Mbona CAG huwa kila mwaka anakagua tu ayo makusanyo. Isitoshe skuizi tax zinalipwa mojakwamoja bank ambapo kwa wakati huo huo inaonekana kweny tax systems zilizopo na bot. Ni kujiongeza tu kdg kutafuta ukweli.
Mfano makusanyo Ya Domestic Revenue peke yake hayajawai kushuka 600bn kwa mwaka wa pili sasa hapo bado hujajumuisha customs na non tax revenues kama leseni, kodi za majengo, ushuru wa bandari n.k
Mfano makusanyo Ya Domestic Revenue peke yake hayajawai kushuka 600bn kwa mwaka wa pili sasa hapo bado hujajumuisha customs na non tax revenues kama leseni, kodi za majengo, ushuru wa bandari n.k