Mapato yamepungua kwa kuwa transaction taxes ie VAT and the like zimepungua.
Kumbuka, the more you buy goods and services, the more govt makes money...
Wachumi wanasema kuna elacticity of demand. Baada ya serikali kukazania kukusanya kodi, bidhaa nyingi zilipanda bei hivyo watu wengi kupunguza kuzinunua. Hata Wakongo waliokuwa wananunua mali zao Kariakoo, nao nasikia walipunguza kununua bidhaa kutokana na ughali wake.
Kwa hiyo hapo there are two things involved. Serikali kupitia TRA ingeweka refund desk pale Kariakoo na pamoja na mpakani ili wale Wakongo wanaponunua bidhaa, waweze kuwa refund zile kodi walizolipia huku ili kushusha bei ya bidhaa. Hii itachochea kuongezeka kwa mauzo ya bidhaa kariakooo.
The other thing cha kufanyika ni serikali kuangalia uwezekano wa kuwapa wananchi likizo ya kulipa kodi ya VAT kwa mda wa mwaka mmoja (kwa bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi) ili kuchochea kuongezeka kwa mauzo ya bidhaa hasa zile zinazozalishwa ndani ya nchi...
Hii pia itachochea ukuaji wa sekta ya uzalishaji wa bidhaa za ndani ya nchi... Tax holiday hiyo iwe ya kupunguza VAT from 18% to say 5% kwa bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi kwa muda wa mwaka mmoja.
Hili pia litachochea kuongezeka kwa ajira maana viwanda na sekta ya uzalishaji itaweza kuongeza sales (uzalishaji) kitu ambacho kitafanya sekta ya uzalishaji kutoa ajira nyingi zaidi...
The net benefit kwa serikali kwenye hili itaweza kureflect kwenye corporate tax maana sekta ya uzalishaji itaweza kupata faida zaidi!
Lakini pia, if sales figures raises, the govt make more money aggregately.
Tufanye soda moja kwa sasa inauzwa Tsh 500, na wananchi wananunua say kreti laki moja kwa mwezi.
VAT kwenye soda itakapopungua Soda hiyo ingeweza kuuzwa Tsh 435! Na kungekuwa na uwezekano wa kuuza kreti laki moja na nusu kwa mwezi kutokana na punguzo hilo.
So iwapo kwa kreti laki moja, serikali ingepata VAT ya Tsh 2000*100,0000 =200,000,000
Kwa rate ya 5% VAT ingeweza kuwa Tsh 75,000,000! But with this VAT figure, we d expect the corporate profit to increase and compensate for the difference!