A
Anonymous
Guest
Nimekuwa nikikutana na scenarios in real life na mitandaoni juu ya malalamiko ya watu zaidi ya mara Tano Sasa kuhusiana na vipimo vya DNA wanalalamika majibu yanayotoka kwa mchemia kutofautiana na majibu yanayofanywa sehemu nyingine ikiwa ni nje ya nchi na hata ndani kupitia maabara ambazo ni reputable kabisa, na mwingine hata kwa kutumia elimu mdogo tu ya group la damu la mtoto ilionesha baba hawezi kuwa uyo alisemwa ndie sahihi kupitia vipimo vya mkemia. Je Kuna namna haya mambo kuanzia ustawi wa jamii watu kuanza kutengeneza empathy na kuona mtoto atakuaje bila baba na kuamua kumsingizia mtu tu ili mtoto awe na right future.
Kwanini icho kipimo kisihiwe free kwa yeyote mwenye kuhitaji afanye popote na maabara zianze kufanya kwa uwazi, huu utaratibu wa kupita kwa ustawi wa jamii na kuanza kusikiliza historia ya wahusika Kuna namna inawezekana inachangia kuleta majibu kulingana na mahitaji na sio kulingana na mAtokeo ya vipimo.
Kama maabara zetu zinapitia vigezo na ukaguzi ili ziaminiwe kufanya kazi basi zipewe uhuru na Hali ya kupima DNA kama vipimo vingine tu au siqnzishwe clinic independ za partenity tests bila kupitishana kwenye hatua za ustawi wa jamii ambako Kuna namna izo kesi hapo juu zinatokea.
Kwanini icho kipimo kisihiwe free kwa yeyote mwenye kuhitaji afanye popote na maabara zianze kufanya kwa uwazi, huu utaratibu wa kupita kwa ustawi wa jamii na kuanza kusikiliza historia ya wahusika Kuna namna inawezekana inachangia kuleta majibu kulingana na mahitaji na sio kulingana na mAtokeo ya vipimo.
Kama maabara zetu zinapitia vigezo na ukaguzi ili ziaminiwe kufanya kazi basi zipewe uhuru na Hali ya kupima DNA kama vipimo vingine tu au siqnzishwe clinic independ za partenity tests bila kupitishana kwenye hatua za ustawi wa jamii ambako Kuna namna izo kesi hapo juu zinatokea.