Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

Sure mkuu. Zitto yupo vizuri sana up stairs. Huwezi kubishana naye kama hujajipanga. Natamani kama pangekuwa na mdahalo kati yake na mkulu kuhusu hii issue, halafu uwe live . Hapo tungemaliza ubishi kiroho safi.
Mambosasa angeingia kuokoa jahazi na tbc nao wangekata "gafula" matangazo
 
Maneno ya mkosaji. 2020 ni Zaidi ya 75% MAGUFULI TENA. Iringa, Mbeya, Arusha, Arumeru, Dar yote itakuwa mali ya CCM, kama unanielewa ninachomaanisha. Kiama chenu kinakuja na mtaishia kulia lia tu na ole mjifanye mnaleta fyokofyoko za kuandamana, sisi huwa hatujaribiwi.

Labda muibe!
huyu akubaliki hata Chato!
 
kwa data zitto yuko vizuri kuliko jpm. kiukweli juzi jpm alipotosha kuhusu kodi na pesa za miradi ya maendeleo kama reli..n
 
Sure mkuu. Zitto yupo vizuri sana up stairs. Huwezi kubishana naye kama hujajipanga. Natamani kama pangekuwa na mdahalo kati yake na mkulu kuhusu hii issue, halafu uwe live . Hapo tungemaliza ubishi kiroho safi.
mkuu hapo kwenye mdahalo umeniacha hoi yani mkuu afanye mdahalo na zito
 
yaani aibu naona mimi, mlio karibu mwambieni jamaa akaushe tu hii ligi haiwezi. haka ka bwana katamvua nguo
 
32f5aa0bc27ebcee2106ed56e8ed1463.jpg
 
MAMBO MANNE:-
  1. SIASA
  2. SAYANSI
  3. SHERIA
  4. UZALENDO
 
Back
Top Bottom