Kuhusu katiba mpya; msimamo wa CCM ni upi?

Kuhusu katiba mpya; msimamo wa CCM ni upi?

Je msimamo wa Ilani ya CCM 2025 uliheshimiwa na wadau wengine kama wanaharakati na vyama vya siasa??
hudhani kuwa response ya wadau na wanaharakati ilikuwa ni matusi,kejeli na kujaribu kuipindua Serikali halali?
Kwa muktadha huu na ishara hizi unategemea CCM iendelee kuchimba kaburi lake yenyewe?
Siku wanaharakati na wapinzani watakapoacha kuitumia hitaji la katiba kama silaha yao ya kuchukua nchi ndio siku muafaka ya kuwa na katiba ya wananchi utafikiwa.
Kamwe isitokee na ni laana kuandaa katiba yenye lengo la kuifuta CCM na mrengo wa Ujamaa.
JE TUNATAKA KATIBA YA KUREJESHA MATAKWA YA WAKOLONI???
Katiba mpya na bora itatokana na CCM na itatoka ndani ya CCM...
Kama kweli unaitaka katiba mpya jenga hoja ukiwa ndani ya CCM na uoneshe namna ambavyo CCM inaweza kuishi madarakani au kuweza kuachia na kurudi madarakani....hii ndio itakuwa akili na sio kwa mwenendo wa sasa wa hooligans na vibaraka wa walami wanaolazimisha katiba mpya bila hata kutaja vipengele vinavyomgusa mwananchi asiye mwanasiasa.
Tatakataka kabisaa hii...hata mtt wa la saba B anaweza ku reason kukuzidi
 
Back
Top Bottom