Kuhusu hali ya kiuchumi, Serikali ifanyeje?

Kuhusu hali ya kiuchumi, Serikali ifanyeje?

Hii ni post ya ngapi sijui unapost kwenye huu uzi. Umebaki kejeli tu, huna data za kweli wala za uongo. Yeye Zitto kaleta za uongo unakataa kakini ww huna hizo za kweli. Haya basi tuchukulie Zito ana data za uongo, basi sema nini kifanyike uchumi utoke hapa ulipo kwenda mbele, hilo nalo huna unaloongea.

Ww ndio wale mafala mlioko hapa jukwaani kujaza server kutetea upuuzi. Tuambie ni kipi kinachofanya TRA wasitangaze mapato kama hali ni nzuri. Kinachowapa tabu mlikuwa watu wa lugha za kejeli ila sasa ukweli uko wazi na hamna mbinu yoyote zaidi ya vitisho vya kijinga.
Siyo lazima uangalie mapato, unaweza kuangalia Treasuries zinazouzwa (bills and bonds), bei yake na Yield. Unaweza kuangalia pia over na under- subscription ya treasury bills na bonds ukajua kama serikali inapata hela kutoka sources nyingine au la.
Miradi ya barabara na reli inafanyika, wafanyakazi wanalipwa na mauzo ya treasuries yapo palepale, hayajaongezeka wala nini.
Sasa wewe huoni kuwa hiyo ni sababu tosha ya kuona kuwa Zitto haongei ukweli? Maana si mara ya kwanza na data zikija baadae mnasema zimepikwa.
Msilazimishe mambo yasiyo ya kweli.
 
Siyo lazima uangalie mapato, unaweza kuangalia Treasuries zinazouzwa (bills and bonds), bei yake na Yield. Unaweza kuangalia pia over na under- subscription ya treasury bills na bonds ukajua kama serikali inapata hela kutoka sources nyingine au la.
Miradi ya barabara na reli inafanyika, wafanyakazi wanalipwa na mauzo ya treasuries yapo palepale, hayajaongezeka wala nini.
Sasa wewe huoni kuwa hiyo ni sababu tosha ya kuona kuwa Zitto haongei ukweli? Maana si mara ya kwanza na data zikija baadae mnasema zimepikwa.
Msilazimishe mambo yasiyo ya kweli.

Sawa kipi kinachofanya yasitangazwe? Huoni inabidi tuamini wengine wanayosema?
 
Sawa kipi kinachofanya yasitangazwe? Huoni inabidi tuamini wengine wanayosema?
Inabidi? Labda kwako ndiyo inabidi uamini wengine (Zitto) wanayosema. Mimi simwamini ashaongea uongo mara nyingi tu.
 
Serikali inawatisha wawekezaji wakubwa na wafanya biashara unategemea nn? Wapo wafanyabisahara wameamua kusimamisha expansion ya biashara zao ili kusoma upepo kwanza maaana hawajui kesho serikali itaamua nini.

Mtu kama Bakharesa au Dewji akiona aliyofanyiwa Manji hata kama ana investment aliyotaka kufanya ni lazina ashike break.

Serikali ijilaumu yenyewe..na tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi
Umesema kitu cha msingi sana.
 
Nimefuatilia Comment ya Zitto kwenye page yake ya facebook na maudhui yake yaliyoletwa hapa JF, Zitto anaonya kwamba kwa mujibu wa source zake makusanyo na mapato ya serikali yameshuka kufikia around billion 600.

Kusema kweli nimekuwa shocked, nikaona ni vyema kuanzisha uzi hapa JF nikiamini kuwa tunaweza kutoa mawazo yetu Constructively ili kama yatawapendeza wenye maamuzi basi watachukua hili na lile ili kulifanyia kazi, na lau kama hayafai au hayatoshi basi sisi raia tutakuwa tumetimiza wajibu wetu wa kutoa mawazo na maoni yetu kwa mujibu wa katiba inavyoturuhusu.

Swali la Msingi je ni nini hasa huenda kimepelekea hali ya mapato kupungua

Na Je Tufanyeje sasa kama nchi na serikali ili mapato yaweze kuongezeka?

Nakaribisha mjadala!
Jambo la kwanza ni, kwa sababu Tanzania badoni nchi inayotawaliwa na "personalities" kwa sana kuliko "policies", ingekuwa jambola busara sana kwa "personality" iliyo na influence kubwa sana kuendenda kwa mienendo ya kujirudi, kupunguza kiburi cha kufikiri inajua kila kitu na kusikiliza wataalamu zaidi.

Mathalani, inawezekana kwa sababu ya kutokuwa na utaalamu, amri kutoka juu zikasababisha kupandishwa kwa kodi,kwa matgemeo kwamba kupandishwa kwa kodi kutaongeza mapato serikalini, bila kuelewa kwamba kupandishwa kodi inabidi kufanywe kwa weledi utakaopima wapi "point of maximum return" ilipo na wapi "point of diminishing returns inafanya kuzidisha kodi zaidi kusiwe na maana.

Wataalamu wa uchumi wanajua habari za "The Laffer Curve", kwamba

laffercurve.gif


Laffer Curve

Sasa, kwa huu mfano mdogo tu (the general idea is right, but the specifics can be hairy), ambao unaweza kutumiwa kwenye habari za taxation na currency control,just to name a few issues that are causing big economic concerns in Tanzania, serikali inaona kupandisha kodi tu au kuzuia hela ziwe BOT tu ndiyo suluhisho la matatizo ya mapato ya serikali na ubadhirifu wa fedha za umma, bila metrics wala control factors au hata exceptins za maana.

Hapo utaona kwamba, serikali inafikiria linear katika mambo yanayoenda kwa curves,inabidi serikaliisikilize wataalam.
 
Mimi nililoliona hasa na nasubiri Utafiti wa Wataalamu kuthibitisha null Hypothesis yangu ni kwamba:

Uamuzi wa kuhamia Dodoma utakuwa umetingisha Imani ya Investments ( Hususan Investors wa ndani), Wafanyabiashara waliokuwa wameinvest Dar hawana uhakika kama biashara zao zitaendelea kuchanua iwapo Maofisi na Watumishi wa Serikali wengi watahama kutoka Dar kwenda Dodoma, hii ni kutokana na kwamba Uchumi wa Dar kiasi kikubwa unachangiwa na serikali kuwepo hapa, kwa hiyo mzunguuko wa fedha ni mkubwa hapa, Watumishi wengi wa serikali wako hapa, hawa kutokana na mishahara yao na marupurupu yao bila shaka biashara kwa Dar zilikuwa zinaenda vizuri na hivyo Serikali kukusanya kodi ya kutosha kutoka mkoa huu!.

Sasa kitendo cha kuhamia Dodoma kwa ghafla au dhana tu ya kuhamia Dodoma, basi imefanya wafanyabiashara wa ndani kuscale back biashara zao, na Watu wamegeuka kuwa " Wahifadhi akiba zaidi kuliko watumiaji".

Kwa hiyo hii imepelekea wafanyabiashara kupunguza importation, matokeo yake lazima mzigo bandarini utapungua na serikali kukosa hela!!

What is the way forward?
Ni lazima serikali itoe incentive za kikodi ( importation) ili Wananchi waresume importation hususan kutoka China ili kuzinusuru biashara za sasa hivi zinazopumulia mashine na kurevive zile ambazo zimekufa, Hali ikishastabilize then serikali inaweza kurudi polepole katika tax regime yake ( importation taxes).

Serikali ikifanya hivi itakuwa ni kama Stimulus package kupitia unafuu wa kodi za forodha!

Busara ya kale inasema, Ili umkamue ngombe atoe maziwa mengi kesho, basi mlishe vizuri leo!!!
Umeongea vizuri nimekupenda bure that is a balanced argument
 
Swali la msingi ni kwanini Manji na sio Dewji na Bakhresa?

Mara ya mwisho Bakhresa na Rais walifungua kiwanda pamoja. Tafakari
Alifungua kiwanda baada ya kuzuia sukari yake bandari na kujisifu aliizua yeye bila sababu yoyote kisha yeye magu akaamrisha sukari hiyo iachiwe. Then akampa bakhresa hekari 10,000 bure alime miwa aanzishe kiwanda cha sukari pamoja na kuamrisha umeme upelekwe hapo kiwandani ndani ya wiki 2. (Bakhresa nadhani sio hiyo alikuwa anacheka kimoyo moyo tu)

Sasa hapo nani mjinga? Kama unadhani alienda tu kufungua kiwanda ujue hao ngozi nyeupe wanajua alienda kujikomba.

Hata kwa dangote mtwara alienda baada ya kunfanyia figisu nyingi sana akaishia kumpa mgodi wa makaa ya mawe bure achimbe mwenyewe.

Wenye akili wanawaangalia mnavyopeleka nchi kuzimu!
 
Kwa hiyo nyie mnakubali na mnaamini makusanyo ya kodi yamepungua mpaka bilioni 600 kwa mwezi? That's absurd! Hamna kielelezo chochote mnachotumia zaidi ya majungu.
Yamepungua sana bro hizo ni kutoka reliable sources
 
When failure comes it comes in an ugly way, this is what is exactly happening to us
Serikali inawatisha wawekezaji wakubwa na wafanya biashara unategemea nn? Wapo wafanyabisahara wameamua kusimamisha expansion ya biashara zao ili kusoma upepo kwanza maaana hawajui kesho serikali itaamua nini.

Mtu kama Bakharesa au Dewji akiona aliyofanyiwa Manji hata kama ana investment aliyotaka kufanya ni lazina ashike break.

Serikali ijilaumu yenyewe..na tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi
 
Alifungua kiwanda baada ya kuzuia sukari yake bandari na kujisifu aliizua yeye bila sababu yoyote kisha yeye magu akaamrisha sukari hiyo iachiwe. Then akampa bakhresa hekari 10,000 bure alime miwa aanzishe kiwanda cha sukari pamoja na kuamrisha umeme upelekwe hapo kiwandani ndani ya wiki 2. (Bakhresa nadhani sio hiyo alikuwa anacheka kimoyo moyo tu)

Sasa hapo nani mjinga? Kama unadhani alienda tu kufungua kiwanda ujue hao ngozi nyeupe wanajua alienda kujikomba.

Hata kwa dangote mtwara alienda baada ya kunfanyia figisu nyingi sana akaishia kumpa mgodi wa makaa ya mawe bure achimbe mwenyewe.

Wenye akili wanawaangalia mnavyopeleka nchi kuzimu!
Swala la msingi haujalijibu?
 
Mimi nililoliona hasa na nasubiri Utafiti wa Wataalamu kuthibitisha null Hypothesis yangu ni kwamba:

Uamuzi wa kuhamia Dodoma utakuwa umetingisha Imani ya Investments ( Hususan Investors wa ndani), Wafanyabiashara waliokuwa wameinvest Dar hawana uhakika kama biashara zao zitaendelea kuchanua iwapo Maofisi na Watumishi wa Serikali wengi watahama kutoka Dar kwenda Dodoma, hii ni kutokana na kwamba Uchumi wa Dar kiasi kikubwa unachangiwa na serikali kuwepo hapa, kwa hiyo mzunguuko wa fedha ni mkubwa hapa, Watumishi wengi wa serikali wako hapa, hawa kutokana na mishahara yao na marupurupu yao bila shaka biashara kwa Dar zilikuwa zinaenda vizuri na hivyo Serikali kukusanya kodi ya kutosha kutoka mkoa huu!.

Sasa kitendo cha kuhamia Dodoma kwa ghafla au dhana tu ya kuhamia Dodoma, basi imefanya wafanyabiashara wa ndani kuscale back biashara zao, na Watu wamegeuka kuwa " Wahifadhi akiba zaidi kuliko watumiaji".

Kwa hiyo hii imepelekea wafanyabiashara kupunguza importation, matokeo yake lazima mzigo bandarini utapungua na serikali kukosa hela!!

What is the way forward?
Ni lazima serikali itoe incentive za kikodi ( importation) ili Wananchi waresume importation hususan kutoka China ili kuzinusuru biashara za sasa hivi zinazopumulia mashine na kurevive zile ambazo zimekufa, Hali ikishastabilize then serikali inaweza kurudi polepole katika tax regime yake ( importation taxes).

Serikali ikifanya hivi itakuwa ni kama Stimulus package kupitia unafuu wa kodi za forodha!

Busara ya kale inasema, Ili umkamue ngombe atoe maziwa mengi kesho, basi mlishe vizuri leo!!!
Ni kwel mkuu.. Mm mwenyewe nikipata kitu kidogo nawaza kutunza zaid kuliko kutumia
 
nilizani kaongea asubuhi hii na kavideo unako

ila ni page umeiokota huko fb inst sijui.

mbona hata mimi naweza nkaanzisha page nkaweka pc za zito na mkanifollow km hamjielewi kumbe.

endeleeni kudis vitu hewa.
Upo sawa mkuu, ila hoja kama hizi kua "pato la serikali limepungu" ni vyema ukajibu kwa fact iliopo bila kujalisha nani kaileta.. Kwaiyo leta tu fact ya ku prove wrong hiyo statement tusonge mbele.. Ni vigum sana kuleta filtration ya social network informations ila dawa ni kuleta fact tu..
 
nilizani kaongea asubuhi hii na kavideo unako

ila ni page umeiokota huko fb inst sijui.

mbona hata mimi naweza nkaanzisha page nkaweka pc za zito na mkanifollow km hamjielewi kumbe.

endeleeni kudis vitu hewa.
Hueleweki
 
Kwa hiyo nyie mnakubali na mnaamini makusanyo ya kodi yamepungua mpaka bilioni 600 kwa mwezi? That's absurd! Hamna kielelezo chochote mnachotumia zaidi ya majungu.
Utakua unaishi kusikojulikana wewe
 
Back
Top Bottom