je unaleta katiba mpya huku kuna watu hawataki kukaa mezani?