Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,038
- 9,353
Nimefuatilia Comment ya Zitto kwenye page yake ya facebook na maudhui yake yaliyoletwa hapa JF, Zitto anaonya kwamba kwa mujibu wa source zake makusanyo na mapato ya serikali yameshuka kufikia around billion 600.
Kusema kweli nimekuwa shocked, nikaona ni vyema kuanzisha uzi hapa JF nikiamini kuwa tunaweza kutoa mawazo yetu Constructively ili kama yatawapendeza wenye maamuzi basi watachukua hili na lile ili kulifanyia kazi, na lau kama hayafai au hayatoshi basi sisi raia tutakuwa tumetimiza wajibu wetu wa kutoa mawazo na maoni yetu kwa mujibu wa katiba inavyoturuhusu.
Swali la Msingi je ni nini hasa huenda kimepelekea hali ya mapato kupungua
Na Je Tufanyeje sasa kama nchi na serikali ili mapato yaweze kuongezeka?
Nakaribisha mjadala!
Kusema kweli nimekuwa shocked, nikaona ni vyema kuanzisha uzi hapa JF nikiamini kuwa tunaweza kutoa mawazo yetu Constructively ili kama yatawapendeza wenye maamuzi basi watachukua hili na lile ili kulifanyia kazi, na lau kama hayafai au hayatoshi basi sisi raia tutakuwa tumetimiza wajibu wetu wa kutoa mawazo na maoni yetu kwa mujibu wa katiba inavyoturuhusu.
Swali la Msingi je ni nini hasa huenda kimepelekea hali ya mapato kupungua
Na Je Tufanyeje sasa kama nchi na serikali ili mapato yaweze kuongezeka?
Nakaribisha mjadala!