ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,901
- 3,858
Kwa haraka user name yako niliisoma kama "Mkojo wa Mange"Wananchi tunajuwa cha kufanya...tar 26 april beba biblia au msaafu ingia road mpaka kieleweke zaidi ya hapo serikali ituambie imefanya nini kabla ya tar 26 maana tunayo list ya vitu mbadala ila italazimu wakati tunafanya wao wawe watazamaji tu...